Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,812
- 59,392
Wataalam naombeni kama kuna anaeweza kunielekeza namna ya kuunganisha internet kwenye tablet manually.
Nilishajaribu ile ya kutuma text mara kadhaa nikajibiwa kuwa device yangu haisapoti automatic configuration. Costumer care nimewapigia mara kumi kidogo kila mmoja ananiambia nimeshaunganisha, ohhh weka credit, mara nunua bundle wakati hivyo vyote vipo. Ofisi zao leo zimefungwa na siku za wiki sitokuwepo mjini so pleaaaaase kama kuna namna mnaweza kunielekeza naombeni.
Natumia Samsung Galaxy Tab1000
Nilishajaribu ile ya kutuma text mara kadhaa nikajibiwa kuwa device yangu haisapoti automatic configuration. Costumer care nimewapigia mara kumi kidogo kila mmoja ananiambia nimeshaunganisha, ohhh weka credit, mara nunua bundle wakati hivyo vyote vipo. Ofisi zao leo zimefungwa na siku za wiki sitokuwepo mjini so pleaaaaase kama kuna namna mnaweza kunielekeza naombeni.
Natumia Samsung Galaxy Tab1000