Aibu Old Trafford, Bournemouth yaipiga Man. United 3-0

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,462
Uwanja wa Old Trafford umekuwa mchungu kwa wenyeji Manchester United baada ya kukubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Bournemouth katika Premier League.

Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.

Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.
 
Huyu fala Man U kesho kutwa aende akamalizane na Bayern haraka haraka atimkie zake europa huko maana huku uefa ni kichefu chefu tu.
 
Uwanja wa Old Trafford umekuwa mchungu kwa wenyeji Manchester United baada ya kukubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Bournemouth katika Premier League.

Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.

Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.
Ifike hatua itoshe kusema Manchester United imekuwa ni mahali au kundi la watu /uongozi usiojua ni kina nani wanafurahi au kuhuzunika kwa matokeo ya namna yoyote aidha ushindi ,sarw au Kushindwa .Navumilia lakini inauma sana .
 
Uwanja wa Old Trafford umekuwa mchungu kwa wenyeji Manchester United baada ya kukubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Bournemouth katika Premier League.

Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.

Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.
ama aibu ya mwaka
 
Uwanja wa Old Trafford umekuwa mchungu kwa wenyeji Manchester United baada ya kukubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Bournemouth katika Premier League.

Kipigo hicho ambacho ni cha 7 katika mechi 16 za United katika EPL 2023/2, kimekuja siku moja tangu Kocha Erik Ten Hag na Harry Maguire wa United wapate tuzo ya Kocha Bora na Mchezaji Bora wa Mwezi.

Aidha, nahodha wa Man United, Bruno Fernandes amepewa kati ya njano katika mchezo huo, hivyo ataikosa mechi inayofuata dhidi ya Liverpool.
man utd anaweza kula mkono kwa yanga
 
Back
Top Bottom