Ndio maana nilisema wenye akili ndio watakao nielewa hila mtu kama wewe huwezi kuelewa upeo wako wa kufikiri bado upo chini wenye upeo mkubwa wamenielewa nini nime amanishaJifunze kwanza Hati mkato na Kuandika Ndo uwe #Pusher mkuu....
Ukishajua kuandika Vizuri Ruksa kupush Tag mkuu..
MWandiko Mbaya sana mkuu..
Na mkuu sukari umenunua wapi 1200 kwa kilo..
Huo mwaka gani unauzungumzia Mwaka 2001 au ?
Ukiwa Hastag Pusher Jifunze kuwa na Aibu pia
Huna ulicho elewa unge elewa usinge ongea kama ulivyo ongea mwenzako alio nielewa nini nime amanisha ndio maana akaku uliza umemuelewa lakini kaku uliza hivyo kutokana na majibu yako ndio akajua ujanielewaNimemuereewa Sana
Kweli nimekubari watanzania uwezo wa kufikiri mdogo sana yani kwa mtazamo wako unaona hayo maneno nilio ya andika nime amanisha mbona mwenzenu kanielewa nyinyi mnashindwaje kunielewaKuishi kwa shemeji na tena kwa muda mrefu ndiyo husababisha wewe kuwa na akili mgando kama hizi. Yaani shemeji yako anapogharamia umeme wa jenereta, wewe unaona kuwa tatizo la mgao wa umeme limekwisha, na pale dada yako anapobinya bajeti ya familia na kukupa wewe fedha, basi unaona maisha umeyapatia na wala hakuna tatizo la ajira.
Kisimbusi ww muelewa sana watu wote wangekuwa na uwezo wakufikiri kama ww nina amini mpaka leo ccm isingekuepo madarakaniIshu siyo mwamdiko, hicho ni kijembe kwa serekale thithiemu
Jifunze kufikiri ukifikiri vizuri nilicho andika usingesema hayo maneno mimi najua vizuri shida tunazo zipata nime andika hivyo hili machawa wafurahi lakini hakuna hata chawa alio nisapoti wamejua kama na kejeri ndio maana hawaja nisapotiWewe unagombea uwenyekiti wa mtaa au kitongoji?
Umezunguka nchi nzima ukaona kero za wananchi jinsi wanavyoteseka au wewe ni wale wa ndiyooooo.
Vijijini hatuna barabara za kupitisha mazao yetu kwenda kwenye masoko unasema CCM imefanya mengi??
Watu hatuna waganga kwenye zahanati zilizojengwa wewe unasema kila kitu bwerere??? Kama umetumwa basi kaandike kwenye mitandao nyingine siyo JF.
Kweli kabisa hila wenye akili ndogo hawawezi kuelewahahahahha wenye akili kubwa tu ndo wataelewa
Nashukuru na ahsante kwa kunielewaMkuu mwenye Hekima kwanza Hukubali kwamba alikosea...
mwanzoni ulibananisha sana Herufi na maneno Na hukuacha nafasi ya aya wala Hakukuwa na Nukta..
Japo baadaye ulifanimisha kuweka Nakushukuru kwa hilo..
It was Sarcasm..
Kuhusu Ulichoandika Mwanzoni sikukielewa ila niliporudi tena kusoma nikagundua ulikuwa na maana gani na Kweli kabisa umeandika sahihi..
Na Nchi tunakoelekea Tutaipoteza kabisa
Hakika kweli umenielewa ahsante sanaInaonekana hujamuelewa mtoa mada..!! Ni fasihi tu hapo imetumika kufikisha ujumbe kwa hadhila aliyoikusudia..!!
Nimekuelewa hila sijajua kama na wewe umenielewaHuku kwetu sukari imeshuka hadi 600/=
Yaani mia sita tu toka 2,700/=.
Ahsante sana kwa serikali yetu sikivu.
Nashukuru umenielewa yani maneno haya hata machawa wanaopenda kusifia hawawezi kuku sapoti wanajua kabisa kama una wakejeriSasa hivi maisha ni mtelezo tu.
Dola ziko za kutosha.
Sukari hadi inamwagika.
Umeme ndo usiseme kabisa..
Gharama za masisha kwa watu ziko chini kuliko muda wowote katika historia yetu!