Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Jamani nilikuwa maeneo fulani mzee mmoja katika kutoa nasaha ili vijana wamuelewe vizuri si akatupia stori fulani hivi ya
Mtambuzi kama ilivyo!...
Nikatabasamu nikasema duh,kumbe na mzee yupo JF nikatamani ningemsoma nikajua na michango yake kule MMU lakini
inawezekana pia alizisoma zamani enzi hizo zinatolewa katika gazeti ambazo Mtambuzi huwa anasema baadhi ziliwahi
kuandikwa huko au ni miongoni mwa hawa wazee wetu humu!...
Mtambuzi kama ilivyo!...
Nikatabasamu nikasema duh,kumbe na mzee yupo JF nikatamani ningemsoma nikajua na michango yake kule MMU lakini
inawezekana pia alizisoma zamani enzi hizo zinatolewa katika gazeti ambazo Mtambuzi huwa anasema baadhi ziliwahi
kuandikwa huko au ni miongoni mwa hawa wazee wetu humu!...
Last edited by a moderator: