Unaweza kuhisi hauthaminiwi,unapuuzwa au hatukujali,unaweza hisi kuna wenye umuhimu zaidi ya wengine hapa JF.Kama umehisi chochote kati ya hivyo naomba radhi kwa niba ya wengine na haikuwa dhamira yetu.Wewe ni muhimu kwetu tunakuthamini,tunakujali na tunakupenda. Shairi la Klorokwini linafata kwenye thread ingine ambayo pia ni kwa ajili yako.