Aibu sana, Tanzania (Taifa Stars) Hatuna Utamaduni wowote

uran

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
7,580
10,818
Kuelekea AFCON 2024.

Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).

Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.

Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland

Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
20240110_180122.jpg

20240110_180105.jpg

20240110_175713.jpg


Waliowapokea Walivaa Hivi.
1704998830172.png

Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).

Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.

Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).

MOZAMBIQUE
20240110_174141.jpg

20240110_174151.jpg


Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.

Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.

NIGERIA.
20240110_172612.jpg

20240110_172601.jpg


GHANA
20240110_172236.jpg

20240110_173748.jpg


SENEGAL
20240111_071350.jpg


CAMEROON
20240111_071731.jpg


GAMBIA
20240111_071745.jpg


NAMIBIA.
20240111_071738.jpg


EQUATORIAL GUINEA.
20240111_115423.jpg

20240111_115433.jpg

20240111_115416.jpg



20240113_065528.jpg
 
Hao wa msumbiji si mashati ya batiki? Nayo ni utamaduni, ? Halafu kule tunaenda kushindana mpira sio maonyesho ya utamaduni,

Msipovaa jersey za sandaland akiwashtaki kwa kukiuka mkataba na kumnyima airtime mna hela za kumlipa? Au mtachangishana ?
Sio kila kitu kuiga
 
Kuelekea AFCON 2024.

Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).

Kila Nchi inajitajidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.

Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Adidas na Puma.

Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).

Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.

Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).

MOZAMBIQUE
View attachment 2867560
View attachment 2867563

Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.

Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.

NIGERIA.
View attachment 2867556
View attachment 2867557

GHANA
View attachment 2867558

View attachment 2867559
Vaeni Kaunda suit 😁😁
 
Hao wa msumbiji si mashati ya batiki? Nayo ni utamaduni, ? Halafu kule tunaenda kushindana mpira sio maonyesho ya utamaduni,

Msipovaa jersey za sandaland akiwashtaki kwa kukiuka mkataba na kumnyima airtime mna hela za kumlipa? Au mtachangishana ?
Sio kila kitu kuiga
Wamedarizi na kitambaa cha bendera yao.

Kwani Jersey si zinavaliwa uwanjani?
 
Back
Top Bottom