Adhabu kubwa kabisa utakayompa mumeo kwa kufanya mapenzi na mdogo wako ukiwa mjamzito?

Atakuwa amekumbwa na JINI MAHABA huyo.............Inabidi apeleke kwa mtaalamu................LOL
 
mdogo wa kuzaliwa au wa ku-adopt???
Mmmh, wa kuzaliwa ni kuondoka tu.
 
Asamehewi mtu, nabeba ndundu zangu tutakuna mahakamani nijue vipi ataleta matumizi ya mtoto. Hiyo samehe samehe inafanyika kuonekana kucheat its OK thing.
ngoja nikuambie ukimsamehe kwa hili kwanza mwenyewe hato aimini coz lazma atakuwa anajua utamwacha au ndo hivyo mahakaman,Nakuhakikishia atakuheshimu na kuwa mwaminifu kuanzia hapo kama alikuwa lipapa na upapa ataacha.
 
Adhabu ya nini sasa na yeye anaona hana kosa, ameteleza tu?
kama utaamua kumuadhibu kila atakae kukosea mbona una kazi?
Hapo ni kuwapisha tu, waendelee kutelezeana watakavyo,
naendelea na maisha yangu mbali nao, nalea mtoto wangu kimyaaaaa
 
Hebu geuza iwe mkeo katembea na kaka yako uone inavyochonyota tatizo lenu mnafikiri sis Wanawake hatuna roho km nyie, kusamehe ili iweje kwanza tayari ameshakuharibia undugu na mdogo wako, uvumilivu siyo karne hii ya ARV , presha, visukari + Cancer bila kusahau BP, hapo ni kuchapa mwendo.
 
honestly kama ingelikuwa ni mimi na nina uhakika ni kweli ... **** him .. sifikirii mara mbili naondoka na mimba yangu ..
 
Ndoa co ki2 simple jaman,uvumulivu muhimu japo kuna mambo mengine mazito,kama hajawahi kufanya kosa lingine la namna hiyo ni vyema ukamsamehe kwa kumpa condition yaan iwe mwisho kufanya hivyo!
#ila wanaume wengine nao hata aibu hawana jaman dah!#
 
Wanajamii hasa wanawake nataka kupata maoni yenu juu ya adhabu ambayo utampa mume0 ikiwa "kateleza" katembea na mdogo wako wa tumbo moja baba mbalimbali ukiwa mjamzito karibu na kujifungua!ukajua kwa mdogo mtu kukurpuka na kukwambia! Lakini mumeo amejutia akatubu kwa kukubembeleza na kukwambia mazingira yalimsababisha ateleze! Majibu yenu ni muhimu sana ili niwake kisa cha kweli cha tukio hili!
Wadogo zako wanatafuta nini kwako? kinga ni bora kuliko tiba!
 
Wanajamii hasa wanawake nataka kupata maoni yenu juu ya adhabu ambayo utampa mume0 ikiwa "kateleza" katembea na mdogo wako wa tumbo moja baba mbalimbali ukiwa mjamzito karibu na kujifungua!ukajua kwa mdogo mtu kukurpuka na kukwambia! Lakini mumeo amejutia akatubu kwa kukubembeleza na kukwambia mazingira yalimsababisha ateleze! Majibu yenu ni muhimu sana ili niwake kisa cha kweli cha tukio hili!

Post zishakuwa nyingi mkuu MTENDAHAKI leta kisa cha kweli sasa.
 
kaa chini na mume wako,muongeleshe kwa hisia ulizonazo about this issue.at the end of the day msamee.kama unaishi na huyo dogo mpe nauri arudi home.kwa upole tu.jisaulishe usilie sana utamuaribu mtoto.ukifanya haya jamaa hatorudia tena.
 
daah huwezi amini tangu mda ule nafikiria bado sijapata jibu... ngoja niendelee kufikiria kidogo
 
Wanajamii hasa wanawake nataka kupata maoni yenu juu ya adhabu ambayo utampa mume0 ikiwa "kateleza" katembea na mdogo wako wa tumbo moja baba mbalimbali ukiwa mjamzito karibu na kujifungua!ukajua kwa mdogo mtu kukurpuka na kukwambia! Lakini mumeo amejutia akatubu kwa kukubembeleza na kukwambia mazingira yalimsababisha ateleze! Majibu yenu ni muhimu sana ili niwake kisa cha kweli cha tukio hili!

Kwanza unaposema unaposema "adhabu kubwa kabisa" una maana gani? Maana hata kumwua inaweza kuwa ni "adhabu kubwa kabisa". Pia kuamua kumsamehe na kuendelea kukaa nae inaweza kuwa ni "adhabu kubwa". Kama kisa hiki ni cha kweli, kuna haja kweli hapa ya kuanza tena kuchambua "adhabu kubwa" anayohistahili? Huoni kama unapoteza muda?

Halafu pamoja na kutaka kujua "adhabu kubwa" utakayompa, naona kama tayari unamtetea hasa pale unaposema eti "kateleza". Yaani kutembea na mdogo wako ndio "kateleza" sio eh? Kwa nini alishindwa kuteleza kwa wanawake wengine mpaka aje "kuteleza" kwa mdogo wako? Unaendelea kusema eti "amejutia akatubu kwa kubembeleza na kukwambia mazingira yalimsababisha ateleze". Msamehe basi na endelea kukaa naye.
 
Hakuna justification ambayo naweza ielewa kwa mume wa kwangu kutembea na mdogo wa mimi; no way nabwaga manyanga bila kufikiria mara ya pili!
 
Ndoa co ki2 simple jaman,uvumulivu muhimu japo kuna mambo mengine mazito,kama hajawahi kufanya kosa lingine la namna hiyo ni vyema ukamsamehe kwa kumpa condition yaan iwe mwisho kufanya hivyo!
#ila wanaume wengine nao hata aibu hawana jaman dah!#

hivi, kutembea na shemeji yako inahitaji uwe umerudia tena; kilicho mfanya atembee naye kitakuwa kimefutika baada ya kusamehewa? if he can get away with it now (kwa kusamehewa) kwanini asifikiri he can get away with it next time?

Swali la msingi ambalo nahitaji majibu yake ni WHY?, kutoka na majibu hayo ndio unaweza kufikiria hizo circumstances zilizo mfanya amdo mdogo wangu hazitatokea kamwe? kama ni ujamzito ulioadvance, maana yake sintazaa tena?
 
Kwanza unaposema unaposema "adhabu kubwa kabisa" una maana gani? Maana hata kumwua inaweza kuwa ni "adhabu kubwa kabisa". Pia kuamua kumsamehe na kuendelea kukaa nae inaweza kuwa ni "adhabu kubwa". Kama kisa hiki ni cha kweli, kuna haja kweli hapa ya kuanza tena kuchambua "adhabu kubwa" anayohistahili? Huoni kama unapoteza muda?

Halafu pamoja na kutaka kujua "adhabu kubwa" utakayompa, naona kama tayari unamtetea hasa pale unaposema eti "kateleza". Yaani kutembea na mdogo wako ndio "kateleza" sio eh? Kwa nini alishindwa kuteleza kwa wanawake wengine mpaka aje "kuteleza" kwa mdogo wako? Unaendelea kusema eti "amejutia akatubu kwa kubembeleza na kukwambia mazingira yalimsababisha ateleze". Msamehe basi na endelea kukaa naye.
Mbali na kumtetea, au kumtakia adhabu kubwa kabisa,mimi sioni
kwa nini umwadhibu? Wengine tuna myoyo ya kusamehe. lol
 
Back
Top Bottom