Lakini, badala ya kumuomba Mungu kuwapa nguvu wafiwa ni kwa nini tusiwe pro-active kwa kumuomba Mungu huyo huyo kuwapa akili madereva wakaendesha vizuri!?
Nauza Noah bandugu
Kweli umenena mkuu,unakuta dereva anaenda kulia ama ananyoka barabara ila kawasha indicator ya kulia ama kushoto na wala hakatishi,yaani hovyo kabisa.
Imetokea ajali mbaya huko Singida ambapo gari aina ya NOAH na Lori la mizigo yamegongana uso kwa uso na kisha gari hiyo aina ya NOAH kuingia chini ya uvungu wa Lori na kusababisha vifo vya watu hao 13 ambao wote walifia katika eneo la ajali.
Taarifa inasema gari aina ya NOAH ilikuwa imebeba abiria kutoka Itigi wakielekea Singida Mjini.
Dereva na utingo wa Lori walikimbia baada ya ajali hiyo kutokea.
CHANZO: ITV breaking News.
Salary Slip acha uongo hii picha nimepiga mm na cm yangu na sio ITV, hivi unadanganya watu chanzo cha habari ili upate nini? Misifa tu au?
Nimeona hii habari Facebook kwenye page ya EastAfrica redio na 37 People have LIKED.
Nauza Noah wandugu.
EEh Mungu utukinge na majanga haya....