Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Nendeni Mahakamani ....milango wazi ..
Simba: Muheshimiwa nembo yangu imebandikwa kibiashara

Yanga: Mheshimiwa Jaji ..embu Makolo watoe ushahidi

Simba: Kanibandika ubaoni Tegeta bila ruhusa yangu ..na ni biashara

Yanga: Mheshimiwa lile bango tulilidownload kutoka Azam TV ..tuwaite watueleze walilitoa wapi .. Na hiyo biashara ya 1-5 iliyobandikwa hapo juu wameitoa wapi ..

Simba: Mheshimiwa sisi tunaomba fidia ya kuwekwa ubaoni bila ruhusa..

Jaji : Kwani bango wameweka biashara gani?

Simba: Mheshimiwa ...1-5 ...yaani tulitandikwa mkono ..(5)

Jaji: Sasa kama mlikula HAMSA .. Mlicheza bila nembo yenu kwenye jezi?

Simba: Mheshiwa hapana ..tulicheza na jezi zetu na nembo zipo ..ila Yanga wametubandika bila ruhusa yetu..

Yanga: Mheshiwa ..hawa makolo wanatupotezea muda ..Tuombe Kamisaa wa mchezo aje, Azam TV na TFF ..watueleze nini kilitokea 5/11/23 ..Uwanja wa Mkapa ..
Na kama kilichotokea kina reflect bango letu au hakireflect bango letu...

Jaji: Natoa wito kwa TFF , Bodi ya ligi, Azam TV ..waje watoe ripoti kilichotokea tarehe 5/11/23

Yanga: Mheshimiwa ..tunaomba wajumuishe na Aziz Ki, Max Nzengeli na Pacome kama mashahidi..

Jaji: Mahakama itazingatia
Mwanasheria uchwara kwa hiyo hujaona biashara iliyotangazwa pale? Saifi Store hafanyi biashara?
 
huoni kama logo ya Simba ina rangi nyeupe hapo kwenye bango wametumia rangi nyekundu?
Kwenye sheria za copyright Copyright colour scheme

Ikiwa umecopy trademark logo ukatumia rangi za mwenzako ambazo zinajulikana au kuzoeleka katika bidhaa zake ili ni kosa tiari



Mfano Ukizungumzia tigo wantumia blue/ white the same kwa voda ni red/white hata bidhaa zao kama simcard,maduka n.k yana rangi hizi

Huwezi kuta voda Anatoa line za machungwa km za TTCL ..sababu watakuwa wanaharibu colour symbol ya trademark

The same kwa simba jina ni Lao kweli,Logo ni yako kweli na hata bidhaa zao kama jezi, page zao za kijamii wanatumia red na white.....


Kama yanga ilivyo kwao kwa yellow/green


la
 
Kweli Simba tumefungwa ila kwa hili la mabango Yanga wamejidhalilisha, wamedhihirisha udogo wao. Yanga wanahitaji viongozi wenye uwezo wa kuchambua mbivu na mbichi.
 
Hizi tano zinawauma sana na bado kuna kubwa zaidi inakuja hiyo mtatupeleka mpaka FIFA.
 
Sio jukumu langu kueleza labda nenda Brella au hata yanga kaulize Kama logo yao imesajiliwa, pia nenda kajifunze kuhusu image right ukishaelewa hivyo vitu utapata jibu la swali lako.
Huna hoja! Hiyo image right unaielewa au kuna mtu anakusimulia?
 
Simba nayo itabidi ishitakiwe
InShot_20231115_203809423.jpg
 
Mambo mengine bwana ni utahaira tu, jambo Kama ilo Wala ahiitaji kutumia akili ya chuo kikuu, kwa wale mbumbumbu wanadhani wao walioliweka ilo bango awakujiridhisha kwanza Kama wamevunja Sheria ama lah?? Lazima wamejiridhisha na wanachokifanya ndio wakapandisha ILO bango sio watu wote ni mbumbumbu bwana!
 
Mambo mengine bwana ni utahaira tu, jambo Kama ilo Wala ahiitaji kutumia akili ya chuo kikuu, kwa wale mbumbumbu wanadhani wao walioliweka ilo bango awakujiridhisha kwanza Kama wamevunja Sheria ama lah?? Lazima wamejiridhisha na wanachokifanya ndio wakapandisha ILO bango sio watu wote ni mbumbumbu bwana!
Endeleen kuweweseka
 
S

Subiri uone! Watadaiwa zaidi ya m100! Nembo kutumika bila kibali ni kosa kubwa! Especialy ka,ma umeitumia kwa lengo la kuifedhehesha!! Ujinga ni mzigo mkubwa sana!!
Hivi mkuu, ukiangalia kwa makini bango ile ndiyo nembo ya Simba iliyosajiliwa?

Mkuu Mahakamani ukienda kichwa kichwa unakula 5 zingine ..

Mahakamani ni sehemu ya kwenda kwa utulivu bila hasira
 
Kwenye sheria za copyright Copyright colour scheme

Ikiwa umecopy trademark logo ukatumia rangi za mwenzako ambazo zinajulikana au kuzoeleka katika bidhaa zake ili ni kosa tiari


Mfano Ukizungumzia tigo wantumia blue/ white the same kwa voda ni red/white hata bidhaa zao kama simcard,maduka n.k yana rangi hizi

Huwezi kuta voda Anatoa line za machungwa km za TTCL ..sababu watakuwa wanaharibu colour symbol ya trademark

The same kwa simba jina ni Lao kweli,Logo ni yako kweli na hata bidhaa zao kama jezi, page zao za kijamii wanatumia red na white.....


Kama yanga ilivyo kwao kwa yellow/green


la
Sawa mbona Simba nao wame post hayo matokeo kwenye page yao kukiwa na logo ya Yanga na wadhamini wa Simba?
 
Back
Top Bottom