Afrika Kusini: Mahakama ya Gauteng yaamuru ndege ya Air Tanzania iliyokuwa inashikiliwa nchini humo kuachiwa. Hermanus Steyn akata rufaa

Asalaam!!

Mwishoni mwa mwezi jana zilijaa nderemo hoi hoi vifijo na ulimwende kutoka kwa watanzania "wachache" wakiongozwa na ma 'ring leaders' ambao wakizungumza chochote kijiji chote cha mambumbumbu hufuata, kupost na kurepost....

Ziliibuka shangwe za kila upande kusherehekea kukamatwa kwa ndege yetu ya Airbus Q400 ambapo watu "wachache" walikutana kufungua vizibo kwenye ma bar

Masikitiko yangu wala hayakua kukamatwa kwa ndege yetu..laahasha

Nilisikitika mno kuona kuna mazwazwa ambayo pengine kutokana na utashi wao kua mdogo walidhani ndege iliyokamatwa ni mali ya ukoo wa mzee pombe

Mazwazwa haya hudhani pia inapochafuka Tanzania mbele ya uso wa kimataifa anayechafuka ni "joni" pekee na si watanzania wote

Mazwazwa haya pia hayatambui kwamba vibaraka wachache wanao support na kupigia debe matatizo mbali mbali ya nchi yetu hua wana faida za kiuchumi kutoka kwa mabwana wao ambao ndio wanakua ma class representative wao hapa nchini

Mazwazwa haya pia hayatambui kwamba ma deal haya hutekelezwa na watu wenye ushawishi mkubwa kwa jamii ambao wakitamka neno moja huweza kushawishi mji mzima na njano ikaitwa nyekundu kwa wakati huo huo

Mwisho nitoe wito kwa wale walioshangilia kukamatwa kwa chombo chetu kule sauz wajazane kwa wingi kushangilia ndege yetu itapotua baada ya mahakama ya sauz kufutilia mbali kesi ya beberu stein tena bila gharama zozote

Pia niwaombe muwe wakweli hata kidogo kuuelezea uma kinyume chake kwamba kibabu cha kizungu hakijazulumiwa bali mahakama ya Afrika kusini imetenda haki

Muwe wa kwanza kuifua nchi yenu kwa manufaa yenu na vitukuu vyenu

MAREKANI.....American first

TANZANIA.......Tanzanian first

Ova....
Kwa kifupi ni kwamba Ndege ya Airbus ilinunuliwa kwa matumizi ya Rais wa Tanzania na sio raia wala Air Tanzania, abiria kuitumia ile ndege ni danganya toto tu na ndio maana ilisemwa zitakuja 2 lakini ipo 1 mpaka leo hii,kumbukeni ilimpeleka Rais Chato na ikakaa siku ngapi kule.
 
Mwenye kale kadesa is mgonjwa wa Belgium kuhusu ndege yetu huko South atupie hahahahah. Hawa watu wanajifanya wao ndio wanajua kila kitu.
 
Karibu Nyumbani, bundi wetu tulikumiss, maana kukamatwa kwako Iringa kulikuwa kunahatarisha nafasi yetu kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa.
Kumbe yule Mchungaji ni tapeli, wala hata hukunaswa, ila ulijipozisha baada ya kupewa mkwanja
 
Hivi hawa malofa wanafahamu kwamba mahakama haijapinga uhalali wa deni bali ndege inaachiliwa kutokana na technicalities za kisheria! Na kwamba, deni lipo pale pale!
Kwani kigogo amesemaje kuhusu kulipa deni?
 
Bado

-Kesi ya Lisu
-Uchaguzi serikali za mitaa
-Uchaguzi mkuu

Huku kote serikali inaenda kushinda, wale wa upande wa pili waendelee kula mtori nyama watazikuta chiniiiiii au zisiwepo kabisa gaddemit
 
Ukisoma hukumu yenyewe utaona kuwa imezingatia sheria tu na hoja za kisheria (facts of the law). Nadhani kwa kutumia hukumu hii hii Serikali ifungue kesi ya madai (civil case) dhidi ya Steyn kwa hasara yote iliyosababisha serikail (kama sheria inaruhusu) na kumdai fedha za adhabu na usumbufu mkubwa kwa serikali. Kesi hiyo ifunguliwe mara moja nchini.

Hukumu iko hapa chini:
Hahahhh so
Dai nikudai
Lipa nikulipe
Tutafika kweli??
 
Hiyo Mahakama yakipuuzi kwanini ikubali ombi la kushikilia ndege wakati inajua kabisa kuwa haina uwezo wa kusikiliza kesi?
 
Mahakama ya ndani haina power kusikiliza shauri la kesi ya usumbufu kutokana na shauri lililopelekwa kwenye mahakama ya nje!

Subiri Mkulima Steyn akate rufaa huko huko South Africa, hii ngoma bado mbichi
 
Back
Top Bottom