Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,667 698,533 Oct 3, 2015 Thread starter #21 Dublin said: kwa ujumla amevunja kanuni za mtu mstaarabu!! na mtu ukiwa na manjonjo ya namna ile unaweza kujikuta umepiga mbizi ukiwa hata ndani ya kivuko! Click to expand... Na hata elimu yake ya kiwango cha udaktari
Dublin said: kwa ujumla amevunja kanuni za mtu mstaarabu!! na mtu ukiwa na manjonjo ya namna ile unaweza kujikuta umepiga mbizi ukiwa hata ndani ya kivuko! Click to expand... Na hata elimu yake ya kiwango cha udaktari
U Undu JF-Expert Member May 18, 2013 3,519 1,873 Oct 3, 2015 #22 Wamekataa hat a hospitali za mikoa NA rufaa zisiwe NA viwanda VGA Dawa Lisa waagize Dawa toka India NA Kenya ccm hatari
Wamekataa hat a hospitali za mikoa NA rufaa zisiwe NA viwanda VGA Dawa Lisa waagize Dawa toka India NA Kenya ccm hatari
M Mouse3 JF-Expert Member Oct 29, 2013 1,432 1,263 Oct 3, 2015 #23 mshana jr said: Na hata elimu yake ya kiwango cha udaktari Click to expand... Samahani! unamaanisha Udokita ule wa zahanati au wa zawadi!!?
mshana jr said: Na hata elimu yake ya kiwango cha udaktari Click to expand... Samahani! unamaanisha Udokita ule wa zahanati au wa zawadi!!?
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,667 698,533 Oct 3, 2015 Thread starter #24 Dublin said: Samahani! unamaanisha Udokita ule wa zahanati au wa zawadi!!? Click to expand... Hahahaaa
Dublin said: Samahani! unamaanisha Udokita ule wa zahanati au wa zawadi!!? Click to expand... Hahahaaa
mbinde JF-Expert Member Mar 12, 2015 801 649 Oct 3, 2015 #25 Undu said: Wamekataa hat a hospitali za mikoa NA rufaa zisiwe NA viwanda VGA Dawa Lisa waagize Dawa toka India NA Kenya ccm hatari Click to expand... Dili za watu hizi, wenyewe wanakuangalia tu wao wajiita waagizaji bora wa dawa toka nchi walikotokea mababu zao enzi zile hujazaliwa.
Undu said: Wamekataa hat a hospitali za mikoa NA rufaa zisiwe NA viwanda VGA Dawa Lisa waagize Dawa toka India NA Kenya ccm hatari Click to expand... Dili za watu hizi, wenyewe wanakuangalia tu wao wajiita waagizaji bora wa dawa toka nchi walikotokea mababu zao enzi zile hujazaliwa.
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,667 698,533 Sep 9, 2020 Thread starter #27 Amavubi said: Mhubiri 9:10 " Click to expand... Anasema...!?