Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Madereva waliona leseni za magumashi wapo wengi huko. Mjomba ananunua Noah halafu anatafuta leseni ya mitaani na kumkabidhi mupwae kazi inaanza!Jamani Singida kuna nini kila cku ajali leo 13 wamechinjwa