Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ni uongozi wa ajabu kabisa! Ina uwezo kulala usingizini huku vigogo wanatafuna nchi, wanaweka pesa za ufisadi Uswisi baada ya kuuza gesi yetu, kutorosha twiga na maovu mengine lukuki, lakini eti haina uwezo kuwalipa madaktari mishahara stahili!
Historia ndiyo pekee itaihukumu Awamu hii!
Historia ndiyo pekee itaihukumu Awamu hii!