Ahmed Rajab; mzalendo au mchochezi ?

Yoso

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
340
241
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana makala za mwandishi wa habari
Ahmed Rajab katika gazeti la Raia mwema zinazozungumzia masuala ya
kisiasa zaidi nilichogundua kuwa huyu mwandishi ni mtu anayeshabikia
sana kuvunja muungano na kubariki mienendo jumuia ya uamusho,z'bar
je huyu jamaa ni mzalendo au mchochezi,naomba tumjadili.
 
Huyu jamaa ni mchochezi. Nimepitia makala zake nyingi mno na nyingi kati ya hizo zina ujumbe uleule wa uamsho.
 
Mzanzibar! Za Mwanakijiji na Karugendo je unazisoma? Wazalendo au Wanaharakati wa kikatoliki?
 
We ni mjinga tu! Na huelewi ila ipo siku utaelewa. Siku zote unapenda kuona habari unazozitaka wewe tena zile za kupikwa na nadharia zaidi,hapo roho na akili yako hutua kwa utulivu.Habari za halihalisi huzitaki kwakuwa kwako ni uchochezi na machukizo makubwa! Rajab anasema kweli. Kamakweli wewe unapenda haki na kweli hebu nipe chanzo cha kuibuka Al-shabaab wanaoitwa magaidi.
 
ahmed hana matatizo ni msema haki amesimamia anapoamini penye usawa kama nyie makatoliki hamumuungi mkono kalaleni
 
Nilipoanzisha thread hii sikua na maana ya kuhukumu mawazo na hisia za Ahmed Rajab lakini ukweli lazima ujisimamie wenyewe,anapodai kwenye
moja ya makala zake kuwa uamusho hawahusiki na vurugu na vitendo vya uchomaji makanisa alikuwa anamsemea,hamjui kuwa kushabikia mambo kama haya ya uvunjifu wa amani mbele yeti kuna dhahama kubwa ,basi siku moja tutarajia yale ya al-shabab,boko haram hata tuareg guerilla kule mali.
 
Bornvilla ,uamusho zenji na al-shabab wote ni islamist sijui wewe mwerevu uniambie hiyo haki wanayoitafuta ni ipi zaidi ya udini unaowasumbua!!!
 
Nilipoanzisha thread hii sikua na maana ya kuhukumu mawazo na hisia za Ahmed Rajab lakini ukweli lazima ujisimamie wenyewe,anapodai kwenye
moja ya makala zake kuwa uamusho hawahusiki na vurugu na vitendo vya uchomaji makanisa alikuwa anamsemea,hamjui kuwa kushabikia mambo kama haya ya uvunjifu wa amani mbele yeti kuna dhahama kubwa ,basi siku moja tutarajia yale ya al-shabab,boko haram hata tuareg guerilla kule mali.

Ama wewe ni mjinga na mpumbavu sana, sasa ulitaka ashabikie kuwa MUAMSHO wamechoma makanisa? Kwani amewaona wakichoma hayo makanisa?

Ondosha utumbo wako hapa mmezoea kuweka propaganda zenu na kuzifurahia, ila mkiambiwa ukweli mnapindisha.

Wee Mpumbavu sikiliza, MUAMSHO ni ya Wazanzibari wote fuatilia Baraza la Wakilishi huko Zenji ndio utajua kuwa hata wawakilishi ni UAMSHO wanasema hv "TUACHIWEEEEE TUPUMUEEEEE" ambayo ni kauli mbiu ya MUAMSHO.



JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA propaganda zenu baadae.
 
mzaire we mse****e utanisababisha nipigwe ban hivi unafikiri nani anang'ang'ania muungano na wachovu kama ninyi mliozoea misaada ya tende na halua toka kwa mabwana zenu kwani mnapochoma makanisa kwani huo muungano uliletwa na makanisa stupid!
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana makala za mwandishi wa habari
Ahmed Rajab katika gazeti la Raia mwema zinazozungumzia masuala ya
kisiasa zaidi nilichogundua kuwa huyu mwandishi ni mtu anayeshabikia
sana kuvunja muungano na kubariki mienendo jumuia ya uamusho,z'bar
je huyu jamaa ni mzalendo au mchochezi,naomba tumjadili.

Ni Mwananchi huru na anapaswa kuongelea yanayombugudhi Moyoni Mwake; na kama ni kuwa

hautaki Muungano Nadhani yuko huru kuuongelea atakavyo, Tanzania au Tanganyika na Zanzibar

ni nchi huru na Wananchi wake ni huru Na Hajasema anamchukia kiongozi yoyote isopokuwa ni

huo Muungano labda unahitaji Marekebisho na sio Uchochezi Anaongelea Mengi kuhusu wabara

pia na Wazanzibari kuwa kuna uhusiano wa kijamii kwahiyo Hoja zake sio za kuzichukia.
 
kuna ushahidi tosha kuwa moja ya wanauamusho walikamatwa kwenye haya matukio ya uchomaji baadaye anaibuka mwandishi aitwaye Ahmed Rajab katika moja ya makala zake na kudai eti "sio vizuri kulaumu kundi lolote katika tukio hili "lakini tukumbuke Rwanda ya Genocide (kimbali) ilichangiwa vizuri sana kuibua mauaji na watu wadizaini ya Ahmed Rajab ,mimi nafikiri kwa mtaji wa huyu mwandishi na UAMSHO tutarajie makubwa.
 
We ni mjinga tu! Na huelewi ila ipo siku utaelewa. Siku zote unapenda kuona habari unazozitaka wewe tena zile za kupikwa na nadharia zaidi,hapo roho na akili yako hutua kwa utulivu.Habari za halihalisi huzitaki kwakuwa kwako ni uchochezi na machukizo makubwa! Rajab anasema kweli. Kamakweli wewe unapenda haki na kweli hebu nipe chanzo cha kuibuka Al-shabaab wanaoitwa magaidi.

Al-Shabaab wameitwa magaidi na US Coz wanaingilia interest zao nasi tukakubali ni magaidi leo hii UAMSHO nao wataitwa magaidi na tutakubali kwa Sababu ya kuficha ukweli. Sometimes ukweli usemwe tu cna shida na Rajab Ahmed
 
Back
Top Bottom