Godfrey Sanga amehukumiwa kwenda jela kifungo cha miaka mitano baada ya mahakama kuthibitisha kuwa julai 7 alichinja mbwa wanne na kuwauza katika klabu ya pombe za kienyeji iitwayo TUPENDANE,kijana huyo pia amekiri mbele ya mahakama hiyo ya mkoni njombe kuwa si mara ya kwanza kwake yeye kuuza nyama ya mbwa na mara nyingine huwa anachuna mizoga iliyokufa na kuanza kuichuna ngozi na pia kuuza nyama kilabuni hapo,
sosi:RFA
NB:kama hili limetokea njombe,basi tuwe makini na mahali popote,huyu jamaa hayupo peke yake,niliwah kuleta bandiko hapa kuwa kuna jamaa hapo magomeni alikamatwa kwa tabia ya kuuza kuku waliokufa
sosi:RFA
NB:kama hili limetokea njombe,basi tuwe makini na mahali popote,huyu jamaa hayupo peke yake,niliwah kuleta bandiko hapa kuwa kuna jamaa hapo magomeni alikamatwa kwa tabia ya kuuza kuku waliokufa