Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,031
Yah is trueeeeeeeeeYou will never understand them ..but at least kibabu kina muda....,maana Angelie Kama ni sex at that age kashaenyoy Kwa takribani Miaka 25 ya active sex ...SASA anataka attention ambayo Kwa vijana hawezi kuipita wala muda
Sema Wanawake hawaaminiki..c walkuwa wachumba miaka mingpi cjui,kweli Mapenzi hayaaminiki
..Men or woman wote hatuminiki!!Sema Wanawake hawaaminiki
Jipe Muda, utakuja gundua siku moja..Men or woman wote hatuminiki!!
Barbarossa huwa linaandika kama limekatwa kichwa Rais Magufuli!
ccm wewe umeolewa na kibabu.Heri kuishi na kibabu kuliko mwanaume anayewadhalilisha watoto.
Angalia na sabab alizotoa Angeline kwanini ameamua kumuacha? angekuwa amemuacha sabab ya mwanaume mwengine ungeongea hayo ila JAMAA ANAVUTA BANGI, ANAKUNYWA POMBE ANA MAHUSIANO NA MWANAMKE MWENGINE (Baada ya angeline kuweka investigator akagundua hayo) na pia BRAD Alikuwa ana wafokea fokea watoto yani hayuko sawa juu ya watoto, Angeline amefanya hayo pia kwa kuangalia future ya wale watoto wanajifunza nini kwenye familia yenye maugomvi kila siku. WAZUNGU HAWANA UNAFIKI KATIKA MAPENZI. UKIZINGUA NA KUKUCHOKA HAKUVUMILII ATAKUTOSA AWE HAPPY, Sio waafrica, Mwafrica hapo angetafuta mchepuko ajiliwaze mnaona ndoa yatimiza miaka 40 kumbe kila mtu ana yake.Sio Kweli by the way Brad Pitt alimpenda Angelina Kwa hali zote kipind Angelina ame survive Breast Cancer jamaa alikuwa nae all time daah
Heri kuishi na kibabu kuliko mwanaume anayewadhalilisha watoto.