Aisee!Kumbe na huyu mzee yupo JF!...

Nyakwec's Bro

JF-Expert Member
Apr 27, 2012
820
174
Jamani nilikuwa maeneo fulani mzee mmoja katika kutoa nasaha ili vijana wamuelewe vizuri si akatupia stori fulani hivi ya
Mtambuzi kama ilivyo!...

Nikatabasamu nikasema duh,kumbe na mzee yupo JF nikatamani ningemsoma nikajua na michango yake kule MMU lakini

inawezekana pia alizisoma zamani enzi hizo zinatolewa katika gazeti ambazo Mtambuzi huwa anasema baadhi ziliwahi

kuandikwa huko au ni miongoni mwa hawa wazee wetu humu!...
 
Last edited by a moderator:
Jamani nilikuwa maeneo fulani mzee mmoja katika kutoa nasaha ili vijana wamuelewe vizuri si akatupia stori fulani hivi ya
Mtambuzi kama ilivyo!...

Nikatabasamu nikasema duh,kumbe na mzee yupo JF nikatamani ningemsoma nikajua na michango yake kule MMU lakini

inawezekana pia alizisoma zamani enzi hizo zinatolewa katika gazeti ambazo Mtambuzi huwa anasema baadhi ziliwahi

kuandikwa huko au ni miongoni mwa hawa wazee wetu humu!...

S4C At any cost!.. Sex 4 Change..................point taken!!!!!!!!!
 
hata mie nikuta boss wangu yupo

Namvizia mpaka nijue ID yake

ili nijue busra za oficin na huku zipo?
 
Back
Top Bottom