Air Tanzania signs MOU with Russia's Irkut over MC-21

Comment zako zinanikumbusha kauli za Balozi wa Uchina nchini Tanzania, aliwahi kusema amechoshwa na watu kulalamika ovyo eti Wachina wanawauzia bidhaa feiki, akasema matatizo ni wafanya biashara wa Tanzania wanao kwenda Uchina kununua substandard goods kimaksudi, hawataki kununua bidhaa zenye viwango vya Kimataifa wako interested na bidhaa feiki ili wa maximised faida - waswahili wanajali faida alafu wanawasingizia Wachina.

Sasa tuje kwenye comment za Wacongoman, wenyewe wanakwenda kununua ndege ambazo airworthness ni highly questionable i.e za zamani sana hazikufanyiwa maintainance ya kutosha, kwa kuwa zinauzwa kwa bei ndogo wafanya biashara wa Congo wanazibec hivyo hivyo bila ya kujali hatari ya kutumia vyombo vya anga vilivyo pitwa na wakati. Sasa kwenye mizingara kama hayo unawezaje kuiluhumu Urusi, ukichunguza kiundani ndege hizo zinanunuliwa kutoka kwenye nchi ambazo zilikuwa chini utawala wa USSR specifically Ukraine, Uzhubek nk hazinunuliwi kutoka Russia Federation.
Mkuu Bukyanagandi huwa nafuatilia sana comment zako,wewe ni msema kweli kabisa,na wala sio mbabaishaji,huwa unaongea vitu vilivyoenda shule,mara nyingi nikisoma ulichoandika huwa naona kama Lecturer yuko mbele ya darasa anafundisha,hujawahi kusema uongo,amini nakwambia huku kuna wasomaji huwa tunafuatilia kila comment,hivyo huwa tunaweza kupembua pumba na mchele,wewe pamoja na wadau kadhaa hutupa mchele ulio safi kabisa.Kitu ambacho mimi huwa nakataa siku zote ni propaganda zia West.Sawa kabisa Congo hununua ndege used kwa ajili ya unafuu wa bei,halafu sidhani kama huwa zinafanyiwa maintanance za uhakika.We fikiria ndege watu wanapakia hadi mifugo kama mbuzi n.k,hizo zitakua ndege za maana kweli.Mkuu vijana wengi kwa kulishwa propaganda za West huwa wanasema Urusi ni nchi maskini na haina viwanda,sasa hiyo midege mikubwa duniani huwa inatengenezwa wapi? Hata juzi tu hapa kwenye Russia victory day 2016 wameonesha zana za kivita pamoja na dege kubwa zaidi duniani amabalo lipo Russia peke yake.Utakuta watu wanasema ooh Russ inategemea mali ghafi pekee gesi na mafuta,sasa hiyo midege imetoka ardhini kama gesi?
Mkuu naikubali sana micango yako na ya wadau ambao tumekataa kulishwa sumu za west.Tuendelee kuwaelimisha.
 
MC-21's cabin is wider than the cabin of an Airbus A320 by 12 cm and a Boeing 737 by 28 cm. As a result, two passengers can go through the aisle without blocking each other. The wide cabin also allows to construct the biggest luggage racks in the class with the aim to decrease MC-21's turn-around time at the airport (important for charter and low-cost carriers like ours), to provide better comfort for passengers and to make the cabin more suitable for carriers' purposes.
SAFI SANA mkuu.
 
Irkut-MC-21.png
DA safi sana kiongozi,hata kama mtu hataki kusoma kwa sababu ya uvivu,picha itamsaidia kuelewa ukweli,hii ndege ni njema sana aisee.
 
Tuthamini vyakwetu tuache kukuza vya njee sio tunaponda tu without any evidence tusikariri Mc-21 imetokelezea aisee affordable and comfortable way to travel
 
Ndege za kirusi kusema ukweli zina historia ya kudondoka hovyo mfano, hizi zinazoitwa ANTONOV" haipiti miezi miwili lazima utasikia imeanguka tens Mara nyingi wakati Wa kupaa au inapokuwa inatuwa.
Ukiwa hujui kitu bora kunyamaza tuu.
Antonov ilianguka lini na wapi let ushaidi wowote hapa.
Unless hata hizo ndege hujui sifa yake kubwa ni nini na hujui zipo ngapi
 
Ndege za North Korea ndio wa kwanza. Somalia wanafuata
Mkuu Vin Diesel ...

Lini umesikia ndege ya North Korea ilipata ajali / kuanguka?

Ingawa wana ndege za kirusi tu Antonov, Ilyushin pamoja na Tupolev Tu-204-300

Infact toka shirika la ndege la Air Koryo (North Korea) lilipoanzishwa halijawahi kupata ajali ya ndege hata moja ... na wanatumia ndege ze Warusi tu! ... haya sasa niambie kuhusu Air France, Luftansa au BA zinadondoka kila siku!

Sasa ni lini ulisikia zimepata ajali? - infact ndio the world reliable planes so far ... zaidi ya hata hizo Boeing & Airbuss
 
Mkuu Vin Diesel ...

Lini umesikia ndege ya North Korea ilipata ajali / kuanguka?

Ingawa wana ndege za kirusi tu Antonov, Ilyushin pamoja na Tupolev Tu-204-300

Infact toka shirika la ndege la Air Koryo (North Korea) lilipoanzishwa halijawahi kupata ajali ya ndege hata moja ... na wanatumia ndege ze Warusi tu! ... haya sasa niambie kuhusu Air France, Luftansa au BA zinadondoka kila siku!

Sasa ni lini ulisikia zimepata ajali? - infact ndio the world reliable planes so far ... zaidi ya hata hizo Boeing & Airbuss

how can you get an accident if you dont fly? safari zao ni za mazoezi ya kijeshi tu ndani ya nchi yao.....Hata hivyo nakuunga mkono ndege za urusi ni vyuma.
 
Hakuna ndege ambazo zimeua wengi kama Airbus mf air france kutoka brasil - ufaransa

Zimeua abiria wengi sana, lakini mara nyingi awasemi ukweli kuhusu sababu za ndege hizo kuanguka ghafla - vyombo vyote vya magharibi ujitahidi kutunza siri za ubovu wa ndege hizo, binafsi huwa sizipendi kuzipanda.

Bro Salute!!!!
Aeroflot ya Russia ina ndege za kigeni.

Kwani tatizo liko wapi? Mbona mashirika ya ndege nchini Marekani nao wanatumia baadhi ya ndege za kigeni au wewe hilo ulijui!! Si hilo tu hata ndege za abiria zinazo hundwa na makampuni ya Boeing na zamani Lockheed, MacDonnel Douglas nk nyingi ya ndege hizo zinatumia injini za kigeni specifically kutoka Uingereza (Rolls Royce).
 
Back
Top Bottom