Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 59
Inasemekana Aisha Madinda Mbegu ameanza kusumbuliwa tena na ule ungonjwa wa kuvimba mwili (miguu). Je huu ni ungonjwa wa aina gani.... maana kuna kipindi aliwahi kusema ameshapima NGOMA na yupo safiii. Sasa ni nini hasa kinamsumbua dada yetu???
Mungu atakusaida dada yetu upone na uendelee na shughuli zako kama kawaida.
Mungu atakusaida dada yetu upone na uendelee na shughuli zako kama kawaida.