Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Kuna ajali kama zaidi ya tatu hapa Kongowe.
Barabara zimefunga kabisa.
Ajali ya kwanza semitrela imelalia tax watu zaidi ya watatu inasemekana wamekufa
Ajali ya pili semitrela imelalia gari tatu, foleni ya ajabu. Unbelievable! vibaka nao wamepata uwanja wa kujidai.
Barabara zimefunga kabisa.
Ajali ya kwanza semitrela imelalia tax watu zaidi ya watatu inasemekana wamekufa
Ajali ya pili semitrela imelalia gari tatu, foleni ya ajabu. Unbelievable! vibaka nao wamepata uwanja wa kujidai.