uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 7,580
- 10,818
Kuelekea AFCON 2024.
Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).
Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.
Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland
Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
Waliowapokea Walivaa Hivi.
Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).
Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.
Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).
MOZAMBIQUE
Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.
Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.
NIGERIA.
GHANA
SENEGAL
CAMEROON
GAMBIA
NAMIBIA.
EQUATORIAL GUINEA.
Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).
Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.
Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland
Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
Waliowapokea Walivaa Hivi.
Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).
Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.
Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).
MOZAMBIQUE
Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.
Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.
NIGERIA.
GHANA
SENEGAL
CAMEROON
GAMBIA
NAMIBIA.
EQUATORIAL GUINEA.