Afisa Ardhi huyu ni hatari sana

Mantisa

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
322
236
Nimepata taarifa kuwa aliyekuwa afisa ardhi wilaya ya Meru bwana Hilu mwenyeji wa mbulu, amehamia wilaya ya Kinondoni.

Mtu huyu ni hatari sana na ni tapeli mkubwa. Amekuwa akijikusanyia mali kwa njia ya udanganyifu kwa kugawa viwanja mara mbili mbili na pia kugawa viwanja sehemu ambako kisheria hakustahili kugawa viwanja.

Mtu huyu ana uhusiano mkubwa sana na EL na ndo master planner wa viwanja vingi anavyomiliki mheshimiwa EL Arusha, Monduli na hata Mbulu.

Ndugu zangu wa Kinondoni kuweni naye makini sana atawatapeli na kokote mtakako kwenda mtazungushwa tu maana ana mkono wa wakubwa
 
Hilu hatoki Wilaya ya Mbulu. Hata kama una chuki binafsi Kafanye utafiti zaidi.
 
Binafsi huwa ninaamini kuwa mara zote nguvu ya mnyanyasaji, kunyanyasa hutoka kwa mnyanyaswaji,,,
Kama mtu alishawahi kukudhulumu haki yako ukakaa kimya kwa madai kuwa ana mkono wa wakubwa basi usishangae siku nyingine akaja kukunyang'anya haki yako nyingine kwa kuwa tayari anafahamu kwamba hakuna utakalomfanya. Hivyo basi, mkuu, kama una ushaidi na unachokisema tafuta wakili yeyote mpe tenda pamoja na vithibitisho vyote mwambie aingie kazini. Wala huna haja ya kujisumbua, akikubali kuchukua tenda unampa condition kuwa ukishinda kesi unampa 50% ya fidia utakayolipwa, akishindwa basi, unatafuta ustaarabu mwingine.

Hivi mtu atakunyang'anya vipi haki yako halafu unakaa kimya Bana?
Kama kuna watu wanamlinda kisheria basi mfanyie kitu mbaya physically, mikuki na manati zipo zimejaa tele, wamachinga wanatembeza kila siku mitaani.
 
Binafsi huwa ninaamini kuwa mara zote nguvu ya mnyanyasaji, kunyanyasa hutoka kwa mnyanyaswaji,,,
Kama mtu alishawahi kukudhulumu haki yako ukakaa kimya kwa madai kuwa ana mkono wa wakubwa basi usishangae siku nyingine akaja kukunyang'anya haki yako nyingine kwa kuwa tayari anafahamu kwamba hakuna utakalomfanya. Hivyo basi, mkuu, kama una ushaidi na unachokisema tafuta wakili yeyote mpe tenda pamoja na vithibitisho vyote mwambie aingie kazini. Wala huna haja ya kujisumbua, akikubali kuchukua tenda unampa condition kuwa ukishinda kesi unampa 50% ya fidia utakayolipwa, akishindwa basi, unatafuta ustaarabu mwingine.

Hivi mtu atakunyang'anya vipi haki yako halafu unakaa kimya Bana?
Kama kuna watu wanamlinda kisheria basi mfanyie kitu mbaya physically, mikuki na manati zipo zimejaa tele, wamachinga wanatembeza kila siku mitaani.
Partly YES .......partly NO
 
Hilu hatoki Wilaya ya Mbulu. Hata kama una chuki binafsi Kafanye utafiti zaidi.

Hizi si chuki binafsi, huyu mbona tapeli. Mkuu jaribu kufuatilia hapo Arumeru mpaka wafanyakazi wenzake wamempa hela na viwanja hajawapa mpaka anaondoka na kuna wengine alowapa kawapa mtoni ambako wamekatazwa kujenga. Jamaa huyu in short ni tapeli ba kama wewe unamjua sana mkuu basi humjui in another side of the coin. Jitahidi umjue zaid
 
Binafsi huwa ninaamini kuwa mara zote nguvu ya mnyanyasaji, kunyanyasa hutoka kwa mnyanyaswaji,,,
Kama mtu alishawahi kukudhulumu haki yako ukakaa kimya kwa madai kuwa ana mkono wa wakubwa basi usishangae siku nyingine akaja kukunyang'anya haki yako nyingine kwa kuwa tayari anafahamu kwamba hakuna utakalomfanya. Hivyo basi, mkuu, kama una ushaidi na unachokisema tafuta wakili yeyote mpe tenda pamoja na vithibitisho vyote mwambie aingie kazini. Wala huna haja ya kujisumbua, akikubali kuchukua tenda unampa condition kuwa ukishinda kesi unampa 50% ya fidia utakayolipwa, akishindwa basi, unatafuta ustaarabu mwingine.

Hivi mtu atakunyang'anya vipi haki yako halafu unakaa kimya Bana?
Kama kuna watu wanamlinda kisheria basi mfanyie kitu mbaya physically, mikuki na manati zipo zimejaa tele, wamachinga wanatembeza kila siku mitaani.

Mkuu mimi nina ndugu yangu kabisa aliuziwa kiwanja na huyo jamaa since 2006 mpaka leo sound. Na document zote anazo mpaka building permit. Mara wamwambie sijui kuna kesi mahakamani, mara kiko ndani ya chanzo cha mto. Imagine since 2006 mpaka leo hajajenga. Na si mmoja tu wako wengi. Huyu jaamaa ni kweli amna mkono wa wakubwa na ndo maana wakurugenzi wote wanamshindwaga. Anakujaga job muda anaotaka na hata kama ukienda kwa mkurugenzi kulalamika anakuomba urudi mkamalizane na yeye anakwambia tu nakutafutia kingine. Yaani sound tu


Jamaa alijaribu kutafuta mawakili akakuta kama wawili walishagawiwa viwanja na huyo jamaa so wanaogopa kumburuza mahakamani. Ila huyu kijana ana document zote kama kuna wakili anayeweza tetea wanyonge wakuu nitawaomba mumsaidie maana keshasubiri sana
 
Binafsi huwa ninaamini kuwa mara zote nguvu ya mnyanyasaji, kunyanyasa hutoka kwa mnyanyaswaji,,,
Kama mtu alishawahi kukudhulumu haki yako ukakaa kimya kwa madai kuwa ana mkono wa wakubwa basi usishangae siku nyingine akaja kukunyang'anya haki yako nyingine kwa kuwa tayari anafahamu kwamba hakuna utakalomfanya. Hivyo basi, mkuu, kama una ushaidi na unachokisema tafuta wakili yeyote mpe tenda pamoja na vithibitisho vyote mwambie aingie kazini. Wala huna haja ya kujisumbua, akikubali kuchukua tenda unampa condition kuwa ukishinda kesi unampa 50% ya fidia utakayolipwa, akishindwa basi, unatafuta ustaarabu mwingine.

Hivi mtu atakunyang'anya vipi haki yako halafu unakaa kimya Bana?
Kama kuna watu wanamlinda kisheria basi mfanyie kitu mbaya physically, mikuki na manati zipo zimejaa tele, wamachinga wanatembeza kila siku mitaani.
mkuu umepotea sana
 
Mtu huyu ana uhusiano mkubwa sana na EL na ndo master planner wa viwanja vingi anavyomiliki mheshimiwa EL Arusha, Monduli na hata Mbulu.


Usijali wamemvuta aende karibu nao ili wakamchunguze vema
 
Back
Top Bottom