Yoso
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 340
- 241
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana makala za mwandishi wa habari
Ahmed Rajab katika gazeti la Raia mwema zinazozungumzia masuala ya
kisiasa zaidi nilichogundua kuwa huyu mwandishi ni mtu anayeshabikia
sana kuvunja muungano na kubariki mienendo jumuia ya uamusho,z'bar
je huyu jamaa ni mzalendo au mchochezi,naomba tumjadili.
Ahmed Rajab katika gazeti la Raia mwema zinazozungumzia masuala ya
kisiasa zaidi nilichogundua kuwa huyu mwandishi ni mtu anayeshabikia
sana kuvunja muungano na kubariki mienendo jumuia ya uamusho,z'bar
je huyu jamaa ni mzalendo au mchochezi,naomba tumjadili.