Airtel Suuuuuckssssssss!!!!!

Deeboyfrexh

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
3,240
5,248
Kuna tatizo nali experience kwenye huu mtandao wadau,line yangu ya Airtel haipandishi mnara wowote ikiwa kwenye band ya WCDMA preffered ila tu kwa band ya GSM only, na kama ikipandisha basi within seconds mnara wa simu na wa data (H) vyote hupotea kabisa,simu inkuwa kama haina line...Nilishazoea kuweka Band ya WCDMA only ili kusudi niinjoy the best speeds za data wakati wote.
Nilikwishajiunga na bundle la week 1Gb yatosha last week ikawa fresh mpk lilipoisha,Week hii tena nikajiunga ila baada ya siku moja ya matumizi ndio nikaanza kuyaona haya mauza uza...
Kuhusu line nyingine kama Tigo,Vodacom znapiga kazi fresh sana hata nikiwa band ya WCDMA only(3G only)
Kilichonisikitisha zaidi nmejaribu kupiga huduma kwa wateja Airtel nkaambiwa nilipe sh.60 kuongea na mhudumu,Total disappointment!!!
Wadau kwa mwenye experience ama ushauri juu ya hili?
 
Kuna tatizo nali experience kwenye huu mtandao wadau,line yangu ya Airtel haipandishi mnara wowote ikiwa kwenye band ya WCDMA preffered ila tu kwa band ya GSM only, na kama ikipandisha basi within seconds mnara wa simu na wa data (H) vyote hupotea kabisa,simu inkuwa kama haina line...Nilishazoea kuweka Band ya WCDMA only ili kusudi niinjoy the best speeds za data wakati wote.
Nilikwishajiunga na bundle la week 1Gb yatosha last week ikawa fresh mpk lilipoisha,Week hii tena nikajiunga ila baada ya siku moja ya matumizi ndio nikaanza kuyaona haya mauza uza...
Kuhusu line nyingine kama Tigo,Vodacom znapiga kazi fresh sana hata nikiwa band ya WCDMA only(3G only)
Kilichonisikitisha zaidi nmejaribu kupiga huduma kwa wateja Airtel nkaambiwa nilipe sh.60 kuongea na mhudumu,Total disappointment!!!
Wadau kwa mwenye experience ama ushauri juu ya hili?

mi nawasiwasi na eneo tu unalo ishi.
 
Habari za Muda

Nina simu moja Sumsung SII... Inagoma kuConfigure Internet

Natumia Laini ya Airtell.... Nifanye nini????
 
mi nawasiwasi na eneo tu unalo ishi.

Kabisa, pengine upo mbali na mnara au sehemu ambayo mtandao wa airtel kuupata ni shida. Kuna sehemu airtel ni nzuri sehemu nyngine voda. Nyngne tigo and so on. So find your best mtandao maeneo hayo. :(
 
Habari za Muda

Nina simu moja Sumsung SII... Inagoma kuConfigure Internet

Natumia Laini ya Airtell.... Nifanye nini????

futa access point zote then uombe settings upya airtel.
 
Habari za Muda

Nina simu moja Sumsung SII... Inagoma kuConfigure Internet

Natumia Laini ya Airtell.... Nifanye nini????

Airtel Tanzania
Please find the manual internet
settings for your Samsung Galaxy
pocket device.
Tap the Menu icon
Tap Settings
Tap Wireless and networks
Tap Mobile networks
Tap Access Point Names
Tap the Menu soft key
Tap New APN
Tap Name and enter Airteltz then tap
OK
Tap APN enter internet then tap OK
Tap Proxy leave blank
Tap Port leave blank
Tap Username leave blank
Tap Password leave blank
Skip past Server as this is preset as
Not Set
Tap MMSC leave blank
Tap MMS proxy leave blank
Tap MMS port leave blank
Tap MCC 640
Tap MNC 05
Tap Authentication type, then tap PAP
Tap APN type leave blank
Press the Back key
Tap Airteltz (so a green dot appears
next to it)
Press the Back key five times to
return:D
 
Wameongeza bei ya bundle watu wapo kimya tu.........ngoja tuone mwisho wake.......
 
Kuna tatizo nali experience kwenye huu mtandao wadau,line yangu ya Airtel haipandishi mnara wowote ikiwa kwenye band ya WCDMA preffered ila tu kwa band ya GSM only, na kama ikipandisha basi within seconds mnara wa simu na wa data (H) vyote hupotea kabisa,simu inkuwa kama haina line...Nilishazoea kuweka Band ya WCDMA only ili kusudi niinjoy the best speeds za data wakati wote.
Nilikwishajiunga na bundle la week 1Gb yatosha last week ikawa fresh mpk lilipoisha,Week hii tena nikajiunga ila baada ya siku moja ya matumizi ndio nikaanza kuyaona haya mauza uza...
Kuhusu line nyingine kama Tigo,Vodacom znapiga kazi fresh sana hata nikiwa band ya WCDMA only(3G only)
Kilichonisikitisha zaidi nmejaribu kupiga huduma kwa wateja Airtel nkaambiwa nilipe sh.60 kuongea na mhudumu,Total disappointment!!!
Wadau kwa mwenye experience ama ushauri juu ya hili?

Mkuu airtel ni kuwa ukiishiwa na bundle na data inapotea. Hebu cheki salio lako ndugu yangu.
Ukiongeza tu bundle itarudi kama kawaida.
 
Imeanza kunitokea wiki mbili zilizopita, na sijahama eneo nililokuwa mwanzo , SIJAHAMA,..

Nami mwanzo nilikuwa nikiweka WCDMA only inakubali vizuri na inafanya kazi na nimeitumia kwa zaidi ya miezi 6 bila matatizo, wiki iliyopita likaanza hili tatizo nikadhani labda line imechoka inajam kwenye holder yake nikairekebisha bado, nikaswap line bado,,,, Tatizo ni kuwa nikisearch mobile network manually tokea wiki iliyopita haikubali kujiunga na ule mnara wa Airtel 3G na badala yake inakubali airtel 2G peke yake, hivyo kama umeweka WCDMA only na network inasearch automatically haitaweka network kabisa.
Nimejaribu kufanya hata maeneo ya mijini imekataa kabisa,,,,

Labda huu ni mwanzo tu wengine watafata, au labda ni namba zetu tu mkuu...
# Kwenye simu hiyo hiyo mitandao mingine inafanya kazi vizuri kabisa bila shida
 
Imeanza kunitokea wiki mbili zilizopita, na sijahama eneo nililokuwa mwanzo , SIJAHAMA,..

Nami mwanzo nilikuwa nikiweka WCDMA only inakubali vizuri na inafanya kazi na nimeitumia kwa zaidi ya miezi 6 bila matatizo, wiki iliyopita likaanza hili tatizo nikadhani labda line imechoka inajam kwenye holder yake nikairekebisha bado, nikaswap line bado,,,, Tatizo ni kuwa nikisearch mobile network manually tokea wiki iliyopita haikubali kujiunga na ule mnara wa Airtel 3G na badala yake inakubali airtel 2G peke yake, hivyo kama umeweka WCDMA only na network inasearch automatically haitaweka network kabisa.
Nimejaribu kufanya hata maeneo ya mijini imekataa kabisa,,,,


Labda huu ni mwanzo tu wengine watafata, au labda ni namba zetu tu mkuu...
# Kwenye simu hiyo hiyo mitandao mingine inafanya kazi vizuri kabisa bila shida

Mkuu Kafiti nimeshapeleka taarifa kwao, ndio nasubiri wanishuhulikie...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom