JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,316
- 5,479
Uwanja wa Old Trafford umekuwa mchungu kwa wenyeji Manchester United baada ya kukubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Bournemouth katika Premier League.
Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.
Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.
Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.
Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.