King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,636
Upo poa sana ndio nasikiliza interview yake na Michael Baruti na Zembwela.
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Upo poa sana ndio nasikiliza interview yake na Michael Baruti na Zembwela.
Nawasilisha.
kaimba nini humo ndani...nimemsikia mchana anawaponda wabana pua
yupo chanal 5 ana mdiss chidi benz na tanesco wanachua umeme wao naomba update pleasesele namkubali ila sometimes anakosea sana, sasa
anamponda J Makini anategemea nini???????
napata shaka kama ile darubini kali alitunga yeye, kwani kusema
'wachukua tuzo wanavuja kama fistula' ye katafsiri vipi???
kwa tafsiri yangu mi nadhani makini alimaanisha kuna watu wanapewa tuzo
ila hawstahili ndo maana baada ya siku tatu, nne hawako tena kwenye
vyombo vya habari na wameshapoteza mwelekeo, thats it, wacheki akina j4
iddi walopewa hadi gari,wako wapi sasa???????
kiupande flani mnyama leo dizain hivi kachemka ila namkubali
sana
yupo chanal 5 ana mdiss chidi benz na tanesco wanachua umeme wao naomba update please
ah! Hemed PHD!!!! lazima uibuke wabana pua wakitajwa!anakosea kuwaponda watu ambao nyimbo zao ndo zinabamba!