Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
- Thread starter
- #21
Sasa kali ni pale utapokua wamporomoshea mijitusi nduguyo au mzazi
Duh,ustarabu mbele kwakweli unaweza ukawa unamporomoshea mzee wa kaya siku akikujua lazima akukane!....
Sasa kali ni pale utapokua wamporomoshea mijitusi nduguyo au mzazi
Kumbe ulikuwepo muda ule natoa nasaha pale,natamani ningekuona
nimebadili usirudie tena kuchungulia PC yangu
yaani mie ndio wananijua hadi basi, maana huwa nasahau kufunga sometimes.
S4C At any cost!.. Sex 4 Change..................point taken!!!!!!!!!