TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Kama ilivyoripotiwa kwenye vyombo vya habari kuwa Mheshimiwa Rais ameagiza Mkandarasi wa Maji huko Lindi anyang'anywe pasipoti yake.
Ila kwa upande wangu sioni kama limefuata sheria kwani pasiport ni mali ya nchi iliyompatia mhusika na kwa mujibu wa sheria ya pasipoti, nchi husika huomba raia wake alindwe kwa namna yoyote na host country na ikibidi kukamatwa basi nchi husika ijulishwe. Swali langu, je Mkandarasi huyu kavunja sheria ipi ya nchi?
Kama alichelewa kulipwa fedha za mradi tulitegemea ajenge kwa fedha zake mfukoni?? Naomba kujuzwa kwani elimu yangu ni ndogo.
"Under the law of most countries, passports are government property, and may be limited or revoked at any time, usually on specified grounds, and possibly subject to judicial review"
Watu ni Waoga angeniita Bogas Kwenye Maswala ya Biashara na mikataba hapo hapo Ningemuita Bogas ni Yeye na Matako yake! Athubutu kunyang'anya Pasi ya Mmarekani ndio atajua Sangara ni Samaki na sii nguruwe! Mkondorasi ana Miradi Mingi na Sio Jukumu lake kukaa Site, Kika Mkondorasi anakuwa na Wasimamizi wa Miradi Foreman, Superintendents na Ma Project Managers Unamwambia Mkondorasi Utamnyanganya Passport mpaka siondoke mpaka amalize kazi wewe ndiye Mahakama ya Mikataba. Huyu Rais Nunda hasa!