Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Hii ni kwa taarifa tu
Ndugu zanguni ukiona mwenzako ananyolewa tia maji
askari wa kituo cha polisi changombe wamekuwa wakishirrki
zoezi la kukodisha silaaha kwa majambazi na wengine hushirki
kabisa wakihakikishiwa usalama wao na masterling wa shuguli
kimara korgwe kuna askari majuzi tu aliwaacha watu hoi mida ya sa kuminambili asbh;pale alipokuja sehemu ya vinywaji yuko hoi chakali
baada ya muda uwezi ukaamini akaj mwenzake akiwa na silaha na kuuliza
silaha ikwapi akadai samson anamletea;wakiwa mazungumzo mwenzake
akahisi kuna mtu anaewafahamu akamnongoneza muda wa kurudisha silaha
akamwambia awezi kwenda mpaka aletewe silaaha yake;nilijaribu kuchungulia
nama zao za kitapeli akuwa ameeninginiza,...hatari zana baada ya muda ikaja
mark 2 ikiwa na mtu kavaa kiraia akamletea silaha na mfuko wa bahasha kubwa aikjulikaana maana jamaa awakukaa hata dk 10,
hatari sana kuona watu tunaowaamini na kuwpa dhamana usiku wakitutenda hivi kwa kuwapa watu sialaha wakiwa lindoni
Ndugu zanguni ukiona mwenzako ananyolewa tia maji
askari wa kituo cha polisi changombe wamekuwa wakishirrki
zoezi la kukodisha silaaha kwa majambazi na wengine hushirki
kabisa wakihakikishiwa usalama wao na masterling wa shuguli
kimara korgwe kuna askari majuzi tu aliwaacha watu hoi mida ya sa kuminambili asbh;pale alipokuja sehemu ya vinywaji yuko hoi chakali
baada ya muda uwezi ukaamini akaj mwenzake akiwa na silaha na kuuliza
silaha ikwapi akadai samson anamletea;wakiwa mazungumzo mwenzake
akahisi kuna mtu anaewafahamu akamnongoneza muda wa kurudisha silaha
akamwambia awezi kwenda mpaka aletewe silaaha yake;nilijaribu kuchungulia
nama zao za kitapeli akuwa ameeninginiza,...hatari zana baada ya muda ikaja
mark 2 ikiwa na mtu kavaa kiraia akamletea silaha na mfuko wa bahasha kubwa aikjulikaana maana jamaa awakukaa hata dk 10,
hatari sana kuona watu tunaowaamini na kuwpa dhamana usiku wakitutenda hivi kwa kuwapa watu sialaha wakiwa lindoni