Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
ABG na GGM wameleta wataalam wa upasuaji nchini kwa ajili ya kuwafanyia upasuaji wagonjwa wa 'mdomo wa sungura' huko kanda ya ziwa (source: TBC Habari).
Tatizo langu ni kurusha hewani wagonjwa wakiwa wanafanyiwa upasuaji, I wonder kama wana ridhaa ya wagonjwa (ambao wengi ni watoto wa chini ya miaka 10) ili kurusha hewani picha kutoka chumba cha upasuaji.
Dhahabu mumeichukua, sawa. Ingawa mnatudanganya na hivyo viupasuaji ambavyo mi-VX ya serikali ingeweza kugharamia, basi heshimuni haki za wagonjwa kwa kujali faragha zao.
Aaaagh!
Tatizo langu ni kurusha hewani wagonjwa wakiwa wanafanyiwa upasuaji, I wonder kama wana ridhaa ya wagonjwa (ambao wengi ni watoto wa chini ya miaka 10) ili kurusha hewani picha kutoka chumba cha upasuaji.
Dhahabu mumeichukua, sawa. Ingawa mnatudanganya na hivyo viupasuaji ambavyo mi-VX ya serikali ingeweza kugharamia, basi heshimuni haki za wagonjwa kwa kujali faragha zao.
Aaaagh!