Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Halijapita wiki moja tangu ajali mbaya itokee sehemu hiyo hiyo, tena mzimu umeendelea kuchukua roho za watu kwa ajali. kwa habari zaidi soma:A pastor's fateful lifesaving decision
Na Ulaya pia hizi ajali zipo? i thought hakunaga.
RIP all lost lives
Eneo hilo baya sana, linakuwa na ukumgu mwingi kiasi kama gari moja kikifunga break ghafla kwa dharura basi litasababisha magari kadhaa kugongana. Kinachotakiwa ni kuratibu upya speed limit.