kidi kudi
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,419
- 1,981
Ndugu wana jf,majuzi nili-renew line yangu ya airtel iliopotea cha kushangaza haina uwezo wa ku-access internet,hata pale nilipowapigia simu na kuwaeleza tatizo langu haijasaidia kitu kwani tatizo halijatatuliwa!
Najiuliza,hivi kumbe line za airtel tofauti na za mitandao mingine ni sharti wao (airtel) waifanyie activation ya internet?
Nini maana ya huduma kwa wateja kama mteja unawasiliana nao,unaeleza tatizo lako
unaambiwa litashughulikiwa muda si mrefu lakini wamekua hawatekelezi kama wanavyoahidi?
Nimekua dissappointed sana kwa hili ikizingatiwa nina siku takribani 5 sijapatiwa utatuzi wa hitaji langu! Nashindwa kununua vifurush vya internet kama zamadi kabla sijapoteza laini yangu orijino. Kwanini wasiziache kuwa free kuaccess internet bila hata ya kuhangaila kuwaomba wakufanyie activation wao?
Wamenisikitisha sana kwa hili,
naomba kuwasilisha kwenu ili kama wahusika wanaona watalifanyia kazi. Wadau mwasemaje?
Najiuliza,hivi kumbe line za airtel tofauti na za mitandao mingine ni sharti wao (airtel) waifanyie activation ya internet?
Nini maana ya huduma kwa wateja kama mteja unawasiliana nao,unaeleza tatizo lako
unaambiwa litashughulikiwa muda si mrefu lakini wamekua hawatekelezi kama wanavyoahidi?
Nimekua dissappointed sana kwa hili ikizingatiwa nina siku takribani 5 sijapatiwa utatuzi wa hitaji langu! Nashindwa kununua vifurush vya internet kama zamadi kabla sijapoteza laini yangu orijino. Kwanini wasiziache kuwa free kuaccess internet bila hata ya kuhangaila kuwaomba wakufanyie activation wao?
Wamenisikitisha sana kwa hili,
naomba kuwasilisha kwenu ili kama wahusika wanaona watalifanyia kazi. Wadau mwasemaje?