Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 13
Bin Maryam unataka kwenda wapi? au umejiunga na mtandao mwingine?hebu fafanua kidogo
Mitambo ikikatika sina uvumilivu wa kurudi Pugu Road. Mafundi mitambo JF inabidi kuandalia umezekano wa ku-implement fault tolerant ili JF iwepo 24/7.