kwa uelewa wangu kamati ya utendaji ipo chini ya Rage! Mwenye mamlaka ya kuitisha kikao cha kamati tendaji ni Rage, sasa ya wao kumvua labda kuna kitu chini kapeti! Time wil tel
Wazee wa mapinduzi...:shocked:
unajua mwenyekiti yupo nje ya nchi kwasasa, sasa hawa jamaa huwa wanavizia Rage aende nje ya nchi ndo wampindue hapo ndo huwa wanakosea! Wanapaswa kumvaa akiwepo
tujaalie katiba ya Simba inaruhusu kikao cha Kamati tendaji kuitishwa na kuendeshwa bila ya kuitishwa na kusimamiwa na mwenyekiti. Lakini je, kikao kilichoitishwa kwa namna hiyo bila ya kumhusisha mwenyekiti (ndivyo inavyoelekea) kinawez kupitosha ajenda nzito kama ya kumfukuza mwenyekiti huyo? Simtetei Rage wala nini, ila nachelea waije wakashindwa mara ya pili kumn'goa kwa sababu tu ya kukiuka katiba yao wenyewe. Na kama ni hivyo, wanastahiki waumie kwa kuongozwa naye. Iweje viongozi wazima hawaijui katiba yao wenyewe? Na kama wanaijua, kwa nini hawajiamini kwa kumkabiili ana kwa n kwnye kiko ambacho Rage mwenyewe watamtaka awepo? Wanamwogopa nini iwapo wana hoja za msingi?Jioni hii kupitia enewz za eatv mzee kinesi athibitisha kuwa kamati ya utendaji kisheria imewasimamisha rage na makocha wote 2: King na julio.
kwa uelewa wangu kamati ya utendaji ipo chini ya Rage! Mwenye mamlaka ya kuitisha kikao cha kamati tendaji ni Rage, sasa ya wao kumvua labda kuna kitu chini kapeti! Time wil tel