AIR MSAE: Mnalikumbuka hili basi?

Hii kampuni baada ya kuwa chinja chinja wakabadili jina la kampuni kwasababu watu walikuwa wanayakimbia haya mabasi saizi wanajiita Kilimanjaro Express.ukipanda kilimanjaro ujue umepanda air masae

Siku Hizi wanajiita METRO COACH. . Wanayo Yutong moja ya kijani....
 
Umenikumbusha mbali sana, wale wa matawi ya juu(VIP Class) na watalii wakizungu walikuwa wanapenda sana kusafiri na basi la FRESH YA SHAMBA. Hilo basi mbali ya kuwa ni Luxury lilikuwa na upekee wake, kwa mfano Lilikuwa na Rangi nyeupe kabisa, Nauli yake iko juu sana, Ni lazima ukate tiketi siku moja kabla(Booking), Halisimami ovyoovyo njiani, kuna wahudumu wanatema ung'eng'e, Kuna Stereo muziki laini nk.
Nakumbuka 'ascent' ya kike ya mzungu kwenye tangazo lao kupitia Radio One mwaka 1996 ikisema ''Safiri kwa raha mustarehe na mabasi ya Fresh ya Shamba''


Humo utasafiri na Watalii, wafanyabiashara mashuhuli, Wakurugenzi, Wabunge, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wanandoa wapya(Honeymoon)

Huyo jamaa alikuja akabadilisha jina la hilo basi akaliita FRESH COACH,,,naskia alikopaga mabasi kule scania, yakamshinda kufanya marejesho wakaja wakamnyang'anya mabasi...

kama miaka minne ilopita nilikuwa natafuta basi la haraka pale ubungo kwenda arusha, nikajikuta kwa bahati mbaya nimepanda FRESH COACH sababu nilikutana na jamaa yangu wa zamani yeye ameshakata tiketi na yumo ndani anasubiri liondoke. Nami nikakata tiketi yao, tukaondoka saa mbili asubuhi,,,,,yaani nilifika arusha saa sita na robo usiku,,,,gari limechoka vibaya mno, si bodi, si siti, si injini gari imechoka mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaya, gia liva wamefunga mpira isifyatuke, gari haina pulling kabisa.

kitu fresh ya shamba amebaki nacho labda ni fresh coach restaurant pale moshi mjini

NA LUMUMBA dar kwa anaposema lilikuwa basi bomba hakosei hata kidogo
11_o.jpg
 
Last edited by a moderator:
Huyo jamaa alikuja akabadilisha jina la hilo basi akaliita FRESH COACH,,,naskia alikopaga mabasi kule scania, yakamshinda kufanya marejesho wakaja wakamnyang'anya mabasi...
hapa ndipo nakata tamaa na Watanzania jinsi tunavyofanya mambo yetu.
Huwezi kuamini kuwa introduction ya basi la Scandinavian kwenye route ya Nairobi - Kampala liliwafanya wapanda ndege njia hiyo kufikiria basi maana walikuwa wanaenjoy countryside kwenye kiyoyozi na choo ndani mpaka watu waliokuwa hawatujui vizuri wakaamini kuwa Tanzania ni sehemu iliyoadvance sana mpaka kuwa na mabasi dizaini hiyo!!! Sasa ukiuliza huo 'ufalme' ulipoishia huwezi amini!
Lakini tuwaombee Dar Express maana walikuwepo kabla ya hapo na bado wapo, pia na kampuni kama Najmunisa zimejitahidi katika suala la kuendelea kuonekana barabarani. Ukiuliza Akamba wanakuonyesha mabasi ya mwaka 70. Siasa zinaharibu mambo hapa!
 
Hili jina linanitisha
Lilipata ajali likaua watu wengi sana kama sijasahau

Enzi hizo serikali ilikuwa inafanya kazi yake na ndio maana Air Msae halitosahaulika maana hata serikali ilionyesha imepata mshituko kiasi kwamba kila mtanzania alitambua hii ajali hata kama si mtumiaji wa hiyo route lakini siku hizi ajali kibao zinatokea tena nyingi tu zimevunja hata hiyo rekodi ya Air Msae lakini serikali inachukulia poa na wenye mabasi sijui wanatoa hongo kwa viongozi wa jeshi la polisi na vyombo vya habari ili jina la kampuni lisiharibike maana lililoanguka ni bus na lina jina lakini polisi na vyombo vya habari vinaripoti kwa kutaja namba za gari.
 
Na nyingine kule Mnazi Mmoja karibu na Jengo la Ushirika "CTN"

Ile ya mnazi mmoja ilikuwa magari ya kwenda Tanga wao walikuwa wanatamba na Tayasari na Raha leo bila kusahau Bembea na Simba Mtoto wakati magari ya kwenda Dodoma na Singida yalikuwa yanapaki Kariakoo huku Abood likipaki jirani na club ya Simba mtaa wa Magira kama sikosei yakitoka town yanatega tena pale Ubungo mataa usawa wa maeneo wanayofanya biashara mida ya jioni
 
hapa ndipo nakata tamaa na Watanzania jinsi tunavyofanya mambo yetu.
Huwezi kuamini kuwa introduction ya basi la Scandinavian kwenye route ya Nairobi - Kampala liliwafanya wapanda ndege njia hiyo kufikiria basi maana walikuwa wanaenjoy countryside kwenye kiyoyozi na choo ndani mpaka watu waliokuwa hawatujui vizuri wakaamini kuwa Tanzania ni sehemu iliyoadvance sana mpaka kuwa na mabasi dizaini hiyo!!! Sasa ukiuliza huo 'ufalme' ulipoishia huwezi amini!

Mkuu hiyo ishu ya Scandinavia ni zaidi ya tujuavyo...kumbuka walifilisiwa hao na kuna mengi watu wanayaongea kuhusiana na sakata hilo.
Scandinavia ilikuwepo tokea zamani sana, na ilikuwa ikifanya routes za Dar - Mbeya enzi za mabasi ya Kwacha, Kiswele, Zainabu...na jamaa waliokuwa wakiendesha kampuni hiyo ni Waburushi "Persians" fulani hivi.

 
Hahah wengi tuliosoma mikoa ya huko kaskazini hilo basi limetubeba

Hadi 95 treni ilikuwa inafanya kazi, kuwa wakati mtu ukifulia unapakia bondo kwenye plastic bag ndio msosi huo njiani unarudi dar, life ya wkt ule school ilikuwa kama jeshini hasa shule zenye michepuo ya ufundi
 
Huyo jamaa alikuja akabadilisha jina la hilo basi akaliita FRESH COACH,,,naskia alikopaga mabasi kule scania, yakamshinda kufanya marejesho wakaja wakamnyang'anya mabasi...

kama miaka minne ilopita nilikuwa natafuta basi la haraka pale ubungo kwenda arusha, nikajikuta kwa bahati mbaya nimepanda FRESH COACH sababu nilikutana na jamaa yangu wa zamani yeye ameshakata tiketi na yumo ndani anasubiri liondoke. Nami nikakata tiketi yao, tukaondoka saa mbili asubuhi,,,,,yaani nilifika arusha saa sita na robo usiku,,,,gari limechoka vibaya mno, si bodi, si siti, si injini gari imechoka mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaya, gia liva wamefunga mpira isifyatuke, gari haina pulling kabisa.

kitu fresh ya shamba amebaki nacho labda ni fresh coach restaurant pale moshi mjini

NA LUMUMBA dar kwa anaposema lilikuwa basi bomba hakosei hata kidogo
View attachment 100822

kama scandinavia hivi hii picha
 
hapa ndipo nakata tamaa na Watanzania jinsi tunavyofanya mambo yetu.
Huwezi kuamini kuwa introduction ya basi la Scandinavian kwenye route ya Nairobi - Kampala liliwafanya wapanda ndege njia hiyo kufikiria basi maana walikuwa wanaenjoy countryside kwenye kiyoyozi na choo ndani mpaka watu waliokuwa hawatujui vizuri wakaamini kuwa Tanzania ni sehemu iliyoadvance sana mpaka kuwa na mabasi dizaini hiyo!!! Sasa ukiuliza huo 'ufalme' ulipoishia huwezi amini!
Lakini tuwaombee Dar Express maana walikuwepo kabla ya hapo na bado wapo, pia na kampuni kama Najmunisa zimejitahidi katika suala la kuendelea kuonekana barabarani. Ukiuliza Akamba wanakuonyesha mabasi ya mwaka 70. Siasa zinaharibu mambo hapa!


hilo basi leo wife kapanda toka lindi to dsm mpk muda huu hawajafika hata ikwiriri na sijui wapo wapi...


anyway khs scandi siku hizo ndo agent wa kuuza basi za kichina BENBROSS na pia ana truck za kubeba mafuta UNFREIGHT kwenda nchi jirani zina rangi kama ya scandi hizo truck...
 
hilo basi leo wife kapanda toka lindi to dsm mpk muda huu hawajafika hata ikwiriri na sijui wapo wapi...

Mkuu kwa safari za Lindi na Mtwara, Buti la Zungu ndio gari la uhakika...
 
Back
Top Bottom