Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
mwenye akili atafikiri na kuchambua mchele na chuya
Daraja hilo linareflect namna utawala wa JK ulivyo.
Mkuu kweli ni gharama kwenda Matombo, pia ni busara kujengwa kwa zahanati ama hata shule, lakini ujue jukumu lake msingi ni kwenda kuwatembelea wananchi hasa vijijini na hata kushiriki nao katika majukumu yao ya kimaendeleo, haiji kichwani awe anakuja tu wakati wa kampeni na kuomba kura , inatakiwa ziara zake nyingi ziwe za vijijini ikiwa na hilo la kufungua miradi inayofanywa chini ya serikali anayoiongoza, daraja kuwa dogo ama kubwa nayo ni agenda lakini kwasasa tuone llile lililokwishaafanyika yaani daraja hilo na ziara yake kuwa vipo katika wajibu wake wa kuwatembelea wananchi vijijini na kuongea nao, hayo mengine ya ziada, fikiria kama tungeambiwa ameamua kuwatembelea watu wa Mtombo tu bila kufanya kitu chochote, tungeiwekaje hii?Wanaotetea uwepo wa JK hapo kuzindua hlo daraja wajiulize je ni gharama kiasi gani imetumika kumpeleka rais na ujumbe wake kwenda na kurudi hadi huko,pengine ingetosha kuwajengea shule au zahanati.
hatukatai kujengwa daraja ila kwenda had matombo mh mh mh ni matumizi mabovu ya pesa ndopo tulizonazo
Nakumbauka mwandishi wa JITAMBUE (Tehenan) aliwahi andika "katika kila jambo, ni vile utavyotaka kuliangali... ukiutaka uzuri wake basi utauona mwingi na ukitaka ubaya wake pia utauona mwingi tu!". hii ndio siasa, unapotaka kukosoa jambo ambalo wengi wanaliona zuri bado unaweza kupata ubaya mwingi pia jambo baya kama utataka kulisifu basi utapata uzuri wake mwingi tu... ni siasa lakini mwisho wa siku maisha lazima yaendelee..
Nchi ya ajabu kweli hii...FFU wa nini sasa? Yaani ukiona kiongozi hajiamini hadi kwenye issue kama hizi, ujue kwenye siriaz issues kama za peaceful demonstrations tutapigwa sana...Hao watu wa kutuliza ghasia wanahitajika kweli?
Sasa kama hana kazi afanyeje? Mzee wa kusubiri misiba apate pa kwenda kumalizia siku.
Vipi kuhusu Chattle Master? JK akasomeJK ana walinzi kuliko hata Obama!
Wewe vipi unafukuaje uzi wa 2012,Vipi kuhusu Chattle Master? JK akasome
Mungu kama kakupa uhai, weka neno kuhusu zama hizi za makirikiriNchi ya ajabu kweli hii...FFU wa nini sasa? Yaani ukiona kiongozi hajiamini hadi kwenye issue kama hizi, ujue kwenye siriaz issues kama za peaceful demonstrations tutapigwa sana...