Kibano; Wakili Chadema Vs Shahidi Jamhuri mauaji ya Akwilina

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
'Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 17 Aprili, SSP Ngichi ameeleza kuwa, hajui kwanini hadi leo hakuna mtuhumiwa yeyote aliyefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji ya Akwili, aliyekuwa Mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT).

Tarehr 16 Februari mwaka 2018, siku ambayo viongozi wa Chadema na wafuasi wao walifanya maandamano kupinga mawakala wao kutoapishwa kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kinondoni. Maandamano hayo yalinadaiw kupelekea kifo cha Akwelina.

Yafuatayo na mahojiano kati ya Wakili wa utetezi Peter Kibatala na shahidi wa Jamhuri SSP Ngichi.

Wakili Kibatala: Shahidi nimekusikia kwamba, umeanza kutumikia jeshi la Polisi tangu 2000.

Shahidi: Sawa

Wakili Kibatala: Una elimu gani?

Shahidi: Shahada ya uzamili ya Utawala kutoka Chuo cha Mzumbe.

Wakili Kibatala: Shahada yako ilikuwa ya nini?

Shahidi: Ya Sheria daraja la pili, niliipata Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Wakili Kibatala: Naongea na mtu mwenye ufahamu wa sheria?

Shahidi: Ndio.

Wakili Kibatala: Ulizungumzia kifo cha Akwilina, majina yake tafadhali?.

Shahidi: Siyajui.

Wakili Kibatala: Ni sahihi kwamba ofisa ambaye uliongoza operesheni, mwenye kujua sheria humjui mtu uliyemtaja kwenye maelezo yako alijeruhiwa kwenye maandamano?.

Shahidi: Namjua Akwelina .

Wakili Kibatala: Nataka majina mawili. Una uhakika gani kwamba unayemtolea ushahidi ndiye huyu huyo uliyemtaja kwa sababu kuna Peter na Peter Kibataka.

Shahidi: Nitamuomba muongoza mashataka.

Wakili Kibatala: Shahidi ulimuona mwendesha mashtaka ndio shahidi, wewe ndio uliyekula kiapo.

Wewe ndio ulikuwa mkuu wa Operesheni, unaweza kuieleza mahakama chanzo cha kifo cha Akwelina?

Shahidi: Siwezi kujua. Sababu ya kifo cha Akwilin anapaswa kujua ni mpelelezi

wa kifo.

Wakili Kibatala: Ukiwa kama ni ofisa wa operesheni na ulikuwa ndio unaongoza vikosi, ni nini sababu ya kitabibu ya kifo cha Akwilina?

Shahidi: Mimi siijui.

Wakili Kibatala: Sasa kama hujui sababu ya kifo, nini kilichokufanya useme marehemu amekufa kutokana na tukio la maandamano?

Wakili Kibatala: Unafahamu dhana ya ‘hear say’ ni sawa na umbea.

Shahidi: Hapana.

Wakili Kibatala: Mimi nasema ni umbea, wewe hujakiona, hujakishuhudia.

Shahidi: Mimi nasema sio umbea maneno ya kuambiwa.

Wakili Kibatala: Ni sahihi yale yote uliyoyasema juu ya Akwilina wewe huyajui, kuna watu wengine waje waseme.

Shahidi: Sawa.

Wakili Kibatala: Hitimisho la kwamba, Akwelina alikufa kwenye maandamano?

Shahidi: Sio sahihi. Sio kila ninalosema mahakamani nimeshuhudia, mengine yameripotiwa kituoni.

Wakili Kibatala: Unajua sababu ya kifo cha Akwilina, alikufa kwa mshutuko au alipomuona Mbowe?

Shahidi: Sijui.

Wakili Kibatala: Unakubaliana na mimi kuwa wewe hujui chochote kuhusu kifo cha Akwilin, unataka aje mtu mwengine kutoa taarifa hizo?

Shahidi: Sawa.

Wakili Kibatala: Unaufahamu binafsi kuhusu taarifa kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi na Kamanda wa Kanda ya Dar es Salaam juu ya kifo cha Akwelina?

Shahidi: Sifahamu.

Wakili Kibatala: Mtu akifariki katika kifo kisichojulikana sababu zake lazima upite uchunguzi, watu waliohusishwa kupelekwa mahakamani. Ni nani aliyeshitakiwa kwa kosa la mauaji ya Akwelina?

Shahidi: Hakuna .

Wakili Kibatala: Ni hali ya kawaida mtu anakufa katika mazingira ya kutatanisha na hakuna mtu yoyote alipelekwa mahakamani?

Shahidi: Kimya

Wakili Kibatala: Ulishawahi kuona mtu amefariki katika mazingira ya kutatanisha na hakuna aliyepekwa mahakamani kwa kesi ya mauaji ya kukusudia au mauaji ya bila kukusuadia.

Shahidi: Wapi nje au ndani ya nchi?

Wakili Kibatala: Kesi hii imetokea ndani ya Tanzania?.

Shahidi: Kama kuna mtu amefanya kitendo kama hicho tunachukua hatua.Tukio kama hilo linapelelezwa na hatua nyengine zinafuatiwa.

Wakili Kibatala: Umejibu swali lingine. Nakuuliza, umewahi kushuhudia kifo kama cha Akwelina na hakuna mtu anayepelekwa mahakamani.

Shahidi: Sijawahi kushuhudia huyo Akwelina anauawa.

Wakili Kibatala: Nakuuliza kwa mara ya saba kwa uzoefu wako wa miaka 20, ushawahi kushuhudia mtu anauawa eneo la wazi kama Kawawa (barabara ya Kawawa) na hakuna mtu yeyote aliyepelekwa mahkamani?

Shahidi: Sijawahi kushuhudia.

Hakimu Simba ameuambia upande wa mashtaka muongozeni shahidi ajibu swali.

Wakili Nchimbi (Upande wa Mshtka):Jibu moja kwa moja (straight)

Shahidi: Sijawahi kushuhudia mtu anakufa eneo la Kawawa.

Wakili Kibatala: Ulizungumzia watu walikuwa wameogofywa (wameogopa) wengine wakafunga maduka na wengine walikimbia, hawa watu uliwahi kuongea nao binafsi?.

Shahidi: Ndio

Wakili Kibatala: Uliongea nao wapi,kituoni Osterbey au eneo la tukio?.

Shahidi: Eneo la tukio.

Wakili Kibatala: Baada au kabla ya maandamano?

Shahidi: Baada ya maandamano nilibaki nikaongea nao.

Wakili Kibatala: Ni wapi?.

Shahidi: Kushoto na kulia mwa barabara ya Kawawa.

Wakili Kibatala: Eneo gani?

Shahidi: Mkwajuni.

Wakili Kibatala: Ni sahihi Ofisa wa Polisi hajiongozi wenyewe kuna kitabu maalumu kinachowaongoza kinaitwa (GPO).

Shahidi: Ndio

Wakili Kibatala: Wewe unatakiwa uwe na Notebook kwa mujibu wa GPO.

Shahidi: Ndio.

Wakili Kibatala: Bila shaka uliona umuhimu wa kuchukua maelezo ya wafanyabiashara wa barabara ya Kawawa uliowahoji .

Shahidi: Hapana.Sio kila unayemuhoji unaandika.

Wakili Kibatala: Shitaka namba nne Umma Kupata uwoga ndio maana nakuuliza maswali.

Sasa tukubaliane na maelezo ya hawa watu waliogofywa ambao uliwahoji wewe uliyarekodi?.

Shahidi: Sikurekodi.

Wakili Kibatala: Wakati unaongozwa na wakili wa serikali ulisema watoto na wazee walipotea, unaufahamu binafsi juu hao wazee.

Shahidi: Ndio

Wakili Kibatala: Uliwahoji wewe?

Shahidi: Askari mbalimbali kwenye vituo mbalimbali vya polisi.

Wakili Kibatala: Vituo gani vitaje

Shahidi: Hananasifu na Mwananyamala.

Wakili Kibatala: kutoka eneo la tukio kuna umbali gani mpaka kituo cha Polisi?

Shahidi: Kama mita 900.

Wakili Kibatala: Mwambie hakimu kama unakumbuka majina ya Polisi waliorekodi maelezo ya watoto na wazee hawa.

Shahidi: Askari wa zamu waliokuwepo vituoni.

Wakili Kibatala: Unayajua majina yao?

Shahidi: Siyafahamu .

Wakili Kibatala: Umesema katika maelezo yao kuwa, maduka na stoo zilivamiwa na kuibiwa. Chagua majina matano tu uyataje yaliyoporwa?

Shahidi: Majina ya maduka yaliyofanyiwa uhalifu yapo kwa mpelelezi.

Wakili Kibatala: Hayo maduka na hizo stoo unayafahamu majina yake au huyafahamu?

Shahidi: Kumbukumbuka za Jeshi la Polisi zipo .

Wakili Kibatala: Unayafahamu au huyafahamu?

Shahidi: Sizikumbuki.

Wakili Kibatala: Maandamano uliyazuia kwa sababu kuwa ofisi za mkuregenzi, ulifahamu kuwa saa moja ofisi zilikuwa wazi?

Shahidi: Ninafahamu kuwa zilifungwa.

Wakili Kibatala: Unaufahamu wowote juu ya ofisi ya mkuregenzi wa Manspaa muda wa saa 11 zilikuwa wazi ambapo wewe ulidai kuwa, muda huo umesimisha maandamano?

Shahidi: Sifahamu.

Wakili Kibatala: Unafahamu majina ya Mkurugenzi wa Manspaa?

Shahidi: Nalifahamu lakini nimesahau.

Wakili Kibatala: Hapo awali ulisema kuwa, ulipewa taarifa na wasimamizi wa uchaguzi unajua majina ya maofisa hao?

Shahidi: Siwafahamu.

Wakili Kibatala: Ulichukuwa maelezo ya Mkurugenzi wa Manspaa kuhusiana na tukio hilo?.

Shahidi: Hapana sikuchukua.

Wakili Kibatala: Unaufahamu juu ya ofisa wako yeyote aliyechukuwa maelezo ya Mkurugenzi wa Manispaa juu ya tukio hilo kuhusiana na ofisi kufungwa.

Shahidi: Hapana.

Wakili Kibatala: Ulichukua maelezo ya Msimamizi wa Uchaguzi kuhusiana na kufungwa ofisi?

Shahidi: Sikuchukua.

Wakili Kibatala: hakuna ofisa yoyote uliyekuwa naye aliyechukuwa maelezo ya Msimamizi wa Uchaguzi?

Shahidi: Hawakuchukua.

Wakili Kibatala: Ulisema kampeni pekee ndio zilizoruhusiwa ni kipi kilichokujuza wewe kuwa watu wa Chadema wameruhusiwa kufanya kampeni pekee yake.

Shahidi: Barua.

Wakili Kibatala: Umeitoa kama kielelezo mahakamani?

Shahidi: Hapana.

Wakili Kibatala: Sasa hatuna barua hatuna ratiba, tunawezaje kuthibitisha kuwa kulikuwa na kampeni siku hiyo bila barua bila ratiba?

Shahidi: Kimya.

Wakili Kibatala: Kwa kuwa hatuna hizo nyenzo hizo mbili mahakama itawezaje kujua Chadema waliruhusiwa kufanya hiki na hiki?.

Shahidi: Barua kwa sasa haipo lakini mahakama ikitaka nitaileta.

Wakili Kibatala: Kwani wewe ni mwendesha mashataka?

Shahidi: Hapana.

Wakili Kibatala: Shitaka la nne linasema, watuhumiwa ni viongozi tisa wa Chadema na watu wengine 12 ambao hawapo mahakamani walifanya kusanyiko lisilo halali, wewe umesema ni kati ya watu 600 na 700. Kati ya wewe na hati ya mashtaka nani muongo?.

Shahidi: Mimi ninachosema ndio kilichopo.

Wakili Kibatala: Ulisema PC Fikiri na Koplo Msangi walipata majeraha ya aina gani?

Shahidi: Mmoja alijeruhiwa kichwani mmoja mguuni mwengine mgongoni.

Wakili Kibatala: Ukiwa kama ofisa mzoefu wa miaka 20 ndani ya jeshi bila shaka walipopata majeraha waliandikwa taarifa gani?

Shahidi: Waliandikiswa taarifa ya kupota majeraha na kesi iliyofunguliwa ni kujeruhi kwa madhara makubwa.

Katika kitabu PGO ni lazima tukio lolote la kijinai liingie kwenye RB tukio hilo liliingizwa .

Wakili Kibatala: Nani alirekodi?

Shahidi: Askari wa zamu.

Wakili Kibatala: Unamfahamu askari aliyerekodi maelezo ya askari hao waliojeruhiwa?

Shahidi: Sifahamu.

Wakili Kibatala: Unafahamu kuwa Msangi aliwekwa ndani (mahabusu)kwa muda juu ya kifo cha Akwelina?

Shahidi: Sijui.

Wakili Kibatala: Kama unafahamu kama alipelekwa rumande ni lini alipelekwa?

Shahidi: Sifahamu.

Wakili Kibatala: Ni sahihi kwamba kuna askari walikamatwa na kuwekwa ndani siku kadhaa kuhusiana na kifo cha Akwilina?

Shahidi: Sifahamu.

Wakili Kibatala: Hujui kama kuna askari walikamatwa?

Shahidi: Sifahamu.

Wakili Kibatala: Fikiri na Msangi walikuwa moja ya askari waliofyatua risasi.

Shahidi: Hawa walijeruhiwa kabla na kuondolewa eneo la tukio.

Wakili Kibatala: Tutajie majina ya maofisa wa polisi waliofyetua risasi kwa amri yako.

Shahidi: Ninawafahamu lakini sina kumbukumbu ya majina yao hapa mahakamani.

Wakili Kibatala: Unajua idadi risasi?

Shahidi: Ninajua idadi ya risasi zilizofyetuliwa lakini sina idadi ya risasi hapa (kwa sauti ya juu).

Wakili Kibatala: Unafahamu mahali ambapo risasi zote zilizopokwenda.

Shahidi: Baadhi sifahamu baadhi nafahamu.

Wakili Kibatala: Ni sahihi kwa mujibu wa GPO (kitabu cha muongozo cha Polisi) askari wanalazimika kurejesha silaha kwa rekodi na kuondoka nazo kwa rekodi kwa kujua askari fulani alichukua silaha namba fulani?.

Shahidi: Sahihi.

Wakili Kibatala: Kuna risasi ulizihesabu? sheria inasema kuwa lazima uhesabu risasi ni sahihi kuwa kuna risasi zilipotea na nyengine zilipatika. Mlitoleaje maelezo ya risasi zilizopotea.

Shahidi: Tunaandika tumempa askari risasi 30 kama zimerejee 15, tunandika 15 kwa 30.

Wakili Kibatala: Ni sahihi kwamba kuna watu watano walijeruhiwa na Jeshi la Polisi na kwamba, walikaa polisi mahabusu ya Osterbey siku 14?.

Shahidi: Sina taarifa.

Wakili Kibatala: Ni sahihi pamoja na mambo mengine kuna kuwa na kitambaa ndani ya ILANI ambacho kina maneno ambayo ni maalumu ambayo ni muhimu?

Shahidi: Sahihi.

Wakili Kibatala: Ni sahahi wewe ndio mwenye mamlaka na kitaambaa cha ILANI?

Shahidi: Ndio.

Wakili Kibatala: Tumekubaliana ni kitambaa cha kisheria na ni muhimu na ile amri ya polisi iwe halali na umwambie hakimu kuwa, uliongozwa na wakili wa zerikali kutamka maneno yaliyokuwepo kwenye kitambaa cha ILANI?

Shahidi: Kile kitambaa ni maelekezo ya kipolisi .

Wakili Kibatala: Umeongozwa au hujaongozwa?

Shahidi: Sijaongozwa.
Kes

Wakili Kibatala: Dereva wako ulimtaja?

Shahidi: Sijamtaja.
Kesi itaendelea
Updates....
Kesi na 112 ya Mwaka 2018 Mshtakiwa Freeman Mbowe na wenzake
Wakili wa Serikali Faraja Nchimbi, Paul Kadushi na
Wakati upande was utetezi unaongozwa na Wakili
Professa Safari. Dk Nshala, John Mallya, Jeremia Mtobesya, Hekima Mwasibu na Peter Kibatara
Kuendelea na kumuliza maswali shahidi wa Kwanza SSP Gerald Ngichi.
*Kibatala.* Mara ya mwisho wakati unatoa ushahidi wako ulisema kuna watoto na wazee walipotea mueleze hakimu jinsi wazee na watoto hawa walivyoonganishwa na familia zao ulisema chochote.
*Shahidi* Nilisema.
*Kibatala* Muambie hakimu waliunganisha kwa namna gani na familia zao.
*Shahidi* Baada ya kuripoti sisi tuliwapeleka kwenye vituo vya karibu na familia zao.
*Kibatala* Ulitaja majina ya hao ndugu.
*Shahidi* Sikutaja.
*Kibatala* Shahidi nilikusikia ukitoa ushahidi kuwa pale eneo la tukio walikamatwa watuhumiwa makundi mawili washtakiwa na pamoja na watu wengine ambao mimi nafikiri kuwa ni watuhumiwa ulisema chochote.
*Shahidi* Nilisema.
*Kibatara* Na hatua gani ilichukuliwa.
*Shahidi* Walipelekwa kituo cha Polisi cha Osterbay.
*Kibatara* Na baada ya hapo walisamehewa kwa hisani ya Polisi.
*Shahidi* Sifahamu
Upepelezi siufahamu.
*Kibatala* Wewe unawafahamu binafsi kilichowatokea hawa juu ya kufunguliwa kesi.
*Shahidi* Nafahamu.
*Kibatala* Ulisema chochote juu ya kufunguliwa kesi.
*Shahidi* Kesi ilifunguliwa Ost..
*Kibatala* Ulitaja majina yao.
*Shahidi* Hapana.
*Kibatala* Wakati unatoa ushahidi wako ulisema kuwa Mbowe alitimua mbio na kwamba hukuwahi kuona akitimua mbio namna ile na ulisema alidondosha miwani sahihi.
*Shahidi* Sahihi.
*Kibatala* miwani iko wapi.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Ni sahihi eidha wewe au askari wako walichukua mawani hiyo kama ushahidi.
*Shahidi* Alichukua mwenyewe.
*Kibatala* Kwa hiyo mtu alitim mbio za ajabu anaweza kuokota miwani bila kumtokea chochote.
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Ulisema chochote kuhusu mavazi.
*Shahidi* Sikusema.
*Kibatala* Kati ya washtakiwa hapa waliopo mbele ya Mahakama ni mshtakiwa gani alimkamata eneo la tukio au eneo lolote linalohusiana na tukio.
*Shahidi* Hakuna
*Kibatala* Wastakiwa hawa walikamatiwa wapi?
*Shahidi* Walikamatwa nyumbani.
*Shahidi* Ulisema unaskari wangapi.
*Shahidi* Mia Hamsini na zaidi.
*Kibatala* Lakini hakuna askari hata mmoja aliyemkata Mbowe.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Ni mtuhumiwa gani muliyemkata eneo la tukio.
*Shahidi* Hakuna.
*Kibatala* Mlirekodi ushahidi wowote .
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Wakati gani mliweza kurekodi wakati was mkutano au wakati was maandamano?
*Shahidi* Wote.
*Kibatala* Aliyerekodi nani?
*Shahidi* Maofisa wa Jeshi la Polisi.
*Kibatala* Anaitwa nani huyo ofisa.
*Shahidi* Sifahamu jina lake.
*Kibatala* Vifaa vya kurekodia vinatoka kwa amri ya nani kwenda kwenye matukio mbalimbali.
*Shahidi* Vifaa vinakuwa chini Mkuu wa Upelelezi.
*Kibatala* kamanda wa Polisi Wilaya Kinondoni alikuwa eneo la tukio
*Shahidi* Sifahamu ila timu zao zilikuwepo.
*Shahidi* Wao wenyewe walikuwa hawapo.
*Kibatala* Unaufahamu binafsi namna maofisa hawa walivyotoa vifaa vifaa hivi vya kurekodia.
*Shahidi* Sifahamu, wao ndio wanajua jinsi ya kutoa vifaa vya kazi.
*Kibatala* Wakati washtakiwa wanahojiwa ulikuwepo na unafahamu chochote juu ya kile walichihojiwa.
*Shahidi* Sikuwepo.
*Kibatala* Kwahiyo hufahamu walihojiwa nini?
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Je unafahamu kuwa Ester Matiko siku ya tukio alikuwa anafanya mkutano jimboni kwake na mkutano huo ulitolewa kibali na Jeshi la Polisi?
*Shahidi* siwezi kujua.
*Kibatala* Kwahiyo Jeshi la Polisi huwa hmuwasiliani.
*Kibatala* Unafahamu kuwa Msigwa mara tu baada ya Mkutano kuisha alianza safari ya kwenda Iringa.
*Shahidia* Ninafahamu kuwa hakuondoka ndio maana alikuwepo kwenye maandamano.
*Kibatala* Unasema pia Freeman Mbowe aliondolewa kwenye Mkutano na walinzi wake.
*Shahidi* Ndio
*Kibatala* unawajua walinzi wa Mbowe.
*Shahidi* Siwafahamu.
*Kibatala* Sasa umewezaje kuwatambua kuwa ni walinzi wa mbowe.
*Shahidi* Walikuwa wakimsaidia
*Kibatala* Kwahiyo kila anayemsaidia Mbowe ni mlinzi wake.
*Shahidi* Mbowe kwa maoni yangu mimi walichokifanya walinzi wa Mbowe pia ni kosa la Jinai
*Kibatala* mwambie Hakimu kama muliwakamata.
*Kibatala* Nilishakueleza kuwa watuhumiwa walipelekwa Polisi.
*Kibatala* Hao walinzi uliwakamata.
*Shahidi* Nilishajibu kati ya hao watu 43 niliwakamata kama walikuwemo niliwakamata.
*Kibatala* Walinzi wa Mbowe nao walikuwa wanandamana au
*Kibatala* Katika shitaka la Kwanza watuhumiwa walikula njama kufanya kosa la kusanyiko kinyume na sheria mueleze Hakimu walikutana wapi.
*Shahidi* Sijui walipokutana.
*Kibatala* Shitaka la Pili walifanya kosanyika lisilo halali kuanzia uwanja wa Buibui. Nataka kujua walipokuwepo Buibui walikuwa kisheria.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Muambia Hakimu kwamba uwepo wa Watuhumiwa buibui kama walikuwa sawa kisheria.
*Shahidi* Walikuwa sawa kisheria kwa sababu walikuwa wafunga kampeni.
*Kibatala* Shitaka la Nne ni hapa napozungumza kiongozi wa Hananasifu yupo Moncharwi ni kweli wakati anahutubia maneno hayo kulikuwa na Kiongizi alikuwa Monchwari.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Alifikaje hapo Monchwari.
*Shahidi* Maiti huwa anahifadhiwa Monchwari kusubiri maziko au upelelezi.
*Kibatala* Nini chanzo cha kifo chake.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Alinyongwa na kuuawa.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Mbowe alisema halafu siye tunaona kawaida.Kunyongwa hadi kuuawa ni jambo kawaida ulikuwa unajua anamaanisha nini?
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Amenukuliwa Mhe Mbowe kwenye hati ya mashtaka alisema kimempata marehemu halafu Tunacheka na Polisi uliweza kufahamu alikuwa akilenga nini?
*Shahidi* Sifahamu alikuwa anamaanisha mini.
*Kibatala* Bila shaka pia ufahamu aliposema tunacheka na CCM alimaanisha nini?
*Shahidi* Sifahamu.
*Kibatala* Haya maneno uliyasikia binafsi au kuna mtu alikusimulia.
*Shahidia* Sijayasikia
*Kibatala* Shitaka la Sita linasema kuwa alifanya uchochezi wa Uasi. Tumejipa kibali cha kutangulia mbele ya haki wewe unafahamu alilenga ninu hapa?
*Shahidi* Kutangulia mbele ya haki ni kufa.
*Kibatala* Kwani mwisho wa siku Mbowe atakufa au hafi..
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Maneno mengine amesema kuwa haiwezekani wanaume wazima kama sisi tufanywe mandondocha kwani kuna tatizo gani kwenye maneno haya Mwanaume mwenye watoto wake na mke kukataa kufanywa ndondocha?
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Mimi nipo hapa kuliandaa taifa kunatatizo ganu Mbowe kuliandaa taifa.
*Shahidi* Inategemea kwa namna gani anataka kulianda taifa.
*Kibatala* Mbowe alisikia akisema Juzi Jacob Zuma alilazimishwa kujiuzulu ni kweli Zuma alilazimisha kujiuzulu.
*Shahidi* Sifahamu
*Kibatala* Mbowe aliendelea kusikaka akisema Mugabe Kang'olewa ni kweli Mugabe Kang'olewa.
*Shahidi* Sifahamu
*Kibatala* Mbowe aliendelea kusikia akisema Waziri Mkuu wa Ephionian aliondolewa kwa people's Power ni kweli aliondolewa kwa People's Power.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Alisema Rais Magufuli ni Mwepesi kama Karatasi wewe unaufahamu uzito wa Magufuli?
*Shahidi* Magufuli ni nani sijakuelewa.
*Kibatala* Magufuli aliyeandikwa kwenye hati ya Mashtaka.
*Shahidi* Simjui
*Kibatala* Anamfahamu aliyeandika hati ya mashtaka.
*Kibatala* Shitaka la saba Mdee alichochea uasi alisema sihitaju kuelezea madhira yanayowakuta wenzetu, Unayafahamu hayo madhira.
*Shahidi* Mimi sikuwepo wakati anazungumza hayo maneno.
*Kibatala* Kuna maneno mengine kwamba kesho tukamchinje Magufuli na vibaraka wake wote ulifanikiwa kufahamu kuwa kumchinja kwa maana ya kimshinda kwenye uchaguzi.
*Shahidi* Sijamsikia.
*Kibatala* Shitaka la nane Heche ni sahihi kuwa tarehe 17 Februali 2018 kuwa kulikuwa na zoezi uchaguzi jimbo la Kinondoni.
*Shahidi* .........
*Kibatala* Jibu shahidi.
*Shahidi* Hiyo siku inayofuata baada ya Kampeni ni siku ya uchaguzi.
*Kibatala* Heche alisema Kesho patachimbika upumbavu uliofanya kwenye nchini hii sasa unatosha wewe unafahamu kuwa alimanisha kuitoa out CCM.
*Shahidia* Siijui maana sikuwepo.
*Kibatala* Hili suala kuwa watu wanapotea ni kweli au sio kweli, Ni kweli kwamba kuna watu wanapotea na Jeshi la Polisi halijui walipo.
*Shahidi* Watu wanaopotea wanaripotiwa Polisi.
*Kibatala* Kuna Mwandishi wa Habari amepotea anaitwa Azory Gwanda unafahamu alipo?
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Kuna Mtu anaitwa Ben Saanene unafahamu alipo na nini kimemtokea.
*Shahidi* Hapana.
*Kibatala* Kama wewe hujui hawa watu wawili wamepotea, Mbowe akisema kuna watu wamepotea. kisheria tatizo liko wapi?
*Hakimu* Kibatala unauliza swali la ufahamu kisheria au naomba ufafanue swali lako.
*Kibatala* Shahidi narudia swali Mbowe amesema kuna watu wamepotea je kipolisi kosa lipo wapi kama kweli kuna watu wamepotea na Jeshi la Polisi halijawai kusema chochote.
*Shahidi* Sifahumu
*Kibatala* Kama imeripotiwa , Watu wanauwa na wanaokotwa kwenye mitaro ni kweli kwamba watu wanauwa wanaokotwa kwenye mitaro.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Shahidi Mshtakiwa kwanza alisema nitaongoza mapambano najua watu wataao kufa watalea haki kwenye nchi hii ni kweli ulisikia mshatiwa wa kwanza alisema mameno hayo
*Shahidi* Sikuskia
*Kibatala* Shtaka la 11 Mh freeman mbowe aluwachochea wakazi wa kinondoni je unawajua kwa majina hao wakazi.
*Shahidi* Siwafahamu hao wakazi kwa kuwa sikuwepo aliposema.
*Kibatala* Shahidi shtala 12 linamuhusu Peter Msigwa
Mshtakiwa aliwachochea wakazi wa kinonondoni wabebe sila ulisikua kisema maneno hayo
*Shahidia* Sikuwepo
*Kibatala* Shtaka la 13 linamuhusu Ester Bulaya
Aliwachochea wananchi wa kinondoni kujilinda ili kupatikana kwa haki ulimsikia
*Shahidi* Sikumsikia
*Kibatala* Shahidi ni nani sasa hasa alisikia hayo maneno
*Shahidi* Maafisa ya jeshi la polisi waliokuwa wakisimamia mkutano wa kufunga kampeni
*Kibatala* Wakati nakuuliza awali kuhusiano na uchukuaji wa video ulionyesha kutokuwa na ufahamu binafsi na lakini ulipokuwa kawawa road ulipokuwepo uliwai kuonyeshwa video iliyochukuliwa kawawa road
*Shahidi* Siitaji kukujibu
*Hakimu* Jibu
*Shahidi* sikuonyeshwa
Peter kibatala Ni hayo tu shahidi
*Prof Safari.* Napenda kuitaarifu mahakama kuwa wakili Mtobesya amejiunga na sisi
*Wakili John Malya* Shahidi nina maswali machache sana naomba ujibu kwa sauti kama ulivyokuwa unajibu awali
*Kibatala* Shahidi umezaliwa mwaka gani
*Shahidi* Nimezaliwa mwaka 1972
*John Malya* Unamiaka mingapi.
*Shahidi* Miaka 47.
*John Malya* Wakati unajiunga na Jeshi la Polisi ulikuwa na Miaka mingapi, 2000.
*John Malya* Au nikusaidie.
*Shahidi* Miaka 28
*Shahidi* 28 ulikuwa na Degreee ya Kozi gani.
Sheria.
*John Malya* Ulianza mwaka gani.
1996.
*John Malya* Kwa mujibu wa PGO ni sahihi kwamba mtu akiwa na miaka 28 haruhusiwi kujiunga na jeshi la Polisi.
*Shahidi* Sio kweli
*Mheshimiwa* hakimu tujiepushe na maneno ya kumuondolea mtu heshima.
*John Malya* Kiwango cha Mwisho cha Umri kujiunga na Polisi.
*Shahidi* Inategemea na Elimu.
*John Malya* Mimi nina miaka 31 nina degree ya Sheria naruhusiwa kujiunga na Jeshi la Polisi.
*Shahidi* Ndio.
*John Malya* Kesi unayoitolea ushahidi unahusiana na maswala ya uchaguzi nyinyi kama wadau mlipewa elimu juu ya usimamizi wa uchaguzi.
*Shahidi* Ndio
*Shahidi* Mimi natolea ushahidi ya maandamano yasiyo halali
*John Malya* Lakini inatokana na uchaguzi ni kweli si kweli
*Shahidi* Kweli
*Johna Malya* Mlipewa mafunzao ya kuoata mafunzo mahususi juu ya usimamizi wa uchaguzi.
*Shahidi* Jeshi la polisi linamafunzao ya kusimamia chaguzi mablimabali ndogo na kubwa.
*John Malya* Uchaguzi wa kinondoni mlipewa mafunzo.
*John Malya* Shahidi unaweza kutuambia ni sheria zipi unazijua katika kusomamia uchaguzi
*Shahidi* Sheria ya uchaguzi, sheria jeshi la Polisi na sheria ya Makosa ya jinai
*John Malya* Shahidi ulizungimza mambo ya ratiba ya kuonyesha mikutano ya kampeni.
*Shahidi* Ndio
*John Malya* Ulishawai kuapatiwa ratiba ya miutano ya vyama vya siasa.
*Shahidi* Ndio
*John Malya* Alikuwa anakupatia nani?
*Shahidi* Mkurugrnzi wa uchaguzi wa kinondono alikuwa akimapatia Kamanda wa Polisi Wilaya wa Kinondoni
*John malya* Wewe sio kamanda wa polisi Wilaya ya Kinondoni ni kweli sio kweli
*Shahidi* Kweli
*John Malya* Wewe ulipewa na nani barua ya kuonyesha mikutano ya vyama vya siasa
*John Malya* Kwahiyo shahidi mMkurugenzi alikuwa anampa Kamanda was Polisi was Wilaya na yeye anakupa wewe
*John Malya* Alikuwa anakupa kwa njia gani mlikuwa mnapeana kienyeji au kwenye kordo
*Shahidi* Taribu za jeshi nchi mzima huwa wanapata maelekezo kutoka wa Ma RPC.
*John Malya* Utaraatibu gani.
*Shahidi* Nakuambia kuwa sisi ndio Watendaji wakuu wa Jeshi la Polisi.
*Kadushi* Mhe Hakimu nilikuwa naomba wakili msomi John Malya ajielekeze kwenye maswali ya msingi.
*Hakimu* John Malya endelea
*John's Malya* Mhe Hakimu nisingependa Wakili Kadushi aniingilie bila utaratibu kama nimekosea kisheria hakimu utaniongoza.
*John Malya.* Shahidi hiyo barua imefikaje mikononi mwako.
*Shahidi* Kwenye vikao vya asubuhi vinaelekeza shughuli za siku mzima mim ndio nilikuwa nina jukumu la kufanyia kazi.
*John Malta* Nitakuonyesha Sheria ya uchaguzi na nitakulliza fact.
*John Mlaya* Kifungu cha 51 (5) cha Sheria ya Uchaguzi kila Mkuu wa Wilaya anawepa nakala ya Ratiba na Barua ya Kampeni za uchaguzi .
Kwa mujibu wa sheria hii hujavunja sheria kupewa barua hii RPC.
*Shahidi* Hapana sijavunja sheria yoyote.
*John Malya* Unafahamu vituo vya kupiga kula vilikuwa vingapi.
*Shahidi* Vilikuwa vingiisikumbuki idadi yake.
*John Malya* Vingi vingapi 200 au 100.
*Shahidi* Zaidi ya Hamsini.
*John Malya* Umesema unafahamu uwepo wa Mawakala unafahamu huyu wakala anayesimamia uchaguzi lazima awe na kiapo?
*Shahidi* Sijafahamu.
*Shahidia* Ili mtu atambulike kuwa ni wakala ni lazima awe na nin?
*Shahidi* Lazima atambuliwe na Mkurugenzi nwa Manispaa.
*John Malya* Mimi Wakala wa Salum Mwalimu ili Mkurugenzi anitambue mimi kuwa ni wakala inabidi Salum Mwalim anitambulishe kwa Mkurugenzi.
Sawa.
*Shahidi* Ndio
*John Malya* Utaratibu wa Mkurugenzi na Salum Mwalimu kuwatambulisha mawakala wake unaufahamu.
*Shahidi* Siufahamu.
*John Malya* Kwa hiyi hutambui kuwa Salum Mwalimu na Mkurugenzi waliambizana wakutane Jioni.
*John Malya* Ili uwe wakala uwe na sifa gani.
*Shahidi* Uwe na umri zaidi ya 18.
*John Malya* Unafahamu wakala wa Salum Mwalimu ni akina nani?
*Shahidi* Sijui
*John Malya* Unafahamu kuwa Mbowe alikuwa ni wakala.
*Shahidi* Sijui
*John Malya* Unafahamu kama mshitakiwa wa Pili Peter Msigwa alikuwa ni Wakala.
*Shahidi* Sifahamu .
*John Malya* Unafahamu mshitakiwa na tano ni Wakala wa Mwalimu.
*Shahidi* Sifahamu.
*John Malya* Kwa hiyo hufahamu kuwa hawa washtakiwa wote ni mawakala.
*Shahidi* Sifahamu.
*John malya* Ulijihusisha na Uchaguzi unafahamu barua za kuwatambulisha mawakala zinatoka lini.
*Shahidi* Sijui.
*John Malya* Kwa hiyo ratiba uliyokuwa nayo lakini kunusu mawakala hukujishughulisha.
*Shahidi* Ndio.
*John malya* Ulikuwa na ratiba ya kampeni za door kwa door ulikuwa nayo.
*Shahidi* Hapana.
*John Malya* Kama walikuwa wanavuka barabara ulijuaje kama walikuwa wanafanya kampeni za nyumba kwa nyumba.
*John Malya* Hapana hazifanyika barabarani.
*Shahidi* wapi.
*Shahidi* Nyumbani.
*John Malya* Ili ufike nyumbani unapita wapi.
*Shahidi* Barabarani.
*John Malya* Ulisema kwenye maandamano yale kuna waandamanaji walikuwa wanarusha chupa za maji unafahamu kuna mtu anaitwa Akwilina alikufa kwa sababu ya kupigwa chupa.
*Shahidi* Sijui.
*John malya* Unasema mliwakamata waandamaji 43 ni mwanaandamanaji gani alikutwa na bunduki.
*Shahidi* Hakuna.
*John Malya* Ulisema kuwa askari wako uliwaamuru warushe risasi hewani walitutumia silaha ya aina gani.
*Shahidi* Ak47.
*Johna Malya* Wakati ulipoamuru askari kupiga risasi uliwamuru waelekeze wapi risasi zao.
*Shahidi* Inaenda hewani.
*John Malya* Inaenda hewani inarudi wapi.
*Shahidi* Inarudi chini.
*John Malta* Ulikuwa unasimamia Operesheni ulikuwa unajua hizi risasi zinarejea kwenda chini zilikuwa zikienda upande gani.
*Shahidi* Ardhini.
*John malya* Upande gani maana nyie mulikuwa mkipiga kuangaliana wenyewe au waandamanaji.
*Shahido* Waandamaji.
*John Malya* AK47 ikitua inatua kwa umbali wa mita ngapi.
*Shahidi* Mita nyingi zaidi ya mia 500.
*John Malta* Kutoka kituo cha Bus Mkwajuni inakwenda mita 500 mbele.
*Shahidi* Hewani.
*John Malya* Zinaposhuka chini umbali gani ?
*Shahidi* Zinashuka umbali ulioruka.
*John Malta* Zinashuka mita 20 au zaidi whetever lakini zinashuka ambapo watu wapo.
*Shahidi* Ndio.
*John Malta* Ulisema hawa askari waliokuwa wanarusha walikuwa wangapi.
*Shahidi* Watano.
*John Malta* Walirusha risasi ngapi .
*Shahidi* Zaidi ya 90.
*John Malya* Kila askari anapiga kwa kadri anavyoelekezwa wengine tatu wengine nne lakini walipiga zaidi ya 90.
*Shahidi* Risasi zimepigwa zaidi ya 90 waandamanaji walikuwa zaidi ya 500
*JohnNmalya* hawa waandamani na hawa 43 hakuna aliyeangukiwa na risasi risasi ilimuuangukia nani.
*Shahidi* Risasi ikidondoka inakuwa haina madhara.
*John Malta* Risasi zilizodondoka zaidi ya 90 uliziokota tuzitumie kama ushahihidi.
*Shahidi* Kinachookotwa ni maganda sio risasi.
*John Malta* Tukimleta hapa shahidi aliyepepigwa risasi kwenye tukio hilo utasemaje.
*Shahidi* Mahakama itaamua.
*John Malta* Sababu ya wewe kuzuiya maandamano ni Ofisi za Mkurugenzi kufungwa nyengine ulisema kulikuwa na wagonjwa iambie Mahakama kulikuwa na wagonjwa wangapi.
*Shahidi* Sikuwa nahesabu wagonjwa.
*Johna Malta* Ulijuaje.
*Shahidi* Njia ile inatumika na amburance kulikuwa Ambernce 3 zilizuiwa na waandamanaji.
*John Malya* Wewe ulipoulizwa kuhusu Ester Matiko umesema hakuhusu mbona ulimkamata.
*Shahidi* Kwa sababu alikuwepo kwenye mkutano.
*John Malaya* Mshtakiwa watatu ulisema alikuwa hatembie alikuwa anaandamana unaandamanaje kwenye gari.
*Shahidi* Gari lilikuwa la wazi.
*John Mlaya* Mimi sitembei nipo kwenye gari naandamanaje.
**Shahidi* Nilisema mkutano huo ulikuwa haramu kwa hiyo mtu yyt kama aliluwa kwenye gari au kwa miguu ameandamana.
*John Malya* Ulisema kuwa mshaitakiwa 7 na 9 Halima Mdee na Bulaya umesema walikuwa wameandamana walivaaje.
*Shahidi* Ni muda mrefu umefika sikumbuki simtambui mtuhumiwa kwa mavazi namtambua mtumiwa kwa sura na siwezi kutambua nguao walizokuwa wamevaa kwa sababu wengine walivaa njano kama Mbunge wa Kibamba.
*John Malta* Unafahamu Mnyika alivaa nguo gani.
*Shahidi* nilivyokujibu nakujibu jumla.
*John Malta* Sitaki majibu ya jumla.
*Shahidi* Sikumbuki.
*John Malta* kuyataja majina ya walinzi wa Mbowe waliomtorosha.
*Shahidi* Siwezi kuyajua.
*John Malta* Ulijuaje kama walinzi wa Mbowe .
*Shahidi* Walikuwa karibu na Mbowe.
*John Malya* Heche alikuwa karibu na Mbowe naye Mlinzi wa Mbowe.
*Shahidi* Walikuwa mstari wa mbele wote.
*John Malta*Kwako wewe walinzi na wasaidi ni kitu kimoja.
*Shahidi* ni vitu viwili tofauti
*John Malta* Wilaya ya Kinondoni inamajimbo mangapi.
*Shahidi* Mawili.
*John malya* Mkoa wa Polisi wa Kinondoni una wilaya ngapi.
*Shahidi* Tano.
*John malya* Moja wapo wilaya ya Kinondoni .
*Shahidi* Ndio.
*John Malya* Ni sahihi kuwa kila wilaya ina OCD wake.
*Shahidi* Ndio.
*John Mlaya* Kila OCD anaongoza wilaya yake bila kuingiliwa na Wilaya nyengine
*Shahidi* Ndio.
*John Malya* Kwa hiyo Mkurugenzi wa Uchaguzi akimkopi RPC anawajibu wa kumpoki OCD wa Wilaya Nyengine.
*Shahidi* Ndio.
*John malya* Nikikwambaia Ratiba ya Kampeni iliyotumwa na Mkurugenzi kwenda kwa OCD wa Kinondo aliwaruhusu wafanye maandamano nitakuwa nimekosea
*Shahidi* Sio kweli.
*John Malya* Wewe ni OCD wa Kinondoni.
*Shahidi* Hapana.
*John malya* Shahidi unafahamu kwamba taratibu za uchaguzi kuna kamati inashughulika na migogoro ya kampeni.
*Shahidi* Sifahamu.
*John Malya* Kwenye mkutano wa Chadema ulisema watu walikuwa wangapi kwa makadirio yako.
*Shahidi* Mimi sikuwepo kwenye mkutano. Nilikagua na kuondoka.
*John Malta* Wakati unakagua.
*Shahidi* 200 na wengine wakiongozeka.
*John Malya* Wakati unakagua watu zaidi ya 200 ulipata nafasi ya kupanga hawa waondokeja.
*Shahidi* Sio kazi yangu.
*John Malya* Ni sahihi kwamba hawa watu ni wakazi wa Jimbo la Kinondoni.
*Shahidi* Sahihi.
*John Malta* Ulipata kufahamu hawa watu 200 wanakaa nyumbani.
*Shahidi* Sikuulizia.
*John Malta* Hawa watu 200 Wakati wanakuja ulijua wanatoka eneo gani na walifikaje pale.
*Shahidi* Watu wametembea wengine kwa pikipiki wengene magari kutegemea na umbali.
*John Malta* Hawa watu walikuja na miguu bajaji pikipiki, Wakitembea hawajakosea.
*Shahidi* Hawajakosea.
*John Malya* Wakipanda pikipiki.
*Shahidi* Hawajatembea.
*John Malya* Ushawahi kusimamia mtanange wa kwenye uwanja wa Mpira kiwanja cha Taifa simba na yanga.
*Shahidi* Sio wilaya yangu.
*John Malta* Umewahi kusimamia popote suala la kiusalama kwenye suala la michezo.
*Shahidi* Hapana.
*John Malta* Kwa uelewa wako mtu akisema leo simba itaichinja yanga wewe unaelewaje.
*Shahidi* Inategemea anazungumzia wapi.
*John Malya.* Uwanjani
*Shahidi* Inamaana wataifunga.
*John Malta* Wakisema kwenye uchaguzi Chadema wataichinja CCM.
*Shahidi* Inamaana wataishinda.
*John Malta* Umesema hujapata kuona vidoe yoyote iliyorekodi tukio hilo.
*Shahidi* Sahihi.
*John Malta* sahihi kwamba kwenye Video ya Maandamano yale aliyoyasema yeye ndio tutakayoyaona.
*Shahidi* Ndio.
*Mtobesya.* Hebe isaidie mahakama kwa ajili ya uelewe munavyoingia kazini munaweka sehemu gani kumbukumbu kuwa mmeingia kazini.
*Shahidi* Kitabu
*Mtobesya* Kinaitwaje.
*Shahidi* Station Diary.
*Mtobesya* Wakati unaongozwa na Nchimbi hakupata wasaa wakutoa hiko kitabu kuoneasha kuwa 16 Februari ulikuw kazni.
*Shahidi* Sikutoa.
*Mtobesya* Ulisema gari iliyokuwa inatoa ilani kwa waandamanaji uliwataja kina Mwalimu ulisema ni kama mita 100.
*Shahidi* Sikisema mita mia.
*Shahidi* Nilisema nilianza kutoa ilani nilipokuwa karibu yao na nilipowapita nikatoa Ilani nillikuwa mita 100.
*Mtobesya* Baada ya mita mia ukatoa ilani.
*Shahidi* Ndio nika2aface.
*Mtobesya* Unaweza kusema kwa
kwanza ilikuwa muda gani.
*Shahid* ilikuwa saa 11 kwenda 12 jioni.
*Mtobesya* Kwa ushahidi wako mita 100 unaweza kuona kinachoendelea muda huo.
*Shahidi* Ndio.
*Mtobesya* Unaujua umbali wa mita mia.
*Shahidi* Ndio.
*Shahidi* Kama uwanja mmoja wa mpira.
*Mtobesya* Kwa hapa tulipo kadiria
*Shahidi* Hapa hadi (korti) gatini.
*Mtobesya* Kwenye ushahidi wako ulisema katia ya hao watu 600 kutoka hapa hadi gati ungeweza kuwa ona sawasawa kwa umbali wa hapa hadi getini.
*Shahidi* Ndio
*Mtobesya* Kwa utabiri wa hali ya Hewa kwa siku hiyo Mawio kwa siku hiyo yaliwai kuingia nikisema hivyo nitakuwa sahihi.
*Shahidi* Nilichosema mm muda wa saa 11 hadi 12 mwanga unakuwepo.
*Mtobesya* Nitakuwa sahihi Siku hiyo giza lilianza kuingia saa 12 na robo kwa mujibu wa utabiri wa hali ya hewa.
*Shahidi* Sijui kama utakuwa sahihi.
wakati unaongozw Nchimbi ulisem ile njia inatumika na watu muhimu wakiwamo wagonjwa hakuna wakati ambao njia ile husimamishwa kwa dakika 45 hadi 30 ili wapite viongozi wa kiserikai.
*Shahidi* Upo.
*Mtobesya* Na ni barabara hiyo hiyo uliyosema kwenye maelezo yako.
*Shahidi* Ndio.
*Mtobesya* Hebu tusaidie wewe haukuwepo kwenye tukio, Kwa uwelewa wako wewe kusanyiko lisilo halili ni Maandamano.
*Shahidi* Sio kweli.
*Mtobesya* Mueleze Hakimu kwamba ni wakati gani kusanyiko lile lilikuwa sio halali.
*Shahidi* Wakati walipotoka Buibui waliambizana kwenda kwenye Ofisi za Mkurugenzi ndio walipoanza maandamano hayo.
*Mtobesya* Ulijuaje na hukuwepo eneo la tukio.
*Shahidi* Tulikuwa tunawasiliana kwenye simu na mawasiliana mengine ya kipolisi.
*Mtobesya* Ulitoa Printout yoyote mahakamani kuhusu mawasilianao yenu.
*Shahidi* Sikutoa.
*Mtobesya* Waandamanaji ulikutanan nao wapi .
*Shahidi* Eneo la Mkwaju.
*Mtobesya* Kwa hiyo kama hawa watu ulikutana nao ulijuaje kama wanakwenda hapo kutafuta usafiri kwenda kwao.
*Shahidi* Niliwasikia kutoka kwa askari wengine kuwa walikuwa wanakwenda Kwa Mkurugenzi.
*Mtobesya* Unajuaje kama watu hawa walibadilisha mawazo ya kupanda gari za kwenda makwao.
*Shahidi* Walipotoka kuna vituo vya daladala.
*Mtobesya* Wewe unajua wanaishi wapi mpaka wapande popote daladala.
*Shahidi* Sijui.
*Mwasipu* Ni sahihi kuwa hukuwepo Buibui.
*Shahidi* Sahihi
*Mwasiou* Ni sahihi kuwa taarifa za yaliyojiri Mkutano ilizitoa kwa mtu anayeitwa Dotto .
*Shahidi* Ni sahihi.
*Mwasipu* Ni kwamba maandamano uliyashuhudia yalikuwa njia panda kuja Mkwajuni.
*Shahidi* Mkwajuni ni sehemu nyengine.
*Mwasipu* Ni sahihi kwamba hukuwauliza washatakiwa walikuwa wakienda kwa Mkutugenzi kufanya nn.
*Shahidi* Niliwaamuru watawanyike.
*Mwasipu* Ni sahihi kwamba uliwatawanya waandamanaji na hadi sasa hivi hujui malengo ya washtakiwa kwenda kwa Mkurugenzi.
*Shahidi* Ni sahihi.
*Mwasipu* Ni sahihi kwa hukuwasiliana na Mkurugenzi tangu siku ya maandamano.
*Shahidi* Tunawasiliana.
*Mwasipu* Ulishawahi kuzungumza na Mkurugenzi juu ya Maandamano hayo.
*Shahidi* Sikuzungumza naye.
*Nwasipu* Ni sahihi kwa baada ya Mkutano kuisha watu wanatakiwa warudi nyumbani kwako hawatakiwi kubaki uwanjani.
*Shahidi* Sahihi.
*Mwasipu* Ni sahihi kwamba hufahamu makazi ya watu waliokuja kwenye viwanja Buibui.
*Shahidi* Ni sahihi.
*Mwasipu* Unafahamu nyumbani kwa washitakiwa.
*Shahidi* Sifahamu
*Mwasipu* Ni kosa au sio kosa waandamanaji wakiongoza zaidi ya mmoja.
*Shahidi* Watatu wanne watano sio kosa.
*Mwasipu* Kinachoharamisha mkutano ni sababu ya kusanyiko.
*Shahidi* Vyote sababu na kusanyiko.
*Mwasipu* Uhalali wa kuwatanya waandamanaji ni sahihi au sahihi.
*Shahidi* sijakuelewa.
*Shahidi* Uhalila nimeupata baada ya wao kugeuza mkutano uliokuwa halali kuwa maandamano.
*Mwasipu* Wakiongozana zaidi ya mmoja kwenda kwenye ofisi ya Mkurugenzi kwenda kuchukua hati ya kiapo kwa mkurugenzi ni halali au sio halali.
*Shahidi* Watu 10 halali.
*Prof Safari* Ndichi ulipokuwa unahojiwa na Kibatala ulisema kuwa Dotto ndiye aliyekupigia simu kukuambia kuwa Viongozi wa CHADEMA wamendamana.
*Shahidia* Ndio.
*Prof Safari* Ulisema kuwa sababu ya kuwazuiya ni Ofisi za Serikali zilikuwa zimefungwa
*Shahidi* Ndio.
*Prof Safari* Ulijuaje.
*Shahidi* Ninafahamu ikifika Saa 9 na nusu ofisi za Serikali zinafungwa.
*Prof Safari* Huo ni wakati wa Uchaguzi Ofisi zina kuwa wazi.
*Shahidi* Sio kweli.
*Prof Safari* Watu wanapozidi 12 kwa pamoja wanapotoka Point moja kwenda nyengine sio sahihi kwa sababu wanazuiya shughuli za uchumi.
Wewe ni mwanasheria.
*Shahidi* Ndio
*Prof Safari* Ni kweli Katiba inamtaka mtu kwenda anapotaka.
*Shahidi* Ndio.
*Prof Safari* Ulisema vituo vipo vingapi
*Shahidi* Zaidi 50.
*Prof Safari* Nikikuambia vilikuwa 161 nitakuwa sahihi.
*Shahidi* Sijui
*Prof Safari* Mtu anahaki ya kupiga kura au hana haki.
*Shahidi* Ana haki.
*Prof Safari* Unajua kuwa tarehe 10 Mwenzi huu Mahakama kuu ilipiga marufuku wakurugenzi kuhusika uchaguzi kwa sababu wanakuwa na upendeleo
*Shahidi* Nilisikia kwenye vyombo habari.
*Prof Safari* Kuna watu muliwaweka kwenye vituo vya polisi wakiwa na majeraha.
*Shahidi* Sio kweli.
*Prof Safari* Afande mambosasa aliongea na vyombo vya habari kuhusu akwilina
*Shahidi* sikumbuki
*Prof Safari* Umewahi kutoa maelezo popote kuhusiana na kesi kabla hujaja kutoa maelezo.
*Shahidi* Ndoo kuhusiana na watu 43.
*Prof Safari* Tunaweza kuyapata maelezo yako .
*Shahidi* Sijui mwendesha mashtaka.
*Prof Safari* Mheshimiwa tunaomba tuletewe maelezo yake aliyouatoa.
Tunaomba tuliletewa maelezo ya shahidi aliyoyatoa kabla ya kuja mahakamani.
Mabishano yalibuka juu ya Ombi la Profesa Safari la kutaka na Kadushi juu ya maelezo ya shahidi.
Hakimu Simba amesema kuwa ataacha upande wa Jamhuri uendelee na kumpitisha shahidi wao juu ya maswali aliyoulizwa na baada hilo .
Lakini Kadushi alidai kuwa suala hilo ni la kisheria na ni vema likabaki kwenye rekodi za mahakama lakini kifungu hiko kinatumika kwenye mahakama kuu eKesi na 112 ya Mwaka 2018 Mshtakiwa Freeman Mbowe na wenzake
Wakili wa Serikali Faraja Nchimbi, Paul Kadushi na
Wakati upande was utetezi unaongozwa na Wakili
Professa Safari. Dk Nshala, John Mallya, Jeremia Mtobesya, Hekima Mwasibu na Peter Kibatara
Kuendelea na kumuliza maswali shahidi wa Kwanza SSP Gerald Ngichi.
*Kibatala.* Mara ya mwisho wakati unatoa ushahidi wako ulisema kuna watoto na wazee walipotea mueleze hakimu jinsi wazee na watoto hawa walivyoonganishwa na familia zao ulisema chochote.
*Shahidi* Nilisema.
*Kibatala* Muambie hakimu waliunganisha kwa namna gani na familia zao.
*Shahidi* Baada ya kuripoti sisi tuliwapeleka kwenye vituo vya karibu na familia zao.
*Kibatala* Ulitaja majina ya hao ndugu.
*Shahidi* Sikutaja.
*Kibatala* Shahidi nilikusikia ukitoa ushahidi kuwa pale eneo la tukio walikamatwa watuhumiwa makundi mawili washtakiwa na pamoja na watu wengine ambao mimi nafikiri kuwa ni watuhumiwa ulisema chochote.
*Shahidi* Nilisema.
*Kibatara* Na hatua gani ilichukuliwa.
*Shahidi* Walipelekwa kituo cha Polisi cha Osterbay.
*Kibatara* Na baada ya hapo walisamehewa kwa hisani ya Polisi.
*Shahidi* Sifahamu
Upepelezi siufahamu.
*Kibatala* Wewe unawafahamu binafsi kilichowatokea hawa juu ya kufunguliwa kesi.
*Shahidi* Nafahamu.
*Kibatala* Ulisema chochote juu ya kufunguliwa kesi.
*Shahidi* Kesi ilifunguliwa Ost..
*Kibatala* Ulitaja majina yao.
*Shahidi* Hapana.
*Kibatala* Wakati unatoa ushahidi wako ulisema kuwa Mbowe alitimua mbio na kwamba hukuwahi kuona akitimua mbio namna ile na ulisema alidondosha miwani sahihi.
*Shahidi* Sahihi.
*Kibatala* miwani iko wapi.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Ni sahihi eidha wewe au askari wako walichukua mawani hiyo kama ushahidi.
*Shahidi* Alichukua mwenyewe.
*Kibatala* Kwa hiyo mtu alitim mbio za ajabu anaweza kuokota miwani bila kumtokea chochote.
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Ulisema chochote kuhusu mavazi.
*Shahidi* Sikusema.
*Kibatala* Kati ya washtakiwa hapa waliopo mbele ya Mahakama ni mshtakiwa gani alimkamata eneo la tukio au eneo lolote linalohusiana na tukio.
*Shahidi* Hakuna
*Kibatala* Wastakiwa hawa walikamatiwa wapi?
*Shahidi* Walikamatwa nyumbani.
*Shahidi* Ulisema unaskari wangapi.
*Shahidi* Mia Hamsini na zaidi.
*Kibatala* Lakini hakuna askari hata mmoja aliyemkata Mbowe.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Ni mtuhumiwa gani muliyemkata eneo la tukio.
*Shahidi* Hakuna.
*Kibatala* Mlirekodi ushahidi wowote .
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Wakati gani mliweza kurekodi wakati was mkutano au wakati was maandamano?
*Shahidi* Wote.
*Kibatala* Aliyerekodi nani?
*Shahidi* Maofisa wa Jeshi la Polisi.
*Kibatala* Anaitwa nani huyo ofisa.
*Shahidi* Sifahamu jina lake.
*Kibatala* Vifaa vya kurekodia vinatoka kwa amri ya nani kwenda kwenye matukio mbalimbali.
*Shahidi* Vifaa vinakuwa chini Mkuu wa Upelelezi.
*Kibatala* kamanda wa Polisi Wilaya Kinondoni alikuwa eneo la tukio
*Shahidi* Sifahamu ila timu zao zilikuwepo.
*Shahidi* Wao wenyewe walikuwa hawapo.
*Kibatala* Unaufahamu binafsi namna maofisa hawa walivyotoa vifaa vifaa hivi vya kurekodia.
*Shahidi* Sifahamu, wao ndio wanajua jinsi ya kutoa vifaa vya kazi.
*Kibatala* Wakati washtakiwa wanahojiwa ulikuwepo na unafahamu chochote juu ya kile walichihojiwa.
*Shahidi* Sikuwepo.
*Kibatala* Kwahiyo hufahamu walihojiwa nini?
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Je unafahamu kuwa Ester Matiko siku ya tukio alikuwa anafanya mkutano jimboni kwake na mkutano huo ulitolewa kibali na Jeshi la Polisi?
*Shahidi* siwezi kujua.
*Kibatala* Kwahiyo Jeshi la Polisi huwa hmuwasiliani.
*Kibatala* Unafahamu kuwa Msigwa mara tu baada ya Mkutano kuisha alianza safari ya kwenda Iringa.
*Shahidia* Ninafahamu kuwa hakuondoka ndio maana alikuwepo kwenye maandamano.
*Kibatala* Unasema pia Freeman Mbowe aliondolewa kwenye Mkutano na walinzi wake.
*Shahidi* Ndio
*Kibatala* unawajua walinzi wa Mbowe.
*Shahidi* Siwafahamu.
*Kibatala* Sasa umewezaje kuwatambua kuwa ni walinzi wa mbowe.
*Shahidi* Walikuwa wakimsaidia
*Kibatala* Kwahiyo kila anayemsaidia Mbowe ni mlinzi wake.
*Shahidi* Mbowe kwa maoni yangu mimi walichokifanya walinzi wa Mbowe pia ni kosa la Jinai
*Kibatala* mwambie Hakimu kama muliwakamata.
*Kibatala* Nilishakueleza kuwa watuhumiwa walipelekwa Polisi.
*Kibatala* Hao walinzi uliwakamata.
*Shahidi* Nilishajibu kati ya hao watu 43 niliwakamata kama walikuwemo niliwakamata.
*Kibatala* Walinzi wa Mbowe nao walikuwa wanandamana au
*Kibatala* Katika shitaka la Kwanza watuhumiwa walikula njama kufanya kosa la kusanyiko kinyume na sheria mueleze Hakimu walikutana wapi.
*Shahidi* Sijui walipokutana.
*Kibatala* Shitaka la Pili walifanya kosanyika lisilo halali kuanzia uwanja wa Buibui. Nataka kujua walipokuwepo Buibui walikuwa kisheria.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Muambia Hakimu kwamba uwepo wa Watuhumiwa buibui kama walikuwa sawa kisheria.
*Shahidi* Walikuwa sawa kisheria kwa sababu walikuwa wafunga kampeni.
*Kibatala* Shitaka la Nne ni hapa napozungumza kiongozi wa Hananasifu yupo Moncharwi ni kweli wakati anahutubia maneno hayo kulikuwa na Kiongizi alikuwa Monchwari.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Alifikaje hapo Monchwari.
*Shahidi* Maiti huwa anahifadhiwa Monchwari kusubiri maziko au upelelezi.
*Kibatala* Nini chanzo cha kifo chake.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Alinyongwa na kuuawa.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Mbowe alisema halafu siye tunaona kawaida.Kunyongwa hadi kuuawa ni jambo kawaida ulikuwa unajua anamaanisha nini?
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Amenukuliwa Mhe Mbowe kwenye hati ya mashtaka alisema kimempata marehemu halafu Tunacheka na Polisi uliweza kufahamu alikuwa akilenga nini?
*Shahidi* Sifahamu alikuwa anamaanisha mini.
*Kibatala* Bila shaka pia ufahamu aliposema tunacheka na CCM alimaanisha nini?
*Shahidi* Sifahamu.
*Kibatala* Haya maneno uliyasikia binafsi au kuna mtu alikusimulia.
*Shahidia* Sijayasikia
*Kibatala* Shitaka la Sita linasema kuwa alifanya uchochezi wa Uasi. Tumejipa kibali cha kutangulia mbele ya haki wewe unafahamu alilenga ninu hapa?
*Shahidi* Kutangulia mbele ya haki ni kufa.
*Kibatala* Kwani mwisho wa siku Mbowe atakufa au hafi..
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Maneno mengine amesema kuwa haiwezekani wanaume wazima kama sisi tufanywe mandondocha kwani kuna tatizo gani kwenye maneno haya Mwanaume mwenye watoto wake na mke kukataa kufanywa ndondocha?
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Mimi nipo hapa kuliandaa taifa kunatatizo ganu Mbowe kuliandaa taifa.
*Shahidi* Inategemea kwa namna gani anataka kulianda taifa.
*Kibatala* Mbowe alisikia akisema Juzi Jacob Zuma alilazimishwa kujiuzulu ni kweli Zuma alilazimisha kujiuzulu.
*Shahidi* Sifahamu
*Kibatala* Mbowe aliendelea kusikaka akisema Mugabe Kang'olewa ni kweli Mugabe Kang'olewa.
*Shahidi* Sifahamu
*Kibatala* Mbowe aliendelea kusikia akisema Waziri Mkuu wa Ephionian aliondolewa kwa people's Power ni kweli aliondolewa kwa People's Power.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Alisema Rais Magufuli ni Mwepesi kama Karatasi wewe unaufahamu uzito wa Magufuli?
*Shahidi* Magufuli ni nani sijakuelewa.
*Kibatala* Magufuli aliyeandikwa kwenye hati ya Mashtaka.
*Shahidi* Simjui
*Kibatala* Anamfahamu aliyeandika hati ya mashtaka.
*Kibatala* Shitaka la saba Mdee alichochea uasi alisema sihitaju kuelezea madhira yanayowakuta wenzetu, Unayafahamu hayo madhira.
*Shahidi* Mimi sikuwepo wakati anazungumza hayo maneno.
*Kibatala* Kuna maneno mengine kwamba kesho tukamchinje Magufuli na vibaraka wake wote ulifanikiwa kufahamu kuwa kumchinja kwa maana ya kimshinda kwenye uchaguzi.
*Shahidi* Sijamsikia.
*Kibatala* Shitaka la nane Heche ni sahihi kuwa tarehe 17 Februali 2018 kuwa kulikuwa na zoezi uchaguzi jimbo la Kinondoni.
*Shahidi* .........
*Kibatala* Jibu shahidi.
*Shahidi* Hiyo siku inayofuata baada ya Kampeni ni siku ya uchaguzi.
*Kibatala* Heche alisema Kesho patachimbika upumbavu uliofanya kwenye nchini hii sasa unatosha wewe unafahamu kuwa alimanisha kuitoa out CCM.
*Shahidia* Siijui maana sikuwepo.
*Kibatala* Hili suala kuwa watu wanapotea ni kweli au sio kweli, Ni kweli kwamba kuna watu wanapotea na Jeshi la Polisi halijui walipo.
*Shahidi* Watu wanaopotea wanaripotiwa Polisi.
*Kibatala* Kuna Mwandishi wa Habari amepotea anaitwa Azory Gwanda unafahamu alipo?
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Kuna Mtu anaitwa Ben Saanene unafahamu alipo na nini kimemtokea.
*Shahidi* Hapana.
*Kibatala* Kama wewe hujui hawa watu wawili wamepotea, Mbowe akisema kuna watu wamepotea. kisheria tatizo liko wapi?
*Hakimu* Kibatala unauliza swali la ufahamu kisheria au naomba ufafanue swali lako.
*Kibatala* Shahidi narudia swali Mbowe amesema kuna watu wamepotea je kipolisi kosa lipo wapi kama kweli kuna watu wamepotea na Jeshi la Polisi halijawai kusema chochote.
*Shahidi* Sifahumu
*Kibatala* Kama imeripotiwa , Watu wanauwa na wanaokotwa kwenye mitaro ni kweli kwamba watu wanauwa wanaokotwa kwenye mitaro.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Shahidi Mshtakiwa kwanza alisema nitaongoza mapambano najua watu wataao kufa watalea haki kwenye nchi hii ni kweli ulisikia mshatiwa wa kwanza alisema mameno hayo
*Shahidi* Sikuskia
*Kibatala* Shtaka la 11 Mh freeman mbowe aluwachochea wakazi wa kinondoni je unawajua kwa majina hao wakazi.
*Shahidi* Siwafahamu hao wakazi kwa kuwa sikuwepo aliposema.
*Kibatala* Shahidi shtala 12 linamuhusu Peter Msigwa
Mshtakiwa aliwachochea wakazi wa kinonondoni wabebe sila ulisikua kisema maneno hayo
*Shahidia* Sikuwepo
*Kibatala* Shtaka la 13 linamuhusu Ester Bulaya
Aliwachochea wananchi wa kinondoni kujilinda ili kupatikana kwa haki ulimsikia
*Shahidi* Sikumsikia
*Kibatala* Shahidi ni nani sasa hasa alisikia hayo maneno
*Shahidi* Maafisa ya jeshi la polisi waliokuwa wakisimamia mkutano wa kufunga kampeni
*Kibatala* Wakati nakuuliza awali kuhusiano na uchukuaji wa video ulionyesha kutokuwa na ufahamu binafsi na lakini ulipokuwa kawawa road ulipokuwepo uliwai kuonyeshwa video iliyochukuliwa kawawa road
*Shahidi* Siitaji kukujibu
*Hakimu* Jibu
*Shahidi* sikuonyeshwa
Peter kibatala Ni hayo tu shahidi
*Prof Safari.* Napenda kuitaarifu mahakama kuwa wakili Mtobesya amejiunga na sisi
*Wakili John Malya* Shahidi nina maswali machache sana naomba ujibu kwa sauti kama ulivyokuwa unajibu awali
*Kibatala* Shahidi umezaliwa mwaka gani
*Shahidi* Nimezaliwa mwaka 1972
*John Malya* Unamiaka mingapi.
*Shahidi* Miaka 47.
*John Malya* Wakati unajiunga na Jeshi la Polisi ulikuwa na Miaka mingapi, 2000.
*John Malya* Au nikusaidie.
*Shahidi* Miaka 28
*Shahidi* 28 ulikuwa na Degreee ya Kozi gani.
Sheria.
*John Malya* Ulianza mwaka gani.
1996.
*John Malya* Kwa mujibu wa PGO ni sahihi kwamba mtu akiwa na miaka 28 haruhusiwi kujiunga na jeshi la Polisi.
*Shahidi* Sio kweli
*Mheshimiwa* hakimu tujiepushe na maneno ya kumuondolea mtu heshima.
*John Malya* Kiwango cha Mwisho cha Umri kujiunga na Polisi.
*Shahidi* Inategemea na Elimu.
*John Malya* Mimi nina miaka 31 nina degree ya Sheria naruhusiwa kujiunga na Jeshi la Polisi.
*Shahidi* Ndio.
*John Malya* Kesi unayoitolea ushahidi unahusiana na maswala ya uchaguzi nyinyi kama wadau mlipewa elimu juu ya usimamizi wa uchaguzi.
*Shahidi* Ndio
*Shahidi* Mimi natolea ushahidi ya maandamano yasiyo halali
*John Malya* Lakini inatokana na uchaguzi ni kweli si kweli
*Shahidi* Kweli
*Johna Malya* Mlipewa mafunzao ya kuoata mafunzo mahususi juu ya usimamizi wa uchaguzi.
*Shahidi* Jeshi la polisi linamafunzao ya kusimamia chaguzi mablimabali ndogo na kubwa.
*John Malya* Uchaguzi wa kinondoni mlipewa mafunzo.
*John Malya* Shahidi unaweza kutuambia ni sheria zipi unazijua katika kusomamia uchaguzi
*Shahidi* Sheria ya uchaguzi, sheria jeshi la Polisi na sheria ya Makosa ya jinai
*John Malya* Shahidi ulizungimza mambo ya ratiba ya kuonyesha mikutano ya kampeni.
*Shahidi* Ndio
*John Malya* Ulishawai kuapatiwa ratiba ya miutano ya vyama vya siasa.
*Shahidi* Ndio
*John Malya* Alikuwa anakupatia nani?
*Shahidi* Mkurugrnzi wa uchaguzi wa kinondono alikuwa akimapatia Kamanda wa Polisi Wilaya wa Kinondoni
*John malya* Wewe sio kamanda wa polisi Wilaya ya Kinondoni ni kweli sio kweli
*Shahidi* Kweli
*John Malya* Wewe ulipewa na nani barua ya kuonyesha mikutano ya vyama vya siasa
*John Malya* Kwahiyo shahidi mMkurugenzi alikuwa anampa Kamanda was Polisi was Wilaya na yeye anakupa wewe
*John Malya* Alikuwa anakupa kwa njia gani mlikuwa mnapeana kienyeji au kwenye kordo
*Shahidi* Taribu za jeshi nchi mzima huwa wanapata maelekezo kutoka wa Ma RPC.
*John Malya* Utaraatibu gani.
*Shahidi* Nakuambia kuwa sisi ndio Watendaji wakuu wa Jeshi la Polisi.
*Kadushi* Mhe Hakimu nilikuwa naomba wakili msomi John Malya ajielekeze kwenye maswali ya msingi.
*Hakimu* John Malya endelea
*John's Malya* Mhe Hakimu nisingependa Wakili Kadushi aniingilie bila utaratibu kama nimekosea kisheria hakimu utaniongoza.
*John Malya.* Shahidi hiyo barua imefikaje mikononi mwako.
*Shahidi* Kwenye vikao vya asubuhi vinaelekeza shughuli za siku mzima mim ndio nilikuwa nina jukumu la kufanyia kazi.
*John Malta* Nitakuonyesha Sheria ya uchaguzi na nitakulliza fact.
*John Mlaya* Kifungu cha 51 (5) cha Sheria ya Uchaguzi kila Mkuu wa Wilaya anawepa nakala ya Ratiba na Barua ya Kampeni za uchaguzi .
Kwa mujibu wa sheria hii hujavunja sheria kupewa barua hii RPC.
*Shahidi* Hapana sijavunja sheria yoyote.
*John Malya* Unafahamu vituo vya kupiga kula vilikuwa vingapi.
*Shahidi* Vilikuwa vingiisikumbuki idadi yake.
*John Malya* Vingi vingapi 200 au 100.
*Shahidi* Zaidi ya Hamsini.
*John Malya* Umesema unafahamu uwepo wa Mawakala unafahamu huyu wakala anayesimamia uchaguzi lazima awe na kiapo?
*Shahidi* Sijafahamu.
*Shahidia* Ili mtu atambulike kuwa ni wakala ni lazima awe na nin?
*Shahidi* Lazima atambuliwe na Mkurugenzi nwa Manispaa.
*John Malya* Mimi Wakala wa Salum Mwalimu ili Mkurugenzi anitambue mimi kuwa ni wakala inabidi Salum Mwalim anitambulishe kwa Mkurugenzi.
Sawa.
*Shahidi* Ndio
*John Malya* Utaratibu wa Mkurugenzi na Salum Mwalimu kuwatambulisha mawakala wake unaufahamu.
*Shahidi* Siufahamu.
*John Malya* Kwa hiyi hutambui kuwa Salum Mwalimu na Mkurugenzi waliambizana wakutane Jioni.
*John Malya* Ili uwe wakala uwe na sifa gani.
*Shahidi* Uwe na umri zaidi ya 18.
*John Malya* Unafahamu wakala wa Salum Mwalimu ni akina nani?
*Shahidi* Sijui
*John Malya* Unafahamu kuwa Mbowe alikuwa ni wakala.
*Shahidi* Sijui
*John Malya* Unafahamu kama mshitakiwa wa Pili Peter Msigwa alikuwa ni Wakala.
*Shahidi* Sifahamu .
*John Malya* Unafahamu mshitakiwa na tano ni Wakala wa Mwalimu.
*Shahidi* Sifahamu.
*John Malya* Kwa hiyo hufahamu kuwa hawa washtakiwa wote ni mawakala.
*Shahidi* Sifahamu.
*John malya* Ulijihusisha na Uchaguzi unafahamu barua za kuwatambulisha mawakala zinatoka lini.
*Shahidi* Sijui.
*John Malya* Kwa hiyo ratiba uliyokuwa nayo lakini kunusu mawakala hukujishughulisha.
*Shahidi* Ndio.
*John malya* Ulikuwa na ratiba ya kampeni za door kwa door ulikuwa nayo.
*Shahidi* Hapana.
*John Malya* Kama walikuwa wanavuka barabara ulijuaje kama walikuwa wanafanya kampeni za nyumba kwa nyumba.
*John Malya* Hapana hazifanyika barabarani.
*Shahidi* wapi.
*Shahidi* Nyumbani.
*John Malya* Ili ufike nyumbani unapita wapi.
*Shahidi* Barabarani.
*John Malya* Ulisema kwenye maandamano yale kuna waandamanaji walikuwa wanarusha chupa za maji unafahamu kuna mtu anaitwa Akwilina alikufa kwa sababu ya kupigwa chupa.
*Shahidi* Sijui.
*John malya* Unasema mliwakamata waandamaji 43 ni mwanaandamanaji gani alikutwa na bunduki.
*Shahidi* Hakuna.
*John Malya* Ulisema kuwa askari wako uliwaamuru warushe risasi hewani walitutumia silaha ya aina gani.
*Shahidi* Ak47.
*Johna Malya* Wakati ulipoamuru askari kupiga risasi uliwamuru waelekeze wapi risasi zao.
*Shahidi* Inaenda hewani.
*John Malya* Inaenda hewani inarudi wapi.
*Shahidi* Inarudi chini.
*John Malta* Ulikuwa unasimamia Operesheni ulikuwa unajua hizi risasi zinarejea kwenda chini zilikuwa zikienda upande gani.
*Shahidi* Ardhini.
*John malya* Upande gani maana nyie mulikuwa mkipiga kuangaliana wenyewe au waandamanaji.
*Shahido* Waandamaji.
*John Malya* AK47 ikitua inatua kwa umbali wa mita ngapi.
*Shahidi* Mita nyingi zaidi ya mia 500.
*John Malta* Kutoka kituo cha Bus Mkwajuni inakwenda mita 500 mbele.
*Shahidi* Hewani.
*John Malya* Zinaposhuka chini umbali gani ?
*Shahidi* Zinashuka umbali ulioruka.
*John Malta* Zinashuka mita 20 au zaidi whetever lakini zinashuka ambapo watu wapo.
*Shahidi* Ndio.
*John Malta* Ulisema hawa askari waliokuwa wanarusha walikuwa wangapi.
*Shahidi* Watano.
*John Malta* Walirusha risasi ngapi .
*Shahidi* Zaidi ya 90.
*John Malya* Kila askari anapiga kwa kadri anavyoelekezwa wengine tatu wengine nne lakini walipiga zaidi ya 90.
*Shahidi* Risasi zimepigwa zaidi ya 90 waandamanaji walikuwa zaidi ya 500
*JohnNmalya* hawa waandamani na hawa 43 hakuna aliyeangukiwa na risasi risasi ilimuuangukia nani.
*Shahidi* Risasi ikidondoka inakuwa haina madhara.
*John Malta* Risasi zilizodondoka zaidi ya 90 uliziokota tuzitumie kama ushahihidi.
*Shahidi* Kinachookotwa ni maganda sio risasi.
*John Malta* Tukimleta hapa shahidi aliyepepigwa risasi kwenye tukio hilo utasemaje.
*Shahidi* Mahakama itaamua.
*John Malta* Sababu ya wewe kuzuiya maandamano ni Ofisi za Mkurugenzi kufungwa nyengine ulisema kulikuwa na wagonjwa iambie Mahakama kulikuwa na wagonjwa wangapi.
*Shahidi* Sikuwa nahesabu wagonjwa.
*Johna Malta* Ulijuaje.
*Shahidi* Njia ile inatumika na amburance kulikuwa Ambernce 3 zilizuiwa na waandamanaji.
*John Malya* Wewe ulipoulizwa kuhusu Ester Matiko umesema hakuhusu mbona ulimkamata.
*Shahidi* Kwa sababu alikuwepo kwenye mkutano.
*John Malaya* Mshtakiwa watatu ulisema alikuwa hatembie alikuwa anaandamana unaandamanaje kwenye gari.
*Shahidi* Gari lilikuwa la wazi.
*John Mlaya* Mimi sitembei nipo kwenye gari naandamanaje.
**Shahidi* Nilisema mkutano huo ulikuwa haramu kwa hiyo mtu yyt kama aliluwa kwenye gari au kwa miguu ameandamana.
*John Malya* Ulisema kuwa mshaitakiwa 7 na 9 Halima Mdee na Bulaya umesema walikuwa wameandamana walivaaje.
*Shahidi* Ni muda mrefu umefika sikumbuki simtambui mtuhumiwa kwa mavazi namtambua mtumiwa kwa sura na siwezi kutambua nguao walizokuwa wamevaa kwa sababu wengine walivaa njano kama Mbunge wa Kibamba.
*John Malta* Unafahamu Mnyika alivaa nguo gani.
*Shahidi* nilivyokujibu nakujibu jumla.
*John Malta* Sitaki majibu ya jumla.
*Shahidi* Sikumbuki.
*John Malta* kuyataja majina ya walinzi wa Mbowe waliomtorosha.
*Shahidi* Siwezi kuyajua.
*John Malta* Ulijuaje kama walinzi wa Mbowe .
*Shahidi* Walikuwa karibu na Mbowe.
*John Malya* Heche alikuwa karibu na Mbowe naye Mlinzi wa Mbowe.
*Shahidi* Walikuwa mstari wa mbele wote.
*John Malta*Kwako wewe walinzi na wasaidi ni kitu kimoja.
*Shahidi* ni vitu viwili tofauti
*John Malta* Wilaya ya Kinondoni inamajimbo mangapi.
*Shahidi* Mawili.
*John malya* Mkoa wa Polisi wa Kinondoni una wilaya ngapi.
*Shahidi* Tano.
*John malya* Moja wapo wilaya ya Kinondoni .
*Shahidi* Ndio.
*John Malya* Ni sahihi kuwa kila wilaya ina OCD wake.
*Shahidi* Ndio.
*John Mlaya* Kila OCD anaongoza wilaya yake bila kuingiliwa na Wilaya nyengine
*Shahidi* Ndio.
*John Malya* Kwa hiyo Mkurugenzi wa Uchaguzi akimkopi RPC anawajibu wa kumpoki OCD wa Wilaya Nyengine.
*Shahidi* Ndio.
*John malya* Nikikwambaia Ratiba ya Kampeni iliyotumwa na Mkurugenzi kwenda kwa OCD wa Kinondo aliwaruhusu wafanye maandamano nitakuwa nimekosea
*Shahidi* Sio kweli.
*John Malya* Wewe ni OCD wa Kinondoni.
*Shahidi* Hapana.
*John malya* Shahidi unafahamu kwamba taratibu za uchaguzi kuna kamati inashughulika na migogoro ya kampeni.
*Shahidi* Sifahamu.
*John Malya* Kwenye mkutano wa Chadema ulisema watu walikuwa wangapi kwa makadirio yako.
*Shahidi* Mimi sikuwepo kwenye mkutano. Nilikagua na kuondoka.
*John Malta* Wakati unakagua.
*Shahidi* 200 na wengine wakiongozeka.
*John Malya* Wakati unakagua watu zaidi ya 200 ulipata nafasi ya kupanga hawa waondokeja.
*Shahidi* Sio kazi yangu.
*John Malya* Ni sahihi kwamba hawa watu ni wakazi wa Jimbo la Kinondoni.
*Shahidi* Sahihi.
*John Malta* Ulipata kufahamu hawa watu 200 wanakaa nyumbani.
*Shahidi* Sikuulizia.
*John Malta* Hawa watu 200 Wakati wanakuja ulijua wanatoka eneo gani na walifikaje pale.
*Shahidi* Watu wametembea wengine kwa pikipiki wengene magari kutegemea na umbali.
*John Malta* Hawa watu walikuja na miguu bajaji pikipiki, Wakitembea hawajakosea.
*Shahidi* Hawajakosea.
*John Malya* Wakipanda pikipiki.
*Shahidi* Hawajatembea.
*John Malya* Ushawahi kusimamia mtanange wa kwenye uwanja wa Mpira kiwanja cha Taifa simba na yanga.
*Shahidi* Sio wilaya yangu.
*John Malta* Umewahi kusimamia popote suala la kiusalama kwenye suala la michezo.
*Shahidi* Hapana.
*John Malta* Kwa uelewa wako mtu akisema leo simba itaichinja yanga wewe unaelewaje.
*Shahidi* Inategemea anazungumzia wapi.
*John Malya.* Uwanjani
*Shahidi* Inamaana wataifunga.
*John Malta* Wakisema kwenye uchaguzi Chadema wataichinja CCM.
*Shahidi* Inamaana wataishinda.
*John Malta* Umesema hujapata kuona vidoe yoyote iliyorekodi tukio hilo.
*Shahidi* Sahihi.
*John Malta* sahihi kwamba kwenye Video ya Maandamano yale aliyoyasema yeye ndio tutakayoyaona.
*Shahidi* Ndio.
*Mtobesya.* Hebe isaidie mahakama kwa ajili ya uelewe munavyoingia kazini munaweka sehemu gani kumbukumbu kuwa mmeingia kazini.
*Shahidi* Kitabu
*Mtobesya* Kinaitwaje.
*Shahidi* Station Diary.
*Mtobesya* Wakati unaongozwa na Nchimbi hakupata wasaa wakutoa hiko kitabu kuoneasha kuwa 16 Februari ulikuw kazni.
*Shahidi* Sikutoa.
*Mtobesya* Ulisema gari iliyokuwa inatoa ilani kwa waandamanaji uliwataja kina Mwalimu ulisema ni kama mita 100.
*Shahidi* Sikisema mita mia.
*Shahidi* Nilisema nilianza kutoa ilani nilipokuwa karibu yao na nilipowapita nikatoa Ilani nillikuwa mita 100.
*Mtobesya* Baada ya mita mia ukatoa ilani.
*Shahidi* Ndio nika2aface.
*Mtobesya* Unaweza kusema kwa
kwanza ilikuwa muda gani.
*Shahid* ilikuwa saa 11 kwenda 12 jioni.
*Mtobesya* Kwa ushahidi wako mita 100 unaweza kuona kinachoendelea muda huo.
*Shahidi* Ndio.
*Mtobesya* Unaujua umbali wa mita mia.
*Shahidi* Ndio.
*Shahidi* Kama uwanja mmoja wa mpira.
*Mtobesya* Kwa hapa tulipo kadiria
*Shahidi* Hapa hadi (korti) gatini.
*Mtobesya* Kwenye ushahidi wako ulisema katia ya hao watu 600 kutoka hapa hadi gati ungeweza kuwa ona sawasawa kwa umbali wa hapa hadi getini.
*Shahidi* Ndio
*Mtobesya* Kwa utabiri wa hali ya Hewa kwa siku hiyo Mawio kwa siku hiyo yaliwai kuingia nikisema hivyo nitakuwa sahihi.
*Shahidi* Nilichosema mm muda wa saa 11 hadi 12 mwanga unakuwepo.
*Mtobesya* Nitakuwa sahihi Siku hiyo giza lilianza kuingia saa 12 na robo kwa mujibu wa utabiri wa hali ya hewa.
*Shahidi* Sijui kama utakuwa sahihi.
wakati unaongozw Nchimbi ulisem ile njia inatumika na watu muhimu wakiwamo wagonjwa hakuna wakati ambao njia ile husimamishwa kwa dakika 45 hadi 30 ili wapite viongozi wa kiserikai.
*Shahidi* Upo.
*Mtobesya* Na ni barabara hiyo hiyo uliyosema kwenye maelezo yako.
*Shahidi* Ndio.
*Mtobesya* Hebu tusaidie wewe haukuwepo kwenye tukio, Kwa uwelewa wako wewe kusanyiko lisilo halili ni Maandamano.
*Shahidi* Sio kweli.
*Mtobesya* Mueleze Hakimu kwamba ni wakati gani kusanyiko lile lilikuwa sio halali.
*Shahidi* Wakati walipotoka Buibui waliambizana kwenda kwenye Ofisi za Mkurugenzi ndio walipoanza maandamano hayo.
*Mtobesya* Ulijuaje na hukuwepo eneo la tukio.
*Shahidi* Tulikuwa tunawasiliana kwenye simu na mawasiliana mengine ya kipolisi.
*Mtobesya* Ulitoa Printout yoyote mahakamani kuhusu mawasilianao yenu.
*Shahidi* Sikutoa.
*Mtobesya* Waandamanaji ulikutanan nao wapi .
*Shahidi* Eneo la Mkwaju.
*Mtobesya* Kwa hiyo kama hawa watu ulikutana nao ulijuaje kama wanakwenda hapo kutafuta usafiri kwenda kwao.
*Shahidi* Niliwasikia kutoka kwa askari wengine kuwa walikuwa wanakwenda Kwa Mkurugenzi.
*Mtobesya* Unajuaje kama watu hawa walibadilisha mawazo ya kupanda gari za kwenda makwao.
*Shahidi* Walipotoka kuna vituo vya daladala.
*Mtobesya* Wewe unajua wanaishi wapi mpaka wapande popote daladala.
*Shahidi* Sijui.
*Mwasipu* Ni sahihi kuwa hukuwepo Buibui.
*Shahidi* Sahihi
*Mwasiou* Ni sahihi kuwa taarifa za yaliyojiri Mkutano ilizitoa kwa mtu anayeitwa Dotto .
*Shahidi* Ni sahihi.
*Mwasipu* Ni kwamba maandamano uliyashuhudia yalikuwa njia panda kuja Mkwajuni.
*Shahidi* Mkwajuni ni sehemu nyengine.
*Mwasipu* Ni sahihi kwamba hukuwauliza washatakiwa walikuwa wakienda kwa Mkutugenzi kufanya nn.
*Shahidi* Niliwaamuru watawanyike.
*Mwasipu* Ni sahihi kwamba uliwatawanya waandamanaji na hadi sasa hivi hujui malengo ya washtakiwa kwenda kwa Mkurugenzi.
*Shahidi* Ni sahihi.
*Mwasipu* Ni sahihi kwa hukuwasiliana na Mkurugenzi tangu siku ya maandamano.
*Shahidi* Tunawasiliana.
*Mwasipu* Ulishawahi kuzungumza na Mkurugenzi juu ya Maandamano hayo.
*Shahidi* Sikuzungumza naye.
*Nwasipu* Ni sahihi kwa baada ya Mkutano kuisha watu wanatakiwa warudi nyumbani kwako hawatakiwi kubaki uwanjani.
*Shahidi* Sahihi.
*Mwasipu* Ni sahihi kwamba hufahamu makazi ya watu waliokuja kwenye viwanja Buibui.
*Shahidi* Ni sahihi.
*Mwasipu* Unafahamu nyumbani kwa washitakiwa.
*Shahidi* Sifahamu
*Mwasipu* Ni kosa au sio kosa waandamanaji wakiongoza zaidi ya mmoja.
*Shahidi* Watatu wanne watano sio kosa.
*Mwasipu* Kinachoharamisha mkutano ni sababu ya kusanyiko.
*Shahidi* Vyote sababu na kusanyiko.
*Mwasipu* Uhalali wa kuwatanya waandamanaji ni sahihi au sahihi.
*Shahidi* sijakuelewa.
*Shahidi* Uhalila nimeupata baada ya wao kugeuza mkutano uliokuwa halali kuwa maandamano.
*Mwasipu* Wakiongozana zaidi ya mmoja kwenda kwenye ofisi ya Mkurugenzi kwenda kuchukua hati ya kiapo kwa mkurugenzi ni halali au sio halali.
*Shahidi* Watu 10 halali.
*Prof Safari* Ndichi ulipokuwa unahojiwa na Kibatala ulisema kuwa Dotto ndiye aliyekupigia simu kukuambia kuwa Viongozi wa CHADEMA wamendamana.
*Shahidia* Ndio.
*Prof Safari* Ulisema kuwa sababu ya kuwazuiya ni Ofisi za Serikali zilikuwa zimefungwa
*Shahidi* Ndio.
*Prof Safari* Ulijuaje.
*Shahidi* Ninafahamu ikifika Saa 9 na nusu ofisi za Serikali zinafungwa.
*Prof Safari* Huo ni wakati wa Uchaguzi Ofisi zina kuwa wazi.
*Shahidi* Sio kweli.
*Prof Safari* Watu wanapozidi 12 kwa pamoja wanapotoka Point moja kwenda nyengine sio sahihi kwa sababu wanazuiya shughuli za uchumi.
Wewe ni mwanasheria.
*Shahidi* Ndio
*Prof Safari* Ni kweli Katiba inamtaka mtu kwenda anapotaka.
*Shahidi* Ndio.
*Prof Safari* Ulisema vituo vipo vingapi
*Shahidi* Zaidi 50.
*Prof Safari* Nikikuambia vilikuwa 161 nitakuwa sahihi.
*Shahidi* Sijui
*Prof Safari* Mtu anahaki ya kupiga kura au hana haki.
*Shahidi* Ana haki.
*Prof Safari* Unajua kuwa tarehe 10 Mwenzi huu Mahakama kuu ilipiga marufuku wakurugenzi kuhusika uchaguzi kwa sababu wanakuwa na upendeleo
*Shahidi* Nilisikia kwenye vyombo habari.
*Prof Safari* Kuna watu muliwaweka kwenye vituo vya polisi wakiwa na majeraha.
*Shahidi* Sio kweli.
*Prof Safari* Afande mambosasa aliongea na vyombo vya habari kuhusu akwilina
*Shahidi* sikumbuki
*Prof Safari* Umewahi kutoa maelezo popote kuhusiana na kesi kabla hujaja kutoa maelezo.
*Shahidi* Ndoo kuhusiana na watu 43.
*Prof Safari* Tunaweza kuyapata maelezo yako .
*Shahidi* Sijui mwendesha mashtaka.
*Prof Safari* Mheshimiwa tunaomba tuletewe maelezo yake aliyouatoa.
Tunaomba tuliletewa maelezo ya shahidi aliyoyatoa kabla ya kuja mahakamani.
Mabishano yalibuka juu ya Ombi la Profesa Safari la kutaka na Kadushi juu ya maelezo ya shahidi.
Hakimu Simba amesema kuwa ataacha upande wa Jamhuri uendelee na kumpitisha shahidi wao juu ya maswali aliyoulizwa na baada hilo .
Lakini Kadushi alidai kuwa suala hilo ni la kisheria na ni vema likabaki kwenye rekodi za mahakama lakini kifungu hiko kinatumika kwenye mahakama kuu endapo shahidi anakuwa hana msimamo na majibu yakeKesi na 112 ya Mwaka 2018 Mshtakiwa Freeman Mbowe na wenzake
Wakili wa Serikali Faraja Nchimbi, Paul Kadushi na
Wakati upande was utetezi unaongozwa na Wakili
Professa Safari. Dk Nshala, John Mallya, Jeremia Mtobesya, Hekima Mwasibu na Peter Kibatara
Kuendelea na kumuliza maswali shahidi wa Kwanza SSP Gerald Ngichi.
*Kibatala.* Mara ya mwisho wakati unatoa ushahidi wako ulisema kuna watoto na wazee walipotea mueleze hakimu jinsi wazee na watoto hawa walivyoonganishwa na familia zao ulisema chochote.
*Shahidi* Nilisema.
*Kibatala* Muambie hakimu waliunganisha kwa namna gani na familia zao.
*Shahidi* Baada ya kuripoti sisi tuliwapeleka kwenye vituo vya karibu na familia zao.
*Kibatala* Ulitaja majina ya hao ndugu.
*Shahidi* Sikutaja.
*Kibatala* Shahidi nilikusikia ukitoa ushahidi kuwa pale eneo la tukio walikamatwa watuhumiwa makundi mawili washtakiwa na pamoja na watu wengine ambao mimi nafikiri kuwa ni watuhumiwa ulisema chochote.
*Shahidi* Nilisema.
*Kibatara* Na hatua gani ilichukuliwa.
*Shahidi* Walipelekwa kituo cha Polisi cha Osterbay.
*Kibatara* Na baada ya hapo walisamehewa kwa hisani ya Polisi.
*Shahidi* Sifahamu
Upepelezi siufahamu.
*Kibatala* Wewe unawafahamu binafsi kilichowatokea hawa juu ya kufunguliwa kesi.
*Shahidi* Nafahamu.
*Kibatala* Ulisema chochote juu ya kufunguliwa kesi.
*Shahidi* Kesi ilifunguliwa Ost..
*Kibatala* Ulitaja majina yao.
*Shahidi* Hapana.
*Kibatala* Wakati unatoa ushahidi wako ulisema kuwa Mbowe alitimua mbio na kwamba hukuwahi kuona akitimua mbio namna ile na ulisema alidondosha miwani sahihi.
*Shahidi* Sahihi.
*Kibatala* miwani iko wapi.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Ni sahihi eidha wewe au askari wako walichukua mawani hiyo kama ushahidi.
*Shahidi* Alichukua mwenyewe.
*Kibatala* Kwa hiyo mtu alitim mbio za ajabu anaweza kuokota miwani bila kumtokea chochote.
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Ulisema chochote kuhusu mavazi.
*Shahidi* Sikusema.
*Kibatala* Kati ya washtakiwa hapa waliopo mbele ya Mahakama ni mshtakiwa gani alimkamata eneo la tukio au eneo lolote linalohusiana na tukio.
*Shahidi* Hakuna
*Kibatala* Wastakiwa hawa walikamatiwa wapi?
*Shahidi* Walikamatwa nyumbani.
*Shahidi* Ulisema unaskari wangapi.
*Shahidi* Mia Hamsini na zaidi.
*Kibatala* Lakini hakuna askari hata mmoja aliyemkata Mbowe.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Ni mtuhumiwa gani muliyemkata eneo la tukio.
*Shahidi* Hakuna.
*Kibatala* Mlirekodi ushahidi wowote .
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Wakati gani mliweza kurekodi wakati was mkutano au wakati was maandamano?
*Shahidi* Wote.
*Kibatala* Aliyerekodi nani?
*Shahidi* Maofisa wa Jeshi la Polisi.
*Kibatala* Anaitwa nani huyo ofisa.
*Shahidi* Sifahamu jina lake.
*Kibatala* Vifaa vya kurekodia vinatoka kwa amri ya nani kwenda kwenye matukio mbalimbali.
*Shahidi* Vifaa vinakuwa chini Mkuu wa Upelelezi.
*Kibatala* kamanda wa Polisi Wilaya Kinondoni alikuwa eneo la tukio
*Shahidi* Sifahamu ila timu zao zilikuwepo.
*Shahidi* Wao wenyewe walikuwa hawapo.
*Kibatala* Unaufahamu binafsi namna maofisa hawa walivyotoa vifaa vifaa hivi vya kurekodia.
*Shahidi* Sifahamu, wao ndio wanajua jinsi ya kutoa vifaa vya kazi.
*Kibatala* Wakati washtakiwa wanahojiwa ulikuwepo na unafahamu chochote juu ya kile walichihojiwa.
*Shahidi* Sikuwepo.
*Kibatala* Kwahiyo hufahamu walihojiwa nini?
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Je unafahamu kuwa Ester Matiko siku ya tukio alikuwa anafanya mkutano jimboni kwake na mkutano huo ulitolewa kibali na Jeshi la Polisi?
*Shahidi* siwezi kujua.
*Kibatala* Kwahiyo Jeshi la Polisi huwa hmuwasiliani.
*Kibatala* Unafahamu kuwa Msigwa mara tu baada ya Mkutano kuisha alianza safari ya kwenda Iringa.
*Shahidia* Ninafahamu kuwa hakuondoka ndio maana alikuwepo kwenye maandamano.
*Kibatala* Unasema pia Freeman Mbowe aliondolewa kwenye Mkutano na walinzi wake.
*Shahidi* Ndio
*Kibatala* unawajua walinzi wa Mbowe.
*Shahidi* Siwafahamu.
*Kibatala* Sasa umewezaje kuwatambua kuwa ni walinzi wa mbowe.
*Shahidi* Walikuwa wakimsaidia
*Kibatala* Kwahiyo kila anayemsaidia Mbowe ni mlinzi wake.
*Shahidi* Mbowe kwa maoni yangu mimi walichokifanya walinzi wa Mbowe pia ni kosa la Jinai
*Kibatala* mwambie Hakimu kama muliwakamata.
*Kibatala* Nilishakueleza kuwa watuhumiwa walipelekwa Polisi.
*Kibatala* Hao walinzi uliwakamata.
*Shahidi* Nilishajibu kati ya hao watu 43 niliwakamata kama walikuwemo niliwakamata.
*Kibatala* Walinzi wa Mbowe nao walikuwa wanandamana au
*Kibatala* Katika shitaka la Kwanza watuhumiwa walikula njama kufanya kosa la kusanyiko kinyume na sheria mueleze Hakimu walikutana wapi.
*Shahidi* Sijui walipokutana.
*Kibatala* Shitaka la Pili walifanya kosanyika lisilo halali kuanzia uwanja wa Buibui. Nataka kujua walipokuwepo Buibui walikuwa kisheria.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Muambia Hakimu kwamba uwepo wa Watuhumiwa buibui kama walikuwa sawa kisheria.
*Shahidi* Walikuwa sawa kisheria kwa sababu walikuwa wafunga kampeni.
*Kibatala* Shitaka la Nne ni hapa napozungumza kiongozi wa Hananasifu yupo Moncharwi ni kweli wakati anahutubia maneno hayo kulikuwa na Kiongizi alikuwa Monchwari.
*Shahidi* Ndio.
*Kibatala* Alifikaje hapo Monchwari.
*Shahidi* Maiti huwa anahifadhiwa Monchwari kusubiri maziko au upelelezi.
*Kibatala* Nini chanzo cha kifo chake.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Alinyongwa na kuuawa.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Mbowe alisema halafu siye tunaona kawaida.Kunyongwa hadi kuuawa ni jambo kawaida ulikuwa unajua anamaanisha nini?
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Amenukuliwa Mhe Mbowe kwenye hati ya mashtaka alisema kimempata marehemu halafu Tunacheka na Polisi uliweza kufahamu alikuwa akilenga nini?
*Shahidi* Sifahamu alikuwa anamaanisha mini.
*Kibatala* Bila shaka pia ufahamu aliposema tunacheka na CCM alimaanisha nini?
*Shahidi* Sifahamu.
*Kibatala* Haya maneno uliyasikia binafsi au kuna mtu alikusimulia.
*Shahidia* Sijayasikia
*Kibatala* Shitaka la Sita linasema kuwa alifanya uchochezi wa Uasi. Tumejipa kibali cha kutangulia mbele ya haki wewe unafahamu alilenga ninu hapa?
*Shahidi* Kutangulia mbele ya haki ni kufa.
*Kibatala* Kwani mwisho wa siku Mbowe atakufa au hafi..
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Maneno mengine amesema kuwa haiwezekani wanaume wazima kama sisi tufanywe mandondocha kwani kuna tatizo gani kwenye maneno haya Mwanaume mwenye watoto wake na mke kukataa kufanywa ndondocha?
*Shahidi* Sijui
*Kibatala* Mimi nipo hapa kuliandaa taifa kunatatizo ganu Mbowe kuliandaa taifa.
*Shahidi* Inategemea kwa namna gani anataka kulianda taifa.
*Kibatala* Mbowe alisikia akisema Juzi Jacob Zuma alilazimishwa kujiuzulu ni kweli Zuma alilazimisha kujiuzulu.
*Shahidi* Sifahamu
*Kibatala* Mbowe aliendelea kusikaka akisema Mugabe Kang'olewa ni kweli Mugabe Kang'olewa.
*Shahidi* Sifahamu
*Kibatala* Mbowe aliendelea kusikia akisema Waziri Mkuu wa Ephionian aliondolewa kwa people's Power ni kweli aliondolewa kwa People's Power.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Alisema Rais Magufuli ni Mwepesi kama Karatasi wewe unaufahamu uzito wa Magufuli?
*Shahidi* Magufuli ni nani sijakuelewa.
*Kibatala* Magufuli aliyeandikwa kwenye hati ya Mashtaka.
*Shahidi* Simjui
*Kibatala* Anamfahamu aliyeandika hati ya mashtaka.
*Kibatala* Shitaka la saba Mdee alichochea uasi alisema sihitaju kuelezea madhira yanayowakuta wenzetu, Unayafahamu hayo madhira.
*Shahidi* Mimi sikuwepo wakati anazungumza hayo maneno.
*Kibatala* Kuna maneno mengine kwamba kesho tukamchinje Magufuli na vibaraka wake wote ulifanikiwa kufahamu kuwa kumchinja kwa maana ya kimshinda kwenye uchaguzi.
*Shahidi* Sijamsikia.
*Kibatala* Shitaka la nane Heche ni sahihi kuwa tarehe 17 Februali 2018 kuwa kulikuwa na zoezi uchaguzi jimbo la Kinondoni.
*Shahidi* .........
*Kibatala* Jibu shahidi.
*Shahidi* Hiyo siku inayofuata baada ya Kampeni ni siku ya uchaguzi.
*Kibatala* Heche alisema Kesho patachimbika upumbavu uliofanya kwenye nchini hii sasa unatosha wewe unafahamu kuwa alimanisha kuitoa out CCM.
*Shahidia* Siijui maana sikuwepo.
*Kibatala* Hili suala kuwa watu wanapotea ni kweli au sio kweli, Ni kweli kwamba kuna watu wanapotea na Jeshi la Polisi halijui walipo.
*Shahidi* Watu wanaopotea wanaripotiwa Polisi.
*Kibatala* Kuna Mwandishi wa Habari amepotea anaitwa Azory Gwanda unafahamu alipo?
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Kuna Mtu anaitwa Ben Saanene unafahamu alipo na nini kimemtokea.
*Shahidi* Hapana.
*Kibatala* Kama wewe hujui hawa watu wawili wamepotea, Mbowe akisema kuna watu wamepotea. kisheria tatizo liko wapi?
*Hakimu* Kibatala unauliza swali la ufahamu kisheria au naomba ufafanue swali lako.
*Kibatala* Shahidi narudia swali Mbowe amesema kuna watu wamepotea je kipolisi kosa lipo wapi kama kweli kuna watu wamepotea na Jeshi la Polisi halijawai kusema chochote.
*Shahidi* Sifahumu
*Kibatala* Kama imeripotiwa , Watu wanauwa na wanaokotwa kwenye mitaro ni kweli kwamba watu wanauwa wanaokotwa kwenye mitaro.
*Shahidi* Sijui.
*Kibatala* Shahidi Mshtakiwa kwanza alisema nitaongoza mapambano najua watu wataao kufa watalea haki kwenye nchi hii ni kweli ulisikia mshatiwa wa kwanza alisema mameno hayo
*Shahidi* Sikuskia
*Kibatala* Shtaka la 11 Mh freeman mbowe aluwachochea wakazi wa kinondoni je unawajua kwa majina hao wakazi.
*Shahidi* Siwafahamu hao wakazi kwa kuwa sikuwepo aliposema.
*Kibatala* Shahidi shtala 12 linamuhusu Peter Msigwa
Mshtakiwa aliwachochea wakazi wa kinonondoni wabebe sila ulisikua kisema maneno hayo
*Shahidia* Sikuwepo
*Kibatala* Shtaka la 13 linamuhusu Ester Bulaya
Aliwachochea wananchi wa kinondoni kujilinda ili kupatikana kwa haki ulimsikia
*Shahidi* Sikumsikia
*Kibatala* Shahidi ni nani sasa hasa alisikia hayo maneno
*Shahidi* Maafisa ya jeshi la polisi waliokuwa wakisimamia mkutano wa kufunga kampeni
*Kibatala* Wakati nakuuliza awali kuhusiano na uchukuaji wa video ulionyesha kutokuwa na ufahamu binafsi na lakini ulipokuwa kawawa road ulipokuwepo uliwai kuonyeshwa video iliyochukuliwa kawawa road
*Shahidi* Siitaji kukujibu
*Hakimu* Jibu
*Shahidi* sikuonyeshwa
Peter kibatala Ni hayo tu shahidi
*Prof Safari.* Napenda kuitaarifu mahakama kuwa wakili Mtobesya amejiunga na sisi
*Wakili John Malya* Shahidi nina maswali machache sana naomba ujibu kwa sauti kama ulivyokuwa unajibu awali
*Kibatala* Shahidi umezaliwa mwaka gani
*Shahidi* Nimezaliwa mwaka 1972
*John Malya* Unamiaka mingapi.
*Shahidi* Miaka 47.
*John Malya* Wakati unajiunga na Jeshi la Polisi ulikuwa na Miaka mingapi, 2000.
*John Malya* Au nikusaidie.
*Shahidi* Miaka 28
*Shahidi* 28 ulikuwa na Degreee ya Kozi gani.
Sheria.
*John Malya* Ulianza mwaka gani.
1996.
*John Malya* Kwa mujibu wa PGO ni sahihi kwamba mtu akiwa na miaka 28 haruhusiwi kujiunga na jeshi la Polisi.
*Shahidi* Sio kweli
*Mheshimiwa* hakimu tujiepushe na maneno ya kumuondolea mtu heshima.
*John Malya* Kiwango cha Mwisho cha Umri kujiunga na Polisi.
*Shahidi* Inategemea na Elimu.
*John Malya* Mimi nina miaka 31 nina degree ya Sheria naruhusiwa kujiunga na Jeshi la Polisi.
*Shahidi* Ndio.
*John Malya* Kesi unayo
 
^Wakili Kibatala: Unajua sababu ya kifo cha Akwilina, alikufa kwa mshutuko au alipomuona Mbowe?

Shahidi: Sijui.

Wakili Kibatala: Unakubaliana na mimi kuwa wewe hujui chochote kuhusu kifo cha Akwilin, unataka aje mtu mwengine kutoa taarifa hizo?

Shahidi: Sawa.
 
Ameenda kujidhalilisha bure hajui chochote
Wataachaje kujidhalilisha wakati hivi sasa Jeshi la Polisi limeacha majukumu yake ya kiutendaji na kuamua kuwa Maafisa wa TRA?? Kila jioni wako buzy kukagua mahesabu kupitia efd machine. Badala ya kuzipitia majalada ya kesi mbalimbali zilizopo mezani mwao.
 
matokeo ya kuishi in a pithole country,Afisa mkubwa wa jeshi la polisi hawezi hata kujibu basic questions,huyu ni kihiyo hata note book hana ya kuandika kumbukumbu za matukio anayokumbana nayo,kazi kukimbizana na wapinzani mitaani ndio wako ,bora hopefull hii kesi itapelekea hadi madaktari walioufanyia huu mwili wa marehemu (post-mortem)nao waitwe mbele ya Hakimu,mmmmm kwanza sidhani kama nchi yetu in foresinc phathologits???,ripoti za ma GPs ndio tunaziamini,bora beach boy anayeishi pale Greece kuliko kuishi ndani ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom