Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
Mkuu Vin Diesel ...
Lini umesikia ndege ya North Korea ilipata ajali / kuanguka?
Ingawa wana ndege za kirusi tu Antonov, Ilyushin pamoja na Tupolev Tu-204-300
Infact toka shirika la ndege la Air Koryo (North Korea) lilipoanzishwa halijawahi kupata ajali ya ndege hata moja ... na wanatumia ndege ze Warusi tu! ... haya sasa niambie kuhusu Air France, Luftansa au BA zinadondoka kila siku!
Sasa ni lini ulisikia zimepata ajali? - infact ndio the world reliable planes so far ... zaidi ya hata hizo Boeing & Airbuss
Mkuu..that was a joke
Try to have some sense of humor