hawa ADC ni kina nani mbona siwaelewi au shirika la kuudumia wakimbizi nielewesheni plz
hawa ADC ni kina nani mbona siwaelewi au shirika la kuudumia wakimbizi nielewesheni plz
Jamani hicho ndiyo chama gani tena? Kweli dunia ni uwanja wa fujo. Eti ADC. Pia bendera ni kama ya chadema. Wanataka watembele kwa kutumia mgongo wa chadema nini? Arafu chama hiki kitakufa kwani CUF wamesitisha kumfukuza yule jamaaa.wametumia hekima ya kibibiria ya kuyaacha magugu yakuwe pamoja na ngano.