Aine -kwa ajili yako

uporoto01

JF-Expert Member
May 23, 2008
4,700
1,415
Unaweza kuhisi hauthaminiwi,unapuuzwa au hatukujali,unaweza hisi kuna wenye umuhimu zaidi ya wengine hapa JF.Kama umehisi chochote kati ya hivyo naomba radhi kwa niba ya wengine na haikuwa dhamira yetu.Wewe ni muhimu kwetu tunakuthamini,tunakujali na tunakupenda. Shairi la Klorokwini linafata kwenye thread ingine ambayo pia ni kwa ajili yako.
 
haahahaha dah! mmemuanzishia thread kweli...! bado tusubiri # 2 .. maana alisema anachukia kuanzishwa thread ndani ya thread ...
 
Unaweza kuhisi hauthaminiwi,unapuuzwa au hatukujali,unaweza hisi kuna wenye umuhimu zaidi ya wengine hapa JF.Kama umehisi chochote kati ya hivyo naomba radhi kwa niba ya wengine na haikuwa dhamira yetu.Wewe ni muhimu kwetu tunakuthamini,tunakujali na tunakupenda. Shairi la Klorokwini linafata kwenye thread ingine ambayo pia ni kwa ajili yako.
Sikuwa na maana yoyote mbaya mkuu, labda thread yangu sijaiweka ktk maana ambayo mngeelewa woooote in a positive way, am sorry if i was misunderstood in this way, na nafikiri hasa niliposema iwe kwa kumsifia mtu, pengine ningesema kwa kumponda mtu tu labda mngeifurahia. anyway am sorry again
 
Spanish lady tunajaribu kurekebisha mbona unataka kuharibu ? kuna dume linaitwa Aine kweli ? huyu ni african lady wa haja.
<br />
<br />
kuna dume linalotungiwa sredi na dume lenzie tena lenye maneno matamu kama hayo.
Kweli spanish lady nimechoka kufikiria. Lol.
 
Sikuwa na maana yoyote mbaya mkuu, labda thread yangu sijaiweka ktk maana ambayo mngeelewa woooote in a positive way, am sorry if i was misunderstood in this way, na nafikiri hasa niliposema iwe kwa kumsifia mtu, pengine ningesema kwa kumponda mtu tu labda mngeifurahia. anyway am sorry again

No need to be sorry! Aine.. wana JF walikuelewa loud & clear ...
 
Sikuwa na maana yoyote mbaya mkuu, labda thread yangu sijaiweka ktk maana ambayo mngeelewa woooote in a positive way, am sorry if i was misunderstood in this way, na nafikiri hasa niliposema iwe kwa kumsifia mtu, pengine ningesema kwa kumponda mtu tu labda mngeifurahia. anyway am sorry again
hapana Aine hauna haja ya kuwa sorry tusamehe sisi kwa kutokukuelewa.
 
<br />
<br />
kuna dume linalotungiwa sredi na dume lenzie tena lenye maneno matamu kama hayo.
Kweli spanish lady nimechoka kufikiria. Lol.
hebu sogea pembeni hapa usigongwe na magari ya Dar bure lol!
 
Aine wetu kapendeza, JF anang'ara
vishavu kama vichenza, tena havuti sigara
akiwezeshwa anaweza , Dodoma hadi mtwara
Wale wanaombeza , Mungu awape madhara

Wengi wanamgombea, mimi pia uporoto
Sredi tumemuanzishia, JF haina majotro
Mtoto ametulia , hehe klorokwini si mseto
Wengine wanadandia, wewe ndie wangu mto

Dah! nitamalizia baadae, swaumu ya leo kali, vina havikuji.
 
Aine wetu kapendeza, JF anang'ara<br />
vishavu kama vichenza, tena havuti sigara<br />
akiwezeshwa anaweza , Dodoma hadi mtwara<br />
Wale wanaombeza , Mungu awape madhara<br />
<br />
Wengi wanamgombea, mimi pia uporoto<br />
Sredi tumemuanzishia, JF haina majotro<br />
Mtoto ametulia , hehe klorokwini si mseto<br />
Wengine wanadandia, wewe ndie wangu mto<br />
<br />
Dah! nitamalizia baadae, swaumu ya leo kali, vina havikuji.

duh ww kweli mkare bt humshindi Magulumagu, NN na MM.
 
Aine wetu kapendeza, JF anang'ara<br />
vishavu kama vichenza, tena havuti sigara<br />
akiwezeshwa anaweza , Dodoma hadi mtwara<br />
Wale wanaombeza , Mungu awape madhara<br />
<br />
Wengi wanamgombea, mimi pia uporoto<br />
Sredi tumemuanzishia, JF haina majotro<br />
Mtoto ametulia , hehe klorokwini si mseto<br />
Wengine wanadandia, wewe ndie wangu mto<br />
<br />
Dah! nitamalizia baadae, swaumu ya leo kali, vina havikuji.
<br />
<br />
hahahahahaha! Kloro shairi limetulia. Lol.
 
Sikuwa na maana yoyote mbaya mkuu, labda thread yangu sijaiweka ktk maana ambayo mngeelewa woooote in a positive way, am sorry if i was misunderstood in this way, na nafikiri hasa niliposema iwe kwa kumsifia mtu, pengine ningesema kwa kumponda mtu tu labda mngeifurahia. anyway am sorry again
<br />
<br />
ahaaa!!! Kumbe unapenda kuwekewe thread kwa jina lako?
 
Aine wetu kapendeza, JF anang'ara<br />
vishavu kama vichenza, tena havuti sigara<br />
akiwezeshwa anaweza , Dodoma hadi mtwara<br />
Wale wanaombeza , Mungu awape madhara<br />
<br />
Wengi wanamgombea, mimi pia uporoto<br />
Sredi tumemuanzishia, JF haina majotro<br />
Mtoto ametulia , hehe klorokwini si mseto<br />
Wengine wanadandia, wewe ndie wangu mto<br />
<br />
Dah! nitamalizia baadae, swaumu ya leo kali, vina havikuji.
<br />
<br />
hahahahaaa, you rock....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom