Agelina Jolie kamwaga Brad Pitt kaopoa kibabu upara!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Hawa ndiyo Wanawake bhana, kama ulifikiri unawaelewa, basi hakuna kitu unajua, Angelina Jolie (41) kamwaga one of the most attractive Whitemen Brad Pitt (52) na sasa kaopoa kibabu chenye upara ktk nchini Uingereza, kijulikanacho kama William Hague nasikia ni Mwanasiasa huko nchini Uingereza!

Sasa utajiuliza hiki kibabu kina nini ambacho Brad Pitt hana? Go figure! Hao ndiyo mademuuuuuz!

2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Angelina Jolie na Kibabu chake kipya kiitwacho William Hague!

2,w=649,q=high,c=0.bild.jpg
 
Sio Kweli by the way Brad Pitt alimpenda Angelina Kwa hali zote kipind Angelina ame survive Breast Cancer jamaa alikuwa nae all time daah
 
You will never understand them ..but at least kibabu kina muda....,maana Angelie Kama ni sex at that age kashaenyoy Kwa takribani Miaka 25 ya active sex ...SASA anataka attention ambayo Kwa vijana hawezi kuipita wala muda
 
Una uhakika au kisa wamepiga picha pamoja
Huyo ni William Hague, Foreign Secretary wa zamani wa UK. Hiyo picha kama vile Jolie alikuwa kwenye kazi zake za kibalozi.

William Hague - Wikipedia, the free encyclopedia

220px-William_Hague_Foreign_Secretary_%282010%29.jpg


First Secretary of State
In office

12 May 2010 – 8 May 2015
Prime Minister David Cameron
Preceded by The Lord Mandelson
Succeeded by George Osborne
Leader of the House of Commons
In office

15 July 2014 – 8 May 2015
Prime Minister David Cameron
Deputy Tom Brake
Preceded by Andrew Lansley
Succeeded by Chris Grayling
Secretary of State for Foreign and Commonwealth Affairs
In office

12 May 2010 – 14 July 2014
Prime Minister David Cameron
Preceded by David Miliband
Succeeded by Philip Hammond
Senior Member of the Shadow Cabinet
In office

8 December 2005 – 11 May 2010
Leader David Cameron
Preceded by Michael Ancram (Deputy Leader of the Opposition)
Succeeded by Jack Straw (Shadow Deputy Prime Minister)
Shadow Foreign Secretary
In office

6 December 2005 – 11 May 2010
Leader David Cameron
Preceded by Liam Fox
Succeeded by David Miliband
Leader of the Opposition
In office

19 June 1997 – 13 September 2001
Monarch Elizabeth II
 
Mleta mada kama huyu ni Wa kula ban ya maisha.... Jitu limekurupuka linaleta habari za uchochezi.. Shame on ya big boul
 
Back
Top Bottom