Afisa utumishi wilaya ya Muheza

illegal migrant

JF-Expert Member
Oct 18, 2013
1,277
1,119
heshima kwenu,

Sisi watumishi wa wilaya ya Muheza kulia kwetu ni kitu cha kawaida sana huwa tunashangaa hivi huyu ofisa utumishi hii wilaya ni ya kwake ama ana fanya kazi ya serikali?

kwa kweli naomba mwenye kujua hatua sahihi za kufuata au sehemu ya kuripoti atujulishe tumejaribu kuingia kwenye mtandao wa utumishi sehemu ya malamiko ambapo inabidi u sign up lakini naona kama mtandao haufanyi kazi kifupi ni kwamba huyu mama hataki kuwapandisha watu vyeo kuna watu walianza kazi na ngazi ya vyeti wakajiendeleza mpaka ngazi ya degree lakini bado wanamshahara wa ngazi ya cheti kutokana na unyeti wa taarifa hii nashindwa kuwaandika majina na ushahidi kwani inaweza kuharibu huu uhusiano wa kinafiki tulionao.

cha pili ni kwamba mtu anapo onyesha jitihada za kudai haki au kufuatilia madai yake wiki inayofuata mtu huyo atakuwa na wakati mgumu kwani atamfuatilia na kuhakikisha anamlima barua anaitwa mama mwilongo majibu yake ni ya mkato na ya ukali sasa jamani sisi watanzania tumesoma kwa gharama ili kuisaidia nchi yetu na kujiwezesha kiuchumi halafu serikali inakubali kweli tuichukie nchi yetu kwa ajili ya huyu "malkia" isitoshe tunafanya kazi huku vijiji kwenye mazingira magumu mtu kama mimi nina degree yangu ni mtu wa kulipwa laki mbili na nusu kweli.

mwanzo ilikuwa unapo maliza masomo unapewa barua ya uthibitisho na kupandishwa cheo na ngazi ya mshahara watu lakini inabakia maandishi tu bila utekelezaji ambapo utaongezewa tu majukumu ya kazi bila marekebisho ya mshahara. watu walikuwa wanaenda kulalamika kwa kutumia barua za uthibitisho.

sasa hivi amegundua mbinu mpya ambapo ana kupandisha cheo bila maandishi huwezi kukataa kwa sababu kesho yake hata uki banja kwenye kikao utalimwa barua ya kujieleza eti kwa nini unakuwa msumbufu wakati kikao kinaendelea .

yaani kwa kweli ukisikia mtu ameitwa kwa ofisa utumishi kule bomani lazima arudi na machozi du kweli hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo
 
Kwanini msiandike barua makao makuu ya Utumishi (ingawa ni wamoja kasoro majina na jinsia tu), hafu majina Anornymous mkitoa malalamiko yenu? Ndhani zikifika barua zaidi ya 5 wanaweza ona uzito wa jambo, ulichukulia serikali ipo katika phase ya kujisafisha kwenda 2015 October.

Permanent Secretary,
President's Office - Public Service Management,
P.O Boz 2483,
Dar es salaam,

Tel: +255-22-2118531-4
Fax: +255-22-2125299

Website: Public Service Management
 
Huyu mama namfahamu si alikua mtendaji kata Dar na kweli anajisikia ila matatizo haya yameanza bahada ya burreta kuhama dawa moja handamana ikiwezekana mfungie mlango
 
Hata wa lushoto pia ni tatizo! ni kikwazo sana kwa watumishi..anakwamisha mambo mengi..anajifanya much know..ni mmama pia! kwakua leo anazungumziwa wa muheza niishie hapa.
 
heshima kwenu,

Sisi watumishi wa wilaya ya Muheza kulia kwetu ni kitu cha kawaida sana huwa tunashangaa hivi huyu ofisa utumishi hii wilaya ni ya kwake ama ana fanya kazi ya serikali?

kwa kweli naomba mwenye kujua hatua sahihi za kufuata au sehemu ya kuripoti atujulishe tumejaribu kuingia kwenye mtandao wa utumishi sehemu ya malamiko ambapo inabidi u sign up lakini naona kama mtandao haufanyi kazi kifupi ni kwamba huyu mama hataki kuwapandisha watu vyeo kuna watu walianza kazi na ngazi ya vyeti wakajiendeleza mpaka ngazi ya degree lakini bado wanamshahara wa ngazi ya cheti kutokana na unyeti wa taarifa hii nashindwa kuwaandika majina na ushahidi kwani inaweza kuharibu huu uhusiano wa kinafiki tulionao.

cha pili ni kwamba mtu anapo onyesha jitihada za kudai haki au kufuatilia madai yake wiki inayofuata mtu huyo atakuwa na wakati mgumu kwani atamfuatilia na kuhakikisha anamlima barua anaitwa mama mwilongo majibu yake ni ya mkato na ya ukali sasa jamani sisi watanzania tumesoma kwa gharama ili kuisaidia nchi yetu na kujiwezesha kiuchumi halafu serikali inakubali kweli tuichukie nchi yetu kwa ajili ya huyu "malkia" isitoshe tunafanya kazi huku vijiji kwenye mazingira magumu mtu kama mimi nina degree yangu ni mtu wa kulipwa laki mbili na nusu kweli.

mwanzo ilikuwa unapo maliza masomo unapewa barua ya uthibitisho na kupandishwa cheo na ngazi ya mshahara watu lakini inabakia maandishi tu bila utekelezaji ambapo utaongezewa tu majukumu ya kazi bila marekebisho ya mshahara. watu walikuwa wanaenda kulalamika kwa kutumia barua za uthibitisho.

sasa hivi amegundua mbinu mpya ambapo ana kupandisha cheo bila maandishi huwezi kukataa kwa sababu kesho yake hata uki banja kwenye kikao utalimwa barua ya kujieleza eti kwa nini unakuwa msumbufu wakati kikao kinaendelea .

yaani kwa kweli ukisikia mtu ameitwa kwa ofisa utumishi kule bomani lazima arudi na machozi du kweli hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo
Pole sana Mfanyakazi wa Umma kwa usumbufu unaoupata. Jaribu ushauri alioutoa mdau kwenye post # 2. Huyo Mama atashughulikiwa Kama walivyoshughulikiwa hao wanaojifanya MIUNGU watu kwenye ofisi za Umma. Afisa Utumishi wa wilaya ni mtu mdogo sana wa kufanya hayo anayofanya na kuhujumu Umma. Atashughulikiwa. Fuata hizo taratibu,kwa kuwa umeleta hii taarifa hapa JF nakuahidi kilio chako na wengine kitasikika. Usisahau kurudi hapa kutupa mrejesho wa yatakayojiri.
 
Nakuunga mkono Barot69

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
kweli jamani. au inawezekana mkurugenzi anashirikiana na huyu mama mwilongo kula hutu tu hela twetu nini? kwa sababu sharia ya utumishi wa umma ya mwaka 2002 inasema kwamba mwenye jukumu la kumfanyia mtumishi marekebisho ya cheo ni mwajiri nakumbuka kuna mtu mmoja alijitoa muhanga na akapeleka malalamiko yake ya kwa mkurugenzi bila mafanikio kisha akaamua kuandika barua utumishi baada ya siku chache mwenzetu alilimwa barua ya onyo kwa kutofuata utaratibu kweli ni mateso matupu
 
Kwanini msiandike barua makao makuu ya Utumishi (ingawa ni wamoja kasoro majina na jinsia tu), hafu majina Anornymous mkitoa malalamiko yenu? Ndhani zikifika barua zaidi ya 5 wanaweza ona uzito wa jambo, ulichukulia serikali ipo katika phase ya kujisafisha kwenda 2015 October.

Permanent Secretary,
President's Office - Public Service Management,
P.O Boz 2483,
Dar es salaam,

Tel: +255-22-2118531-4
Fax: +255-22-2125299

Website: Public Service Management

secret service well said, mtoa mada kazi kwako!!
 
Last edited by a moderator:
heshima kwenu,

Sisi watumishi wa wilaya ya Muheza kulia kwetu ni kitu cha kawaida sana huwa tunashangaa hivi huyu ofisa utumishi hii wilaya ni ya kwake ama ana fanya kazi ya serikali?

kwa kweli naomba mwenye kujua hatua sahihi za kufuata au sehemu ya kuripoti atujulishe tumejaribu kuingia kwenye mtandao wa utumishi sehemu ya malamiko ambapo inabidi u sign up lakini naona kama mtandao haufanyi kazi kifupi ni kwamba huyu mama hataki kuwapandisha watu vyeo kuna watu walianza kazi na ngazi ya vyeti wakajiendeleza mpaka ngazi ya degree lakini bado wanamshahara wa ngazi ya cheti kutokana na unyeti wa taarifa hii nashindwa kuwaandika majina na ushahidi kwani inaweza kuharibu huu uhusiano wa kinafiki tulionao.

cha pili ni kwamba mtu anapo onyesha jitihada za kudai haki au kufuatilia madai yake wiki inayofuata mtu huyo atakuwa na wakati mgumu kwani atamfuatilia na kuhakikisha anamlima barua anaitwa mama mwilongo majibu yake ni ya mkato na ya ukali sasa jamani sisi watanzania tumesoma kwa gharama ili kuisaidia nchi yetu na kujiwezesha kiuchumi halafu serikali inakubali kweli tuichukie nchi yetu kwa ajili ya huyu "malkia" isitoshe tunafanya kazi huku vijiji kwenye mazingira magumu mtu kama mimi nina degree yangu ni mtu wa kulipwa laki mbili na nusu kweli.

mwanzo ilikuwa unapo maliza masomo unapewa barua ya uthibitisho na kupandishwa cheo na ngazi ya mshahara watu lakini inabakia maandishi tu bila utekelezaji ambapo utaongezewa tu majukumu ya kazi bila marekebisho ya mshahara. watu walikuwa wanaenda kulalamika kwa kutumia barua za uthibitisho.

sasa hivi amegundua mbinu mpya ambapo ana kupandisha cheo bila maandishi huwezi kukataa kwa sababu kesho yake hata uki banja kwenye kikao utalimwa barua ya kujieleza eti kwa nini unakuwa msumbufu wakati kikao kinaendelea .

yaani kwa kweli ukisikia mtu ameitwa kwa ofisa utumishi kule bomani lazima arudi na machozi du kweli hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo

ok tutafuatilia
 
Ujue hapa wewe mtoa mada ni anonymous. Andika majina yake matatu au mawili na simu yake na kesho j3 asubuhi umcheki utaona mabadiliko makubwa. Kwa mtandao huu Kapuya amelazimika kukwea pipa. kama una picha yake iweke.
 
Nipigie Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Rais,Utumishi 0713961860 Chialo










heshima kwenu,

Sisi watumishi wa wilaya ya Muheza kulia kwetu ni kitu cha kawaida sana huwa tunashangaa hivi huyu ofisa utumishi hii wilaya ni ya kwake ama ana fanya kazi ya serikali?

kwa kweli naomba mwenye kujua hatua sahihi za kufuata au sehemu ya kuripoti atujulishe tumejaribu kuingia kwenye mtandao wa utumishi sehemu ya malamiko ambapo inabidi u sign up lakini naona kama mtandao haufanyi kazi kifupi ni kwamba huyu mama hataki kuwapandisha watu vyeo kuna watu walianza kazi na ngazi ya vyeti wakajiendeleza mpaka ngazi ya degree lakini bado wanamshahara wa ngazi ya cheti kutokana na unyeti wa taarifa hii nashindwa kuwaandika majina na ushahidi kwani inaweza kuharibu huu uhusiano wa kinafiki tulionao.

cha pili ni kwamba mtu anapo onyesha jitihada za kudai haki au kufuatilia madai yake wiki inayofuata mtu huyo atakuwa na wakati mgumu kwani atamfuatilia na kuhakikisha anamlima barua anaitwa mama mwilongo majibu yake ni ya mkato na ya ukali sasa jamani sisi watanzania tumesoma kwa gharama ili kuisaidia nchi yetu na kujiwezesha kiuchumi halafu serikali inakubali kweli tuichukie nchi yetu kwa ajili ya huyu "malkia" isitoshe tunafanya kazi huku vijiji kwenye mazingira magumu mtu kama mimi nina degree yangu ni mtu wa kulipwa laki mbili na nusu kweli.

mwanzo ilikuwa unapo maliza masomo unapewa barua ya uthibitisho na kupandishwa cheo na ngazi ya mshahara watu lakini inabakia maandishi tu bila utekelezaji ambapo utaongezewa tu majukumu ya kazi bila marekebisho ya mshahara. watu walikuwa wanaenda kulalamika kwa kutumia barua za uthibitisho.

sasa hivi amegundua mbinu mpya ambapo ana kupandisha cheo bila maandishi huwezi kukataa kwa sababu kesho yake hata uki banja kwenye kikao utalimwa barua ya kujieleza eti kwa nini unakuwa msumbufu wakati kikao kinaendelea .

yaani kwa kweli ukisikia mtu ameitwa kwa ofisa utumishi kule bomani lazima arudi na machozi du kweli hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo
 
kweli jamii forums is the home of great thinkers mkuu asante nitafanya kama ulivyoniagiza kwenye simu naamini mabadiliko chanya yataonekana kwa manufaa ya wote
 
leo nimerudi hapa kutoa mrejesho baada ya kuweka post kutoa malalamiko jinsi afisa utumishi wetu anavyotufanyia, nilipata simu mbali mbali na ushauri jinsi ya kufanya huyu mama utumishi wilaya ya muheza amehamishwa asanteni sana home of the great thinkers hope utumishi haitatuletea "mzigo" mwingine pamoja sana muhesimiwa chialo asante
 
Duh! Kweli jf ni kiboko. Ukiondoa mambo ya uccm na ucdm hii kitu idumu milele!
 
Safi sana, ofisi nying sana za uuma kuna watu wanajifanya miungu-watu na kunyanyasa watumishi wenzao. Hata Tanga jiji ni vizuri sana wale maafisa utumishi wadogo wakahamishwa pale maana wanakwamisaha mambo meng sana ya kutatua matatizo ya watumishi wa hapa jiji. Yule afsa utumishi mkuu hana tatizo lakin wale wanaokaa kwenye kitengo cha mishahara wana kauli chafu sana na hawapo kwajil ya kusaidia watu
 
Back
Top Bottom