Adult Talks 3: True Love Is Rare, but Exist. Just Know When To Quit Your Nonsense Lifestyle

Analyse

JF-Expert Member
Jan 19, 2014
16,488
41,634
Kwenye mahusiano Kila mtu ana mtindo wake wa kuyaendesha. Kuna ambae ni playboy, hana muda wa kusettle na mwanamke kwa muda mrefu, anapiga na kuacha. Kuna dada ambae ameamua kuwa mdangaji, yupo kimaslahi zaidi, yeye ni kutengeneza pesa kupitia mwili wake. But all in all huwezi kuwa Playboy au mdangaji maisha Yako yote, itafika siku utahitaji kutulia ili uanzishe familia.

Hapo kwenye timing ndio wengi tunakosea sana. Yupo anayesubiria afikishe umri Fulani ndo aache uplayboy then atafute mke aoe, yupo anayefikiria kutimiza malengo fulani au kupata kiwango Fulani cha Hela then ndo aache udangaji. On my opinion, that is totally wrong, regardless of age or wealth, quit when a right person enters your life. Kuna muda unakuwa katika mahusiano na mtu ambae Yuko very decent and loves you unconditionally, ila kwa kutotambua huwa tunawachukulia poa then tunawatreat vibaya for the sake of our life styles. Then kikifika kipindi tunachoamua kutulia, tunaanza kuwa busy kutafuta right person wa kusettle nae bila kukumbuka alishakuwepo ila hakupewa attention. Kwa ufupi tunaenda mbele kumtafuta mtu ambae tulimuacha nyuma, na hapo ndo Kila unayekutana nae, hola, Kila unapotaka kutulia unaona ni kivuruge. Unaanza kuhisi umerogwa usiolewe/usioe kumbe ulijiroga mwenyewe. Kuna muda unatafuta mchawi wa maisha yako, kumbe mchawi ni wewe.

Unajua Nini huwa kinafatia? After heartbreak nyingi, ndo mtu akitulia anamkumbuka yule ex wa miaka ileee. Hapo atafanya Kila njia kumtafuta au kutafuta mawasiliano yake walau aone kama anaweza kurepair alipoharibu. Bahati mbaya huyo ex alishamove on, ila kwavile binadamu tumeumbwa na ubinafsi, unapogundua alishakusahau na anafurahia mahusiano yake ya sasa, wewe unaanza kutafuta namna ya kumfanya akurudie bila kumjali aliyenae kipindi hicho. Kwa kuitafuta furaha yako, unaamua kuharibu furaha ya wengine. Kwa kutafuta amani ya moyo wako, unaamua kuwaondolea wengine amani. Kwa kutafuta mtu wa kusettle nae katika maisha, unaamua kuidisturb happy couple.

My message to you guys, know when to quit your nonsense life style. It's not about age or wealth, ITS ALL ABOUT THE RIGHT PERSON. Once you find him/her drop everything else and build together. Life itself is too hard, do not add a complicated relationship on top of it.



Until Next Time,


Regards,

Analyse

images%20(3).jpg
 
Binadamu tumekuwa wabinafsi sanaa, kiasi kwamba tunasahau kuwa tunategemeana. Upendo(mapenzi) unabeba sehemu kubwa ya maisha ya mwanadamu maana ndio unaoleta uhai mpya duniani.

Hizi mada zinakosa wachangiaji wengi kwakuwa zinagusa uhalisia wetu kwa sehemu kubwa. Asante kwa mada nzuri.

Vijana mnaongia kwenye mahusiano,usimfanyie mwenzio kilee usichopenda wewe kufanyiwa vise versa is true.
 
Sasa hivi muda wa kulana tuu, kula hela yangu na mimi nikutafune, ukiona nimekaa sana na wewe ujue ni efforts zako (ke), yani somehow upo extraordinary sipendi ku hold future wives wa watu kwa muda mrefu kwenye mahusiano yasio na hisia
 
Binadamu tumekuwa wabinafsi sanaa,kiasi kwamba tunasahau kuwa tunategemeana. Upendo(mapenzi) unabeba sehemu kubwa ya maisha ya mwanadamu maana ndio unaoleta uhai mpya duniani.

Hizi mada zinakosa wachangiaji wengi kwakuwa zinagusa uhalisia wetu kwa sehemu kubwa. Asante kwa mada nzuri.

Vijana mnaongia kwenye mahusiano,usimfanyie mwenzio kilee usichopenda wewe kufanyiwa vise versa is true.

Well said chief. True love linahitaji efforts za pande zote mbili. Kila mmoja ajitoe kwa ajili ya mwingine, Kila mmoja aone umuhimu wa mwenzake
 
Sasa hivi muda wa kulana tuu, kula hela yangu na mimi nikutafune, ukiona nimekaa sana na wewe ujue ni efforts zako (ke), yani somehow upo extraordinary sipendi ku hold future wives wa watu kwa muda mrefu kwenye mahusiano yasio na hisia
Kwasasa mtazamo wako unashabihiana na life style Yako, ila with time hivi vyote utaona having tena mantiki, utahitaji kusettle down
 
Kwenye mahusiano Kila mtu ana mtindo wake wa kuyaendesha. Kuna ambae ni playboy, hana muda wa kusettle na mwanamke kwa muda mrefu, anapiga na kuacha. Kuna dada ambae ameamua kuwa mdangaji, yupo kimaslahi zaidi, yeye ni kutengeneza pesa kupitia mwili wake. But all in all huwezi kuwa Playboy au mdangaji maisha Yako yote, itafika siku utahitaji kutulia ili uanzishe familia.

Hapo kwenye timing ndio wengi tunakosea sana. Yupo anayesubiria afikishe umri Fulani ndo aache uplayboy then atafute mke aoe, yupo anayefikiria kutimiza malengo fulani au kupata kiwango Fulani cha Hela then ndo aache udangaji. On my opinion, that is totally wrong, regardless of age or wealth, quit when a right person enters your life. Kuna muda unakuwa katika mahusiano na mtu ambae Yuko very decent and loves you unconditionally, ila kwa kutotambua huwa tunawachukulia poa then tunawatreat vibaya for the sake of our life styles. Then kikifika kipindi tunachoamua kutulia, tunaanza kuwa busy kutafuta right person wa kusettle nae bila kukumbuka alishakuwepo ila hakupewa attention. Kwa ufupi tunaenda mbele kumtafuta mtu ambae tulimuacha nyuma, na hapo ndo Kila unayekutana nae, hola, Kila unapotaka kutulia unaona ni kivuruge. Unaanza kuhisi umerogwa usiolewe/usioe kumbe ulijiroga mwenyewe. Kuna muda unatafuta mchawi wa maisha yako, kumbe mchawi ni wewe.

Unajua Nini huwa kinafatia? After heartbreak nyingi, ndo mtu akitulia anamkumbuka yule ex wa miaka ileee. Hapo atafanya Kila njia kumtafuta au kutafuta mawasiliano yake walau aone kama anaweza kurepair alipoharibu. Bahati mbaya huyo ex alishamove on, ila kwavile binadamu tumeumbwa na ubinafsi, unapogundua alishakusahau na anafurahia mahusiano yake ya sasa, wewe unaanza kutafuta namna ya kumfanya akurudie bila kumjali aliyenae kipindi hicho. Kwa kuitafuta furaha yako, unaamua kuharibu furaha ya wengine. Kwa kutafuta amani ya moyo wako, unaamua kuwaondolea wengine amani. Kwa kutafuta mtu wa kusettle nae katika maisha, unaamua kuidisturb happy couple.

My message to you guys, know when to quit your nonsense life style. It's not about age or wealth, ITS ALL ABOUT THE RIGHT PERSON. Once you find him/her drop everything else and build together. Life itself is too hard, do not add a complicated relationship on top of it.



Until Next Time,


Regards,

Analyse

View attachment 2300397
Mkuu hii thread kwa 70% imenigusa.

Much respect
 
Maybe if you dont possess a lifestyle, ukiwa unaprovide FUN mwanamke hawezi kumove on nevertheless you're a playboy, Women dont like losers. Hakuna nonsense lifestyle to a man, life of a man it's about success, achievement & memories not otherwise.

U can have money and still be a loser. Broh unajiongopea kusema ukiwa unaprovide fun mwanamke hawezi kumove on, unajiongopea sana, tena sana.

Success, achievement and memories hiyo ni general life la mwanadamu na sio mwanaume peke yake.

Na kuhusu nonsense life style najua umeelewa my point of view, that's why at some point in life kuna regrets, japo tunajaribugi kuziignore
 
Nakazia hapa
Binadamu tumekuwa wabinafsi sanaa,kiasi kwamba tunasahau kuwa tunategemeana. Upendo(mapenzi) unabeba sehemu kubwa ya maisha ya mwanadamu maana ndio unaoleta uhai mpya duniani.

Hizi mada zinakosa wachangiaji wengi kwakuwa zinagusa uhalisia wetu kwa sehemu kubwa. Asante kwa mada nzuri.

Vijana mnaongia kwenye mahusiano,usimfanyie mwenzio kilee usichopenda wewe kufanyiwa vise versa is true.
Nakazia hapa
 
Sijui tuseme ni shetani kwani unaweza ukafika muda unahitaji mwenza wa maisha KE asiwe tayari hivyo hvyo Kwa ME nae KE asiwe tayari mi nachokiona ni Mungu ndo anapanga maisha ya mtu in general

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Na icho ndio ninachoongelea Mimi. Majority don't know where to quit. Unakuta upo kwenye mahusiano yaliyotulia na Yako vizuri, ila unayopotezea for the sake of lifestyle
 
Back
Top Bottom