King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Matusi ya nini mkuu? Subiri KIGOGO awapelekeshe mputa mputa.Alielishwa matango pori nani kati ya hao mataga na wewe usieleweka unasimamia nini?
Hata kushirikisha akili kidogo umeshindwa?
Deni limelipwa then àlielipwa aenda kuweka zuio for what?
Hamna ufahamu ninyi mnabadilishiwa gia angani kwa upuuzi mliojazwa..
Kumbe bora hao ccm na mataga yao wanajielewa na sio wapuuzi nyie.