Agizo la Kigwangalla la kukamatwa kwa mashoga lakemewa vikali na Kituo cha Haki za Binadamu Afrika

Hawa nao wakamatwe na miselule yao hiyo ujinga gani km wanaona wataumbuka imefika zamu yao hii NGO ifutwe nashauri
 
Bahati mbaya kuita ombaomba polisi hakumpatii mtu umaarufu; kunaweza hata kumgeukia. Hii ni serikali inayoendeshwa kwa misifa (populism). Haina mpangilio maalum kimkakati. Watu wanashindana kutoa matamko yenye kuwaletea misifa kama mkakati wa career development. Bosi mkuu mwenyewe ndiye mwenye kuendekeza hiyo mediocrity.

Baada ya Makonda kupata "umaarufu" katika hizi harakati zake uchwara za "kupambana na biashara ya madawa ya kulevya", mpuuzi mwingine huku anaamkia kuita "mashoga" Polisi - akijua tu kwa kauli hiyo ya "kupambana na ushoga" basi Watanzania wengi hawajiulizi tena zaidi ya kupongeza; manake wengi hata yeye mwenyewe hawajui "mdudu" shoga hasa ni nani. Kwanza, hawana hata uwezo wa kutofautisha kati ya shoga na kahaba (awe ke au me).

Akae chonjo tu asijeshangaa kukuta baadhi ya mabosi wake hata ndugu zake ni mashoga "waliojificha". Tofauti na wanavyofikiri wengi mashoga wenyewe hasa hawana alama rasmi za utambulisho (tell tale marks) wala hawajitangazi kirahisi (rejea kina Anderson Cooper wa CNN, marehemu George Michael, n.k.) kama utaweza au ungeweza kuwatambua kama mashoga kwa kuwaangalia na kuwasikiliza tu.

'mediocrity' is the word here.....kila eneo
 
Mjomba - awa hormosexual (lesbian/gay) wanazaliwa wakiwa na hizo hormone, kadri wanavyokua hizo hormone uongezeka....
Pasipo wao wenyewe kujua uanza kutamani kufanya mapenzi kwa kuona,kugusa au kuisi anaweza kufanya vile jinsia tofauti inavyofanya....
Geffy, mtazamo wako upo sawia. Hawa watu lesibians and gays sio watu wa kushambuliwa au kunyanyaswa katika jamii. Tunatakiwa kuwaeleza nini cha kufanya ni watu ambao wanahitaji msaada wetu. Hali waliyonayo nikama ulemavu. Kuwakamata na kuwaweka jela ni sawa na kumkamata mlemavu na kumnyanyasa kisa ulemavu wake
 
Hawa wanaowatetea wanaendaga kuswali/kuomba kwenye nyumba za ibada??
Smart911 , try to think more deeply. Hawa mashoga ni ndugu zetu... Tunatakiwa tuishinao ikiwezekana tuwasaidie.
Hata hivyo sisi wenyewe ambao sio mashoga ,sisi sio malaika au watakatifu. Tunatenda dhambi mara nyingi. Haifai kuwabagua na kuwahukumu.
 
Smart911 , try to think more deeply. Hawa mashoga ni ndugu zetu... Tunatakiwa tuishinao ikiwezekana tuwasaidie.
Hata hivyo sisi wenyewe ambao sio mashoga ,sisi sio malaika au watakatifu. Tunatenda dhambi mara nyingi. Haifai kuwabagua na kuwahukumu.
Siamini na sitaki kuamini kbs kwamba hawa ma LGBTI persons wameomba kuwa hivyo. Sababu za wao kuwa hivyo ni za kibaolojia zaidi. Mimi siungi mkono matendo yao lakini badala ya kuwakamata na kuwaweka ndani.... Wasaidiwe kivingine.

Hawa LGBT Community wana psychological disorders ambazo sasa zimewasababishia behavioral disorders. Ni wagonjwa..... Zitafutwe njia sahihi za kuwatibu.

Hebu mpeleke gay gerezani leo pale Segerea ama Keko.... Atakuwa wali nazi na wala c mkorosho tena. Akitoka humo na maginjwa juu.

Hawa ni binadamu wenzetu, wameumbwa na Mungu na wanahitaji msaada tu..... Si kukamatwa na kufungwa bali kutafutiwa wataalamu wa kuwarekebisha tabia.

Over.
 
Smart911 , try to think more deeply. Hawa mashoga ni ndugu zetu... Tunatakiwa tuishinao ikiwezekana tuwasaidie.
Hata hivyo sisi wenyewe ambao sio mashoga ,sisi sio malaika au watakatifu. Tunatenda dhambi mara nyingi. Haifai kuwabagua na kuwahukumu.
Sasa inshu iwe ni kutafuta kwanini watu wanakuwa mashoga, hawa jamaa ni kama wanapenda tu hili tabaka likue na liendelee tu kuwepo. Hizo pesa wanazozitumia kuwatetea kwanini zisitumike kufanyia utafiti hawa ndugu zetu wapatiwe dawa ya huo ulemavu wao?

Lakini hapa watz tusijifanye vipofu, unajua wametumia hata katiba Yetu kuwatetea hawa jamaa. Hapa mtajua kwnini akina Nyerere walikataa Bill of Rights lisiingizwe kwenye katiba. Mambo mengine yanahtaji jicho la tatu kuyaona. Yote haya, sijui demokrasia, vyama vingi na haki za binadamu wanazozihubiri zimebeba mengi sana ya kishenzishenzi.

Waje wazanzibar watetee walichokiona kinafaa miaka ya 70s na 80s. Kila jambo lahtaji fikra sana kabla ya kulihukumu.
 
Mungu anatupenda sana. Tukitafuta ufumbuzi wa tatizo la ndugu zetu nauhakika tutalipata tu. Ila sio hii ya kuanza kuwhukumu......
 
Hakuna MTU wala serikali yenye haki ya kuhukumu dhambi za watu kwanza serikali aina dini ushoga na usagaji siyo ualifu only God atakaye hukumu watu na dhambi zao mbona serikali inazarisha mashoga kibao magerezani kutokana na mazingira ya jela
 
Utasikia hao wanaojidai kuchukia ushoga ndo kwanza wanaisujudia USA wakililia kwenda marekani hadi makanisani wanamwomba mungu awape kibali na nehema ya roho mtakatifu wapate kazi au wakaishi ulaya stupid manki
 
hivi kwanza wako wp?maana toka tangazo litoke wamejichimbia kama vile hawaexist:D:D:D
 
Humu jamii Kama kuna mtu hajawahi kula tigo aseme. Iwe ya mwananke au ya shoga. Tuwe wakweli
 
kama vipi wanyongwe kabisa...
just imagine...una toto bwabwa na kila ukipita mtaani unanyooshewa vidole...
"YULE BWABWA BABA YAKE NI YULEE !"

unajikuta unajutia hata kuzaa, laana hii.
 
kama vipi wanyongwe kabisa...
just imagine...una toto bwabwa na kila ukipita mtaani unanyooshewa vidole...
"YULE BWABWA BABA YAKE NI YULEE !"

unajikuta unajutia hata kuzaa, laana hii.
Makengeza ya fikra hayo mkuu. Je, wewe hapo ulipo ni mtakatifu???? Hujawahi tenda dhambi yeyote ile.... Jichunguze kwa makini kabisa.
 
Back
Top Bottom