Nimesoma. Ila nimekausha tu namsubiria binti nijue nia yake nini.
lol try me!
Nimesoma. Ila nimekausha tu namsubiria binti nijue nia yake nini.
yeah am so great.karibu bia hapa
angalau maana nisije nikapewa talaka mwanzo tu
Hajaniambia. Ila nimemwambia mapema mimi ni Superman. Sijui kama analielewa hilo.
Babu Mzima,
Hofu ni kwako unayeshika shika tumbo na.....mbele za watu!!! (inabidi ukae mbali na akina Kongosho na Supermen)!!!!!!
Kwema lakini??
Babu DC!!
Wamekaushwa na kutiwa ndimu. Angalia vizuri.
Mmhh! Ngoja nivae miwani nisome vizuri . . .
Umesema nani?
Malizia basi . . .
Asante Kaby. . . Ila mi nichukulie fanta baridiiiiiii!!