Elections 2010 Agenda ya madinii tanzania ni ya dr jakaya kikwete dr. Slaa usiiivamie

kakakuonap

Member
Sep 4, 2010
14
0
Watanzania wengi watakumbuka kwamba suala la madini kunufaisha umma wa watanzania limesimamiwa ipasavyo na Mhe. DR. Jakaya Mrisho Kikwete katika kusimamia na kutekeleza Ilani ya CCM kama alivyowaahidi watamnzania 2005. Na katika kuwahakikishia watanzania kwamba yupo makini katika sekta ya madini aliwachagua Zito Zuberi Kabwe , Mbunge machachari kutoka upinzani na Dr. Harrison Makyembe Mbunge makini kutoka CCM kuwa kwenye kamati ya madini, a,bapo pamoja na mambo mengine walipitia mikataba na wakatoa mapendekezo watanzania wote wanajua, na Dr slaa anajua na wewe msomaji unajua jee utavunja hiyo rekodi??? Kila Mtanzania ameona faida ya ile tume na tumempa JK big up!!!

Agenda ya madini ni ya JK Slaa usiivamie tafuta nyingine
 
Watanzania wengi watakumbuka kwamba suala la madini kunufaisha umma wa watanzania limesimamiwa ipasavyo na Mhe. DR. Jakaya Mrisho Kikwete...

Huu U-Docta unapatikanaje?

Yaani kwa kuwa Slaa anaitwa Dr. Slaa na nyie waporaji wa elimu mmeamua na huyu bwana aitwe Dr. Kikwete ili wananchi waone wapo sawa sio eh??
 
ukweli hauchakachuliwi.
Tangu JK aanguke Jangwani wakati akisema neno "rushwa" ameacha kabisa kusema neno hilo lisije likamuangusha tena.
 
Ona kilichowapata Watanzania mgodi ambao Dr. Kikwete aliweka sahihi.

Baesi: Sitasahau yaliyonikuta Bulyanhulu
Asha Bani
IKIWA ni miaka 12 tangu kutokea vifo vya wachimbaji wadogowadogo wa madini katika mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu, mkoani Shinyanga, bado wingu zito limetanda. Kutanda kwa wingu hilo kunatokana na matukio mbalimbali ambayo kwa baadhi ya wanajamii wanaoishi karibu na mgodi huo, bado wanatokwa na majonzi ya kupotelewa na ndugu zao.
HIVI karibuni, madhehebu mbalimbali ya dini yaliamua kufanya ziara ya kutembelea baadhi ya vijiji vilivyoathirika na tukio, kujionea hali halisi iliyopo kwa zaidi ya miaka 12 sasa.
Miongoni mwa madhehebu hayo ni pamoja na Baraza la Kuu Waislamu Tanzania (Bakwata), Kanisa Katoliki, Anglikana, Shirika la Misaada la Makanisa ya Norway, Wanasheria wa Mazingira (LEAT), na taasisi nyingine.
Sababu kubwa ya madhehebu kutembelea eneno hili ilikuwa kuona maisha ya wachimbaji wadogo na kuendesha utafiti juu ya faida ya madini yanayozaliwa, sanjari na matatizo yaliyotokea mwaka 1996 na kusababisha vifo vya watu 52.
Lakini pamoja na viongozi hao wa dini kukumbuka tukio hilo, walikutana na mmoja wa akina mama muathirika wa tukio hilo, Melania Baesi. Mama huyo anasema katika tukio hilo alipoteza wanawe wawili, kwa kile anachodai kwamba walifukiwa na kifusi kwenye mashimo makubwa yaliyoko kwenye mgodi huo.
Katika mahojiano na Tanzania Daima hivi karibuni, mama huyo alianza kwa kusema: "Nina wasiwasi kama utaweza kuandika ninachokueleza kwa sababu kama umetoka serikalini itakuwa vigumu".
Amekuwa akipata wakati mgumu wa kuzungumza na viongozi wa serikali kwa vile wameshindwa kumtekelezea malalamiko kwa kipindi chote hicho.
"Napata wakati mgumu kueleza kilio changu kwani sasa ni muda mrefu sioni kama natekelezewa, tangu haya yametokea sijawahi kulipwa fidia, nimepoteza familia yangu, nimeyumbishwa kimaisha sasa sijui nitakimbilia wapi," anasema Baesi.
Kinachomsumbia kichwa hadi leo ni kuona tume mbili zilizoundwa chini ya Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, na moja iliyoundwa na Jakaya Kikwete kuchunguza suala hilo hazikuweza kutoa majibu sahihi.
"Nasema kutokana na yote niliyofanyiwa na serikali yangu kamwe siwezi kuzungumza kutokana na kukosa imani na serikali yangu na njia pekee labda nikutane na rais mwenyewe," anasema Baesi.
Huku akibubujikwa machozi, Baesi anasema Septemba 1996, wakati akijishughulisha na uchimbaji mdogo mdogo wa madini kwenye mgodi wa Bulyanhulu na watoto wake watatu, kulitolewa na taarifa na Mkuu wa Mkoa Shinyanga wakati huo, Jenerali Tumainiel Kiwelu aliwataka wananchi wanaozunguka mgodi huo kuhama ili kupisha wawekezaji.
Anasema baada ya kupata taarifa ya kuondolewa kwao, akiwa miongoni mwa familia za watu zaidi ya 300, ilimwia vigumu kukubalina na suala hilo kwa kuwa yeye alikuwa pale muda mrefu na ni wazawa wa maeneo hayo.
"Tuligoma kuondoka eneo lile kwa sababu ya kudai malipo ya fidia kwa ajili ya kuhama, lakini baadae tukasikia kwenye redio kwamba tumepewa siku 30 kwa ajili ya kujiandaa kuhama...tulipata mshutuko mkubwa na hatua na namna yoyote," anasema Baesi.
"Tuligoma kuondoka lakini nguvu za ziada zilitumika na askari hao waliingia nyumba hadi nyumba na kutuharibia mali zetu zilizokuwemo ndani huku wakitutaka kuondoka mara moja," anasema Baesi.
Kutokana na hali hiyo, walilazimika kukimbilia msituni kwa lengo la kuokoa maisha yao kwa vile hawakutegemea nini kingetokea usiku huo.
"Nasema hayo yote yalinikuta naweza kuyasahau lakini kikubwa ambacho siwezi kukisahau ni siku niliyoshinda nikiwasubiri wangu - Ernest na John Rwekama - lakini hawakutokea hadi leo hii," anasema Baesi.
Baada ya kuasubiri, siku iliyofuata alipokea taarifa kuwa kuna wachimbaji wa madini wadogowadogo waliokuwa wakiendelea na shughuli zao wamefukiwa na chini ya migodi na kupoteza maisha.
"Sikuamini kama katika hao waliyopoteza maisha siku kama wanangu walikuwa miongoni mwao, lakini baada ya kupita siku mbili ndipo niliamini...nimewaza hadi nimekata tamaa,"anasema Baesi.
Baada viongozi wa juu kuona vyombo vya habari vimelalamikia na kuandika vifo hivyo, Rais wa awamu ya tatu, Mkapa, aliunda tume mbili na kwenda kuchunguza tukio hilo.
Tume zilizoundwa hakuna hata moja iliyopeleka majibu ya ukweli kwa rais, jambo ambalo limesababisha hadi sasa hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya wahusika.
Mikasa ya watu kwenda kumhoji ilikuwa ni ya mara kwa mara. Anakumbuka siku moja alikwenda mtu mmoja (hakumbuki jina), alijitambulisha kuwa ni Rais wa Kanisa la Misaada la Norway na kumtaka aelezee mkasa wa Bulyanhulu.
"Nilimweleza kwa kina juu ya tukio hili lote huku akichukua mkanda wa video na kuongeaza jambo lililosaidia watu mbalimbali kuchukua mikanda hiyo, lakini sijaona manufaa yake hadi leo," anasema Baesi.
Mwanasiasa pekee aliyeamua kuzungumza ukweli wa tukio ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema, na mwanasheria maarufu Tundu Lisu aliyewasaidia kufungua kesi mahakamani.
"Tena nashangaa kesi hiyo kusikia imefutwa hadi mikanda ya video haipo, tena hadi askari wakiwa wanahamisha watu kwa kutumia bunduki ipo, sijui kwa nini Mrema ameshindwa kuishitaki serikali huku jambo likiwa ni ukweli mtupu!"
Beasi amebakiwa na familia ya watoto wanne. Mmoja kati ya hao bado anajishughulisha na uchimbaji madini. Anawataja wengine kuwa ni David, Denis, Method na Mushobozi.
"Naiomba serikali isikie kilio changu kwa vile kipato changu nilitegemea sana matumizi kutoka kwa wanangu...lakini sasa natabika mno," anamalizia.
ashabani48@yahoo.com


From: Makala -Baesi: Sitasahau yaliyonikuta Bulyanhulu

Aombe basi walau msamaha yeye na Che Nkapa wake.
 
Watanzania wengi watakumbuka kwamba suala la madini kunufaisha umma wa watanzania limesimamiwa ipasavyo na Mhe. DR. Jakaya Mrisho Kikwete katika kusimamia na kutekeleza Ilani ya CCM kama alivyowaahidi watamnzania 2005. Na katika kuwahakikishia watanzania kwamba yupo makini katika sekta ya madini aliwachagua Zito Zuberi Kabwe , Mbunge machachari kutoka upinzani na Dr. Harrison Makyembe Mbunge makini kutoka CCM kuwa kwenye kamati ya madini, a,bapo pamoja na mambo mengine walipitia mikataba na wakatoa mapendekezo watanzania wote wanajua, na Dr slaa anajua na wewe msomaji unajua jee utavunja hiyo rekodi??? Kila Mtanzania ameona faida ya ile tume na tumempa JK big up!!!

Agenda ya madini ni ya JK Slaa usiivamie tafuta nyingine

Hivi mbona ukilaza hauwatoki? Kwani Kikwete si alilazimika kufanya hivyo na hasa kumtumia Zitto ili atue mzigo uliomlemea kwa sera mbofu mbofu za kuingia mikataba ya madini kichwa kichwa. Mbona suluba ya upinzani kuhusu suala hili huiti ni "record"
 
ukweli hauchakachuliwi.
Tangu JK aanguke Jangwani wakati akisema neno "rushwa" ameacha kabisa kusema neno hilo lisije likamuangusha tena.

Ah aha ahaha aha ahaaahh...
You made ma day....
Sasa tutafanyaje asitumie neno .....AHADI....maana hajui maana yake na anasahau sana vile ALIVYOAHIDI
 
kakakuonap

user-online.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateSat Sep 2010Posts4Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power0
icon1.gif
Agenda ya madinii tanzania ni ya dr jakaya kikwete dr. Slaa usiiivamie




Tumekusikia Ridhiwan!!!
 
Watanzania wengi watakumbuka kwamba suala la madini kunufaisha umma wa watanzania limesimamiwa ipasavyo na Mhe. DR. Jakaya Mrisho Kikwete katika kusimamia na kutekeleza Ilani ya CCM kama alivyowaahidi watamnzania 2005. Na katika kuwahakikishia watanzania kwamba yupo makini katika sekta ya madini aliwachagua Zito Zuberi Kabwe , Mbunge machachari kutoka upinzani na Dr. Harrison Makyembe Mbunge makini kutoka CCM kuwa kwenye kamati ya madini, a,bapo pamoja na mambo mengine walipitia mikataba na wakatoa mapendekezo watanzania wote wanajua, na Dr slaa anajua na wewe msomaji unajua jee utavunja hiyo rekodi??? Kila Mtanzania ameona faida ya ile tume na tumempa JK big up!!!

Agenda ya madini ni ya JK Slaa usiivamie tafuta nyingine

U r such a joker,

Kwanza Mkwere is NOT a DR.For Christ sake.. He is a 'DR' kama 'madokta' wenzie akina Remy Ongala ( msanii) na Dr. Manyaunyau (nguvu za giza) etc etc..kurudiarudia kumuita dokta hakutageuza ukweli kuwa ni mtu wa kadegree kamoja, probably 'pass' ..

Pili inabidi utuoneshe hiyo sera ya madini ina mafanikio gani kiuchumi ilhali rekodi zinasema mchango wake kwenye GDP ni chini ya asilimia 4. Kwa makadirio yangu hii haiwezi hata ku-offset gharama za kurudishia mazingira.

Mafanikio pekee kwenye madini inaweza kwa yeye mwenyewe (inasemekana ana hisa kadhaa kwenye makampuni anuai)na marafiki zake na most obvious wageni anaowatukuza na kuwalamba miguu.

Your post is an embarrassment.
 
Watanzania wengi watakumbuka kwamba suala la madini kunufaisha umma wa watanzania limesimamiwa ipasavyo na Mhe. DR. Jakaya Mrisho Kikwete katika kusimamia na kutekeleza Ilani ya CCM kama alivyowaahidi watamnzania 2005. Na katika kuwahakikishia watanzania kwamba yupo makini katika sekta ya madini aliwachagua Zito Zuberi Kabwe , Mbunge machachari kutoka upinzani na Dr. Harrison Makyembe Mbunge makini kutoka CCM kuwa kwenye kamati ya madini, a,bapo pamoja na mambo mengine walipitia mikataba na wakatoa mapendekezo watanzania wote wanajua, na Dr slaa anajua na wewe msomaji unajua jee utavunja hiyo rekodi??? Kila Mtanzania ameona faida ya ile tume na tumempa JK big up!!!

Agenda ya madini ni ya JK Slaa usiivamie tafuta nyingine
Siasa za Majitaka!
Zitto hahongeki wala hadanganyiki!..Mlidhani kwa kumpa posti hiyo angehamia ujambazini!!...huh!
 
ukweli hauchakachuliwi.
Tangu JK aanguke Jangwani wakati akisema neno "rushwa" ameacha kabisa kusema neno hilo lisije likamuangusha tena.

Bila shaka anafuata maelekezo ya dokta wake Yahya. Huenda alishampa kabla maelekezo hayo ila akajisahau na kutamka. Sasa naelewa kwanini hata vyombo vya habari hasa TBC 1 na ITV hukatiza hotuba ya Dr. Slaa kila anapoanza kuzungumzia rushwa na ufisadi. Yote yana mwisho tuone watafika wapi na ushirikina wao.
 
Watanzania wengi watakumbuka kwamba suala la madini kunufaisha umma wa watanzania limesimamiwa ipasavyo na Mhe. DR. Jakaya Mrisho Kikwete katika kusimamia na kutekeleza Ilani ya CCM kama alivyowaahidi watamnzania 2005. Na katika kuwahakikishia watanzania kwamba yupo makini katika sekta ya madini aliwachagua Zito Zuberi Kabwe , Mbunge machachari kutoka upinzani na Dr. Harrison Makyembe Mbunge makini kutoka CCM kuwa kwenye kamati ya madini, a,bapo pamoja na mambo mengine walipitia mikataba na wakatoa mapendekezo watanzania wote wanajua, na Dr slaa anajua na wewe msomaji unajua jee utavunja hiyo rekodi??? Kila Mtanzania ameona faida ya ile tume na tumempa JK big up!!!

Agenda ya madini ni ya JK Slaa usiivamie tafuta nyingine
kwanza nakukaribisha jamvini mwana maoinduzi mwenzangu!!! endelea na moyo huohuo wa kuwafahamumisha wafuasi wa chache walio chademama!! kwanini... JK anapendwa na watanzania walio wengi!:becky:
 
kwanza nakukaribisha jamvini mwana maoinduzi mwenzangu!!! endelea na moyo huohuo wa kuwafahamumisha wafuasi wa chache walio chademama!! kwanini... JK anapendwa na watanzania walio wengi!:becky:
lol,
Yaani unajikaribisha wewe menyewe?
 
Ndugu wana JF kwa heshima na taadhima napenda kuchukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi ndugu zetu hawa dadakuona na kakakuona sijui kama ni mapacha pamoja na kaka yao mkubwa TandaleOne kwa kujiunga na JF siku moja kama tunavyoona, karibuni sana tulijenge taifa, makofiiiiii.

dadakuona
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Sat Sep 2010
Posts 5

Thanks :
kakakuonap
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Sat Sep 2010
Posts 7
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power 0

TandaleOne
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Sat Sep 2010
Posts 354
Thanks : 25
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power 21
 
Huu U-Docta unapatikanaje?

Yaani kwa kuwa Slaa anaitwa Dr. Slaa na nyie waporaji wa elimu mmeamua na huyu bwana aitwe Dr. Kikwete ili wananchi waone wapo sawa sio eh??
ni Dr wa maamuzi ya kupeleka wana jeshi anjuani comores haahaaa heeee eeee
 
Watanzania wengi watakumbuka kwamba suala la madini kunufaisha umma wa watanzania limesimamiwa ipasavyo na Mhe. DR. Jakaya Mrisho Kikwete katika kusimamia na kutekeleza Ilani ya CCM kama alivyowaahidi watamnzania 2005. Na katika kuwahakikishia watanzania kwamba yupo makini katika sekta ya madini aliwachagua Zito Zuberi Kabwe , Mbunge machachari kutoka upinzani na Dr. Harrison Makyembe Mbunge makini kutoka CCM kuwa kwenye kamati ya madini, a,bapo pamoja na mambo mengine walipitia mikataba na wakatoa mapendekezo watanzania wote wanajua, na Dr slaa anajua na wewe msomaji unajua jee utavunja hiyo rekodi??? Kila Mtanzania ameona faida ya ile tume na tumempa JK big up!!!

Agenda ya madini ni ya JK Slaa usiivamie tafuta nyingine

Hebu tupe mafanikio ya jitihada za JK kuhusu madini kunufaisha umma? Nini kimefanyika na tumenufaikaje. Je Karamagi hakwenda kusaini mkataba gizani huko UIngereza huku JK akimwangalia tu? Matendo husema zaidi kuliko maneno matupu ya kinafiki. Je unajua kuwa ni makampuni (mitambo) ya RA yenye tenda ya kuchimba madini kwenye migodi karibu yote hapa TZ. Unajua kuwa JK yuko mfukoni mwa RA na hana ubavu juu yake? Unajua kuwa nchi hii inaendeshwa na RA na Lowasa huku JK akiwa ruber stamp tu wa mipango yao? Go Slaa go.
 
Dr Slaa na JK wanalenga agenda ya madini lakini kwa mitizamo tofauti.
JK== kusamehe kodi kwa wageni, kuwanyanganya wachimbaji wadogo machimbo, kusimamia Tanzania One kuchukua kila kitu, mauaji kwa watanzania katika Merelani, kuelekeza sumu katika maji yanayotumiwa na wananchi kama mto Mara n.k

Dr Slaa == kufumua mikataba mibovu ya madini, kumilikisha wananchi, kufuta mikataba mibovu (maana madini hayaozi) yasipochimbwa haraka. n.k

SO, KILA MMOJA ANA MTIZAMO TOFAUTI. TUENDELEE...
 
Ona kilichowapata Watanzania mgodi ambao Dr. Kikwete aliweka sahihi.

Baesi: Sitasahau yaliyonikuta Bulyanhulu

Asha Bani
IKIWA ni miaka 12 tangu kutokea vifo vya wachimbaji wadogowadogo wa madini katika mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu, mkoani Shinyanga, bado wingu zito limetanda. Kutanda kwa wingu hilo kunatokana na matukio mbalimbali ambayo kwa baadhi ya wanajamii wanaoishi karibu na mgodi huo, bado wanatokwa na majonzi ya kupotelewa na ndugu zao.
HIVI karibuni, madhehebu mbalimbali ya dini yaliamua kufanya ziara ya kutembelea baadhi ya vijiji vilivyoathirika na tukio, kujionea hali halisi iliyopo kwa zaidi ya miaka 12 sasa.
Miongoni mwa madhehebu hayo ni pamoja na Baraza la Kuu Waislamu Tanzania (Bakwata), Kanisa Katoliki, Anglikana, Shirika la Misaada la Makanisa ya Norway, Wanasheria wa Mazingira (LEAT), na taasisi nyingine.
Sababu kubwa ya madhehebu kutembelea eneno hili ilikuwa kuona maisha ya wachimbaji wadogo na kuendesha utafiti juu ya faida ya madini yanayozaliwa, sanjari na matatizo yaliyotokea mwaka 1996 na kusababisha vifo vya watu 52.
Lakini pamoja na viongozi hao wa dini kukumbuka tukio hilo, walikutana na mmoja wa akina mama muathirika wa tukio hilo, Melania Baesi. Mama huyo anasema katika tukio hilo alipoteza wanawe wawili, kwa kile anachodai kwamba walifukiwa na kifusi kwenye mashimo makubwa yaliyoko kwenye mgodi huo.
Katika mahojiano na Tanzania Daima hivi karibuni, mama huyo alianza kwa kusema: "Nina wasiwasi kama utaweza kuandika ninachokueleza kwa sababu kama umetoka serikalini itakuwa vigumu".
Amekuwa akipata wakati mgumu wa kuzungumza na viongozi wa serikali kwa vile wameshindwa kumtekelezea malalamiko kwa kipindi chote hicho.
"Napata wakati mgumu kueleza kilio changu kwani sasa ni muda mrefu sioni kama natekelezewa, tangu haya yametokea sijawahi kulipwa fidia, nimepoteza familia yangu, nimeyumbishwa kimaisha sasa sijui nitakimbilia wapi," anasema Baesi.
Kinachomsumbia kichwa hadi leo ni kuona tume mbili zilizoundwa chini ya Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, na moja iliyoundwa na Jakaya Kikwete kuchunguza suala hilo hazikuweza kutoa majibu sahihi.
"Nasema kutokana na yote niliyofanyiwa na serikali yangu kamwe siwezi kuzungumza kutokana na kukosa imani na serikali yangu na njia pekee labda nikutane na rais mwenyewe," anasema Baesi.
Huku akibubujikwa machozi, Baesi anasema Septemba 1996, wakati akijishughulisha na uchimbaji mdogo mdogo wa madini kwenye mgodi wa Bulyanhulu na watoto wake watatu, kulitolewa na taarifa na Mkuu wa Mkoa Shinyanga wakati huo, Jenerali Tumainiel Kiwelu aliwataka wananchi wanaozunguka mgodi huo kuhama ili kupisha wawekezaji.
Anasema baada ya kupata taarifa ya kuondolewa kwao, akiwa miongoni mwa familia za watu zaidi ya 300, ilimwia vigumu kukubalina na suala hilo kwa kuwa yeye alikuwa pale muda mrefu na ni wazawa wa maeneo hayo.
"Tuligoma kuondoka eneo lile kwa sababu ya kudai malipo ya fidia kwa ajili ya kuhama, lakini baadae tukasikia kwenye redio kwamba tumepewa siku 30 kwa ajili ya kujiandaa kuhama...tulipata mshutuko mkubwa na hatua na namna yoyote," anasema Baesi.
"Tuligoma kuondoka lakini nguvu za ziada zilitumika na askari hao waliingia nyumba hadi nyumba na kutuharibia mali zetu zilizokuwemo ndani huku wakitutaka kuondoka mara moja," anasema Baesi.
Kutokana na hali hiyo, walilazimika kukimbilia msituni kwa lengo la kuokoa maisha yao kwa vile hawakutegemea nini kingetokea usiku huo.
"Nasema hayo yote yalinikuta naweza kuyasahau lakini kikubwa ambacho siwezi kukisahau ni siku niliyoshinda nikiwasubiri wangu - Ernest na John Rwekama - lakini hawakutokea hadi leo hii," anasema Baesi.
Baada ya kuasubiri, siku iliyofuata alipokea taarifa kuwa kuna wachimbaji wa madini wadogowadogo waliokuwa wakiendelea na shughuli zao wamefukiwa na chini ya migodi na kupoteza maisha.
"Sikuamini kama katika hao waliyopoteza maisha siku kama wanangu walikuwa miongoni mwao, lakini baada ya kupita siku mbili ndipo niliamini...nimewaza hadi nimekata tamaa,"anasema Baesi.
Baada viongozi wa juu kuona vyombo vya habari vimelalamikia na kuandika vifo hivyo, Rais wa awamu ya tatu, Mkapa, aliunda tume mbili na kwenda kuchunguza tukio hilo.
Tume zilizoundwa hakuna hata moja iliyopeleka majibu ya ukweli kwa rais, jambo ambalo limesababisha hadi sasa hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya wahusika.
Mikasa ya watu kwenda kumhoji ilikuwa ni ya mara kwa mara. Anakumbuka siku moja alikwenda mtu mmoja (hakumbuki jina), alijitambulisha kuwa ni Rais wa Kanisa la Misaada la Norway na kumtaka aelezee mkasa wa Bulyanhulu.
"Nilimweleza kwa kina juu ya tukio hili lote huku akichukua mkanda wa video na kuongeaza jambo lililosaidia watu mbalimbali kuchukua mikanda hiyo, lakini sijaona manufaa yake hadi leo," anasema Baesi.
Mwanasiasa pekee aliyeamua kuzungumza ukweli wa tukio ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema, na mwanasheria maarufu Tundu Lisu aliyewasaidia kufungua kesi mahakamani.
"Tena nashangaa kesi hiyo kusikia imefutwa hadi mikanda ya video haipo, tena hadi askari wakiwa wanahamisha watu kwa kutumia bunduki ipo, sijui kwa nini Mrema ameshindwa kuishitaki serikali huku jambo likiwa ni ukweli mtupu!"
Beasi amebakiwa na familia ya watoto wanne. Mmoja kati ya hao bado anajishughulisha na uchimbaji madini. Anawataja wengine kuwa ni David, Denis, Method na Mushobozi.
"Naiomba serikali isikie kilio changu kwa vile kipato changu nilitegemea sana matumizi kutoka kwa wanangu...lakini sasa natabika mno," anamalizia.
ashabani48@yahoo.com


From: Makala -Baesi: Sitasahau yaliyonikuta Bulyanhulu

Aombe basi walau msamaha yeye na Che Nkapa wake.
Rasilimali zinaweza kuwa mateso matupu.
 
Back
Top Bottom