VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kumetokea ajali maeneo ya Kimara Baruti. Nimepita tu eneo hilo. Yaonekana kama ni lori na gari dogo. Aliye hapo,atujuze..
Kumetokea ajali maeneo ya Kimara Baruti. Nimepita tu eneo hilo. Yaonekana kama ni lori na gari dogo. Aliye hapo,atujuze..
Nimeshuhudia lori aina ya Scania limegonga na kulikandamiza gari dogo toyota corola mpaka naondoka watu ndani ya gari ndogo hawajatolewa
Kumetokea ajali maeneo ya Kimara Baruti. Nimepita tu eneo hilo. Yaonekana kama ni lori na gari dogo. Aliye hapo,atujuze..