haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 481
- 135
Polen sana!
tuwaombee wapumzike kwa amani
Mapadre 3 sister 1 na mwingine wa Seminary ya Katoke. R.I.P AMINA
RIP marehemu,
Maskini, nasikia kuna padre mmoja kapata upadirisho juzi juzi.
Kweli kifo hakina huruma!
Hapana mkuu!,Hao waliokufa ndio walikuwa wanakwenda kwenye Misa ya Shukrani ya huyo Padre Mpya,hivyo huyo Padre mpya hakuwepo kwenye hilo gari bali alikuwa yupo Parokiani alikozaliwa tayari kwa kufanya Adhimisho la Misa Takatifu ya Shukrani.
wapumzike kwa amani
Pole sana Mkuu, umesoma Katoke Seminary?