ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
JF,
Nathubutu kusema kwamba Africa hatukuwa tayari kwa mashindano haya. tumepeleka timu 6 na jana kabla ya game za mwisho nilisema africa haitapitisha timu hata moja kwenye last 16 na hii itakuwa aibu kubwa kwa bara letu.
Wenzetu wanatuzidi katika maandalizi kwa ujumla wake. nidhamu, umakini na ufundi wametuzidi mbali mno. Kila timu ya africa tuliyopeleka ina mapungufu yake na wote macho yetu ni dro kwa ghana dhidi ya Ujerumani, kitu ambacho ni sawa na panya kuamua pambano dhidi ya paka.
Hata kama Ghana itapita last 16 lakini ukweli utabakia palepale kwamba waafrica kwa ujumla hatukujiandaa kwa mashindano haya ambayo kwa mara ya kwanza yamefanyika katika ardhi yetu.
Mkihitaji data za udhaifu wa kiufundi katika kila timu nitawafafanulia.
Nathubutu kusema kwamba Africa hatukuwa tayari kwa mashindano haya. tumepeleka timu 6 na jana kabla ya game za mwisho nilisema africa haitapitisha timu hata moja kwenye last 16 na hii itakuwa aibu kubwa kwa bara letu.
Wenzetu wanatuzidi katika maandalizi kwa ujumla wake. nidhamu, umakini na ufundi wametuzidi mbali mno. Kila timu ya africa tuliyopeleka ina mapungufu yake na wote macho yetu ni dro kwa ghana dhidi ya Ujerumani, kitu ambacho ni sawa na panya kuamua pambano dhidi ya paka.
Hata kama Ghana itapita last 16 lakini ukweli utabakia palepale kwamba waafrica kwa ujumla hatukujiandaa kwa mashindano haya ambayo kwa mara ya kwanza yamefanyika katika ardhi yetu.
Mkihitaji data za udhaifu wa kiufundi katika kila timu nitawafafanulia.