Chimbekeha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2018
- 1,193
- 2,164
Habari, karibuni katika mada.
Kuna mdada niko naye katika mahusiano ya kimapenzi ila kwa sasa tuko sehemu tofauti katika harakati za kutafuta ridhiki. Kinachonikwaza ni kwamba ana tabia ambayo ni ngumu kuvumilika kwa kweli, kila siku ziendazo kwa Mungu ikifika usiku tu mfano ile saa 2 usiku imetimia, lazima akutext, call, whatsapp call video ili mradi vurugu na hakuachi mpaka ajiridhishe uko mwenyewe ndiyo atalala kwa amani.
Tofauti na hapo siku ukisema leo namute hizo sms, calls zitafika hata 400 na lawama juu.
Mwisho, kama unampenda sana dear wako kiasi cha kukaa mbali naye huwezi, mfate na siyo kusumbuana huu sasa ni utoto.
Kuna mdada niko naye katika mahusiano ya kimapenzi ila kwa sasa tuko sehemu tofauti katika harakati za kutafuta ridhiki. Kinachonikwaza ni kwamba ana tabia ambayo ni ngumu kuvumilika kwa kweli, kila siku ziendazo kwa Mungu ikifika usiku tu mfano ile saa 2 usiku imetimia, lazima akutext, call, whatsapp call video ili mradi vurugu na hakuachi mpaka ajiridhishe uko mwenyewe ndiyo atalala kwa amani.
Tofauti na hapo siku ukisema leo namute hizo sms, calls zitafika hata 400 na lawama juu.
Mwisho, kama unampenda sana dear wako kiasi cha kukaa mbali naye huwezi, mfate na siyo kusumbuana huu sasa ni utoto.