nafuatilia uchaguzi wa nigeria kuna maeneo kuna vurugu watu wanauawa, makanisa, misikiti na nyumba za watu zinachomwa, kisa aliyeshindwa hataki kukubali matokeo. kuna mambo mawili. uchaguzi unaweza usiwe huru na haki mtu akapinga matokeo ila pia kuna watu wanapinga tu kwa vile hawakubali kushindwa. naitamani africa itakayokuwa na chaguzi huru na haki na pia watu wastaarabu kama UK nk watakaokubali matokeo. siku hiyo itakuja ni sisi kupambana tu kuhimiza ustaarabu