mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,360
- 107,112
Anapoteza tu muda wake na nguvu zake sele hata abood akisimamisha koti lake tu kupambana na sele, wananchi watamchagua aboodsele yupo morogoro mjini anapambana na Abood
Anapoteza tu muda wake na nguvu zake sele hata abood akisimamisha koti lake tu kupambana na sele, wananchi watamchagua aboodsele yupo morogoro mjini anapambana na Abood
Amuulize ZZK, wapi ilipo Kigoma all Stars?
Huyu kweli kichwani kweupe. Hivi Sugu alipelekwa bungeni na wasanii?!Huyu hata nguo pale jukwaani hakuvua kwa BAHATI MBAYA....akili hamna humo vumbi tupu afu nmemuona leo kwenye funcargo ukimuona KAMA MTUU..
Dhamana lawama! hata angeingia yeye asingeweza kuzikwepa haziepukiki! Sema kidogo na Sugu alisahau alikotoka alikuwa na uwezo wa kumobilize vitu fulan hivi na ku push forwad vifanyiwe kazi na wenzie waone kuwa jamaa anakumbuka alikotoka! wanashida nyingi sio za hela supervisions na hatimiliki! sheria haziwalindi Sugu + Basata angeweza kufanya kitu!
. Kwa mfano mlitaka afanye nini ili tuwe na mtazamo kama wako?Ingawa mwenyewe anasema yeye ni mbunge wa Mbeya na sio mbunge wa wasanii ni kweli, lakini pia kama unalivyoandika mkuu, ni kweli bwana Sugu alijisahau na akuonesha hata kukumbuka kule alipotoka i mean kwenye maisha ya kimuziki.
Kwani Afande Sele anayajua majukumu ya Mbunge dhidi ya serikali.!
Wananitaa sugu wananiiiuta sugu sugu sugu....