Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
Jana waandishi wa habari mkoani Arusha walimkataa Afisa habari wa mkuu wa mkoa , Yotam Ndembeka,mbele ya bosi wake Magesa Mulongo, wakidai ni mbinafsi mbaguzi,mwenye majungu na hafai kuwa afisa habari wa mkoa na kumtaka mkuu wa mkoa amwajibishe kabla hawajatoa tamko la kususia kuandika habari za mkoa wa Arusha.